Tangu lini Idd ilisherehekewa kwenye vivuko? Huu ndio uchumi wa Kati? Mwigulu tunaomba majibu

Tangu lini Idd ilisherehekewa kwenye vivuko? Huu ndio uchumi wa Kati? Mwigulu tunaomba majibu

Unapouza maeneo ya watu kupumzika na watoto kuchezea, hiyo maana yake ni kuwa umeamua wakacheze sehemu hatarishi. Simple TU kuelewa hiyo Wala haihitaji kwenda shule.
Baba ako akifanya kosa, utamuondoa baba ako au utaondoa kosa.?
 
Ccm ni baba Yako!?
Tangu nijiandikishe kwenye daftari la kupiga kura 2005, sijawahi kushabikia chama chochote cha siasa, sijawahi kupiga kura na sitokaa nipige kura nchi hii iliyojaa wizi wa kura.

Nlchukua kitambulisho cha kupiga kura kwa ajili ya kujitambulisha tuu.
 
Tunapoandika humu kuhusu dhiki za kutisha za watanzania kwa sasa tunaonekana Wachochezi.

Hebu niambie huu ni usherekeaji gani wa sikukuu? Hapa kuna mtoto yeyote wa kiongozi wa Tanzania? Jamani umasikini ni dhambi na ni laana kuu hatutakiwi kujivunia.

Nini kina thibitisha au kuashiria hao watu hapo wanasherekea sikukuu?
 
Tunapoandika humu kuhusu dhiki za kutisha za watanzania kwa sasa tunaonekana Wachochezi.

Hebu niambie huu ni usherekeaji gani wa sikukuu? Hapa kuna mtoto yeyote wa kiongozi wa Tanzania? Jamani umasikini ni dhambi na ni laana kuu hatutakiwi kujivunia.

Huwa mnasherekea wapi? Next time muwe mnajenga public garden.

Mlishindwa hizo public garden basi Jenga Yako kama ya biashara
 
Back
Top Bottom