kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Magu alijenga akasema watani zake wazaramo watapiga picha za harusi!Tunapoandika humu kuhusu dhiki za kutisha za watanzania kwa sasa tunaonekana Wachochezi .
Hebu niambie huu ni usherekeaji gani wa sikukuu ? Hapa kuna mtoto yeyote wa kiongozi wa Tanzania ? Jamani umasikini ni dhambi na ni laana kuu hatutakiwi kujivunia .
View attachment 2960998View attachment 2960999