Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Umesoma nilichokiandika.?Wapinzani hawakusanyi kodi.
Ndio mana nikasema kidogo walichonacho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma nilichokiandika.?Wapinzani hawakusanyi kodi.
2025 baada ya Chadema kutwaa nchi kama Mungu alivyopangaLini?
N kweli mm n mjinga, ila waheshimu Sana wanaokupinga kuliko wale wanaokuunga mkono kwa kila ufanyalo.Huyo mjinga usihangaike naye
Unapouza maeneo ya watu kupumzika na watoto kuchezea, hiyo maana yake ni kuwa umeamua wakacheze sehemu hatarishi. Simple TU kuelewa hiyo Wala haihitaji kwenda shule.Atleast ww umeongea la maana, ety mwingine anasema ccm atolewe madarakani utadhani wao ndio waliowabeba hao watoto na kuwamwaga hapo
Baba ako akifanya kosa, utamuondoa baba ako au utaondoa kosa.?Unapouza maeneo ya watu kupumzika na watoto kuchezea, hiyo maana yake ni kuwa umeamua wakacheze sehemu hatarishi. Simple TU kuelewa hiyo Wala haihitaji kwenda shule.
Nchi haiongozwi kama familia ya baba, mama na watoto wao.Baba ako akifanya kosa, utamuondoa baba ako au utaondoa kosa.?
Ccm ni baba Yako!?Baba ako akifanya kosa, utamuondoa baba ako au utaondoa kosa.?
Wewe pia ninayo picha yako uliopiga daraja la mazense!Jiwe alikuwa mpotoshaji
Iweke hapa kapuku we !Wewe pia ninayo picha yako uliopiga daraja la mazense!
Umeikumbuka eehIweke hapa kapuku we !
Tangu nijiandikishe kwenye daftari la kupiga kura 2005, sijawahi kushabikia chama chochote cha siasa, sijawahi kupiga kura na sitokaa nipige kura nchi hii iliyojaa wizi wa kura.Ccm ni baba Yako!?
Nmetoa mfano mkuu, em soma comment zilizotokaNchi haiongozwi kama familia ya baba, mama na watoto wao.
Nini kina thibitisha au kuashiria hao watu hapo wanasherekea sikukuu?Tunapoandika humu kuhusu dhiki za kutisha za watanzania kwa sasa tunaonekana Wachochezi.
Hebu niambie huu ni usherekeaji gani wa sikukuu? Hapa kuna mtoto yeyote wa kiongozi wa Tanzania? Jamani umasikini ni dhambi na ni laana kuu hatutakiwi kujivunia.
Umeniwahi🤣Mkuu ni mara zote nakusoma kwa like tu , kumbe huwa unaandika ?
Gazeti la MwananchiNini kina thibitisha au kuashiria hao watu hapo wanasherekea sikukuu?
Mtaambiwa 10,000 zimetapakaaInasikitisha sana, umasikini ni mbaya sana.
Huwa mnasherekea wapi? Next time muwe mnajenga public garden.Tunapoandika humu kuhusu dhiki za kutisha za watanzania kwa sasa tunaonekana Wachochezi.
Hebu niambie huu ni usherekeaji gani wa sikukuu? Hapa kuna mtoto yeyote wa kiongozi wa Tanzania? Jamani umasikini ni dhambi na ni laana kuu hatutakiwi kujivunia.