Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Inasikitisha sana, umasikini ni mbaya sana.Tunapoandika humu kuhusu dhiki za kutisha za watanzania kwa sasa tunaonekana Wachochezi .
Hebu niambie huu ni usherekeaji gani wa sikukuu ? Hapa kuna mtoto yeyote wa kiongozi wa Tanzania ? Jamani umasikini ni dhambi na ni laana kuu hatutakiwi kujivunia .
View attachment 2960998View attachment 2960999
Wao wamevaa abaya mpya na wako beach , sisi tunavaa jezi za gsm na Mo za kariakoo tuko kwenye kivuko manzese na Buguruni !Inasikitisha sana, umasikini ni mbaya sana.
Mkuu ni mara zote nakusoma kwa like tu , kumbe huwa unaandika ?Waache wafurahie matunda ya kodi zao 😀
Leo hata pale manzese walikuwepo juu darajani, bongo hii shida sanaTunapoandika humu kuhusu dhiki za kutisha za watanzania kwa sasa tunaonekana Wachochezi .
Hebu niambie huu ni usherekeaji gani wa sikukuu ? Hapa kuna mtoto yeyote wa kiongozi wa Tanzania ? Jamani umasikini ni dhambi na ni laana kuu hatutakiwi kujivunia .
View attachment 2960998View attachment 2960999
Sasa hadi hii nayo n ya kuilaumu ccm 😂😂Tunapoandika humu kuhusu dhiki za kutisha za watanzania kwa sasa tunaonekana Wachochezi .
Hebu niambie huu ni usherekeaji gani wa sikukuu ? Hapa kuna mtoto yeyote wa kiongozi wa Tanzania ? Jamani umasikini ni dhambi na ni laana kuu hatutakiwi kujivunia .
View attachment 2960998View attachment 2960999
Tufanyaje kuepukana na hili.?Jana wapiga picha wamepata hela Sana hasa kwenye Hilo daraja la mbagala...lkn hii ni dalili ya umasikini wa kutupwa
Kuna mtoto wa kiongozi wa ccm hapo , halafu hivyo vivuko ni vya kupita tu , si sehemu ya kuhifadhi umati , siku vikiporomoka msimlilie mtuAcha ushamba wako hapa wewe😃😃😃 kwa hiyo ulitaka wakasherekee wapi ndio moyo wako uridhike? Acha unyumbu wako Erythrocyte.
Tuwaondoe CCM madarakani tuTufanyaje kuepukana na hili.?
Kama hii ndio option ya kuondokana na umasikini bc Tz bado sana kufanikiwa.Tuwaondoe CCM madarakani tu
Tutakuja na hiyo sera wakati mwingine , Usiondoke jfCHADEMA mna sera gani kuhusu maeneo ya wazi katika miji kuwapa nafasi hata walalahoi kujipumzisha humo??
Hakiksheni miji ina maeneo makubwa ya wazi "open spaces" yenye bustani na sehemu za kukaa, kujipumzisha na watoto kucheza hata kutoka familia za walalahoi. Maeneo ya wazi yaliouzwa au kutwaliwa kinyamela yarudishwe.Tufanyaje kuepukana na hili.?
Hilo sio eneo salama watoto kucheza na kujipumzisha hapo.wamevumbua matumizi mengine ya daraja, at least now it's a multipurpose