kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Magu alijenga akasema watani zake wazaramo watapiga picha za harusi!Tunapoandika humu kuhusu dhiki za kutisha za watanzania kwa sasa tunaonekana Wachochezi .
Hebu niambie huu ni usherekeaji gani wa sikukuu ? Hapa kuna mtoto yeyote wa kiongozi wa Tanzania ? Jamani umasikini ni dhambi na ni laana kuu hatutakiwi kujivunia .
View attachment 2960998View attachment 2960999
Jiwe alikuwa mpotoshajiMagu alijenga akasema watani zake wazaramo watapiga picha za harusi!
Atleast ww umeongea la maana, ety mwingine anasema ccm atolewe madarakani utadhani wao ndio waliowabeba hao watoto na kuwamwaga hapoHakiksheni miji ina maeneo makubwa ya wazi "open spaces" yenye bustani na sehemu za kukaa, kujipumzisha na watoto kucheza hata kutoka familia za walalahoi. Maeneo ya wazi yaliouzwa au kutwaliwa kinyamela yarudishwe.
Tunapoandika humu kuhusu dhiki za kutisha za watanzania kwa sasa tunaonekana Wachochezi .
Hebu niambie huu ni usherekeaji gani wa sikukuu ? Hapa kuna mtoto yeyote wa kiongozi wa Tanzania ? Jamani umasikini ni dhambi na ni laana kuu hatutakiwi kujivunia .
View attachment 2960998View attachment 2960999Hawajaanza leo wala jana hao...Kitambo sana tangu Daraja la manzese, now Buguruni, Daraja la Mkapa, Tanzanite Bridge.
View attachment 2960999Hawajaanza leo wala jana hao...Kitambo sana tangu Daraja la manzese, now Buguruni, Daraja la Mkapa, Tanzanite Bridge.Tunapoandika humu kuhusu dhiki za kutisha za watanzania kwa sasa tunaonekana Wachochezi .
Hebu niambie huu ni usherekeaji gani wa sikukuu ? Hapa kuna mtoto yeyote wa kiongozi wa Tanzania ? Jamani umasikini ni dhambi na ni laana kuu hatutakiwi kujivunia .
View attachment 2960998View attachment 2960999
Open spaces zenye bustani ndizo zinafaa kupigia picha za harusi.Magu alijenga akasema watani zake wazaramo watapiga picha za harusi!
Labda wanaona CCM wameshindwa au hawana nia au utashi wa kusimamia hilo.Atleast ww umeongea la maana, ety mwingine anasema ccm atolewe madarakani utadhani wao ndio waliowabeba hao watoto na kuwamwaga hapo
Kuna mtoto wa kigogo hapo ?View attachment 2960999Hawajaanza leo wala jana hao...Kitambo sana tangu Daraja la manzese, now Buguruni, Daraja la Mkapa, Tanzanite Bridge.
Acha Gubu...Just jana, leo na kesho tu...then hutawaona tena hapo hadi next Eid.
Kama kuharibika, lingeanza kuharibika Daraja la manzese.
We mshamba mshamba hujui lolote kuhusu taratibu za Kiislamu kindly shut your rear endAcha ushamba wako hapa wewe😃😃😃 kwa hiyo ulitaka wakasherekee wapi ndio moyo wako uridhike? Acha unyumbu wako Erythrocyte.
Sawa CEO wa likesWaache wafurahie matunda ya kodi zao 😀
Waangalie uimara wa hilo daraja wasije wakashuka nalo tuu
Atleast ww umeongea la maana, ety mwingine anasema ccm atolewe madarakani utadhani wao ndio waliowabeba hao watoto na kuwamwaga hapo
Inaweza n kweli Ila kwa tabia yenu ya kulalamikia kila kitu ccm ipo siku mtashinda kutia mimba wake zenu na mtailalamikia ccmCCM ndio wameuza maeneo yote ya wazi.
CCm ndio baba wa kila jambo la hovyo hapa Tanzania.
N kweli Ila imekuwa too much kuilalamikia ccm. Wao kama wapinzani kwann wasitumie kidogo walichonacho kwa jamii ili wananchi waseme hii tumepewa na chama pinzani.Labda wanaona CCM wameshindwa au hawana nia au utashi wa kusimamia hilo.
Maeneo mengi ya wazi ambayo watoto walikuwa wanasherekea sikukuu CCM wamejimilikisha kinyume cha utaratibu.CCM ndio wameuza maeneo yote ya wazi.
CCm ndio baba wa kila jambo la hovyo hapa Tanzania.
Wapinzani hawakusanyi kodi.N kweli Ila imekuwa too much kuilalamikia ccm. Wao kama wapinzani kwann wasitumie kidogo walichonacho kwa jamii ili wananchi waseme hii tumepewa na chama pinzani.
Kila eneo lililoporwa litarejeshwa kwa wananchiMaeneo mengi ya wazi ambayo watoto walikuwa wanasherekea sikukuu CCM wamejimilikisha kinyume cha utaratibu.
Miaka ya nyuma hapo Buguruni chama, eneo hilo lilikuwa linatumika kwa sikukuu kama hizi.
Lakini tayari limetwaliwa na ccm.
Huyo mjinga usihangaike nayeWapinzani hawakusanyi kodi.
Lini?Kila eneo lililoporwa litarejeshwa kwa wananchi