Tangu lini Idd ilisherehekewa kwenye vivuko? Huu ndio uchumi wa Kati? Mwigulu tunaomba majibu

Tangu lini Idd ilisherehekewa kwenye vivuko? Huu ndio uchumi wa Kati? Mwigulu tunaomba majibu

Kuna mtoto wa kigogo hapo ?
Fanya kitu kwa uwezo wako....
Wengine Eid wanaenda Dubai....Wengine Coco beach ( Free entry), wengine Mikadi, wengine Kilimanjaro Hotel, wengine Daraja la manzese ( Free entry, soda 600, chips yai 2500).
Huyo mtoto wa kigogo anaweza kwenda Dubai, Amsterdam, Jeddah, au Kilimanjaro hotel, pesa ipo.

Kama pesa huna, nenda Daraja la manzese au Coco beach.
 
Hakiksheni miji ina maeneo makubwa ya wazi "open spaces" yenye bustani na sehemu za kukaa, kujipumzisha na watoto kucheza hata kutoka familia za walalahoi. Maeneo ya wazi yaliouzwa au kutwaliwa kinyamela yarudishwe.
Chama kubwa iliyachukua na kuwauzia Mabwanyenye
 
Fanya kitu kwa uwezo wako....
Wengine Eid wanaenda Dubai....Wengine Coco beach ( Free entry), wengine Mikadi, wengine Kilimanjaro Hotel, wengine Daraja la manzese ( Free entry, soda 600, chips yai 2500).
Huyo mtoto wa kigogo anaweza kwenda Dubai, Amsterdam, Jeddah, au Kilimanjaro hotel, pesa ipo.

Kama pesa huna, nenda Daraja la manzese au Coco beach.
Unaweza kwenda hata Jangwani pale ukaala upepo au vipi?
 
Unaweza kwenda hata Jangwani pale ukaala upepo au vipi?
Yes....
Jangwani Sea Breeze Resort.
Hoteli ya nyota 4
Pesa yako tu....kama huwezi nenda kazurule Mbagala Rangi 3, ukale mihogo, sambusa, kachori, vibabu na supu ya ngozi na miguu ya ngo'mbe. Budget ya Tsh 5,000 inatosha kwa msosi.
 
Umaskini wa Hii nchi unatisha sana, CCM wameifisidi mno hii nchi, Halafu majamaa yanakosa hata haya
 
Back
Top Bottom