Tangu lini Idd ilisherehekewa kwenye vivuko? Huu ndio uchumi wa Kati? Mwigulu tunaomba majibu

Kipindi nchi Ina heshima na adabu,jiji lilijengwa kwa kufuata sheria za miji,open spaces zilikua nyingi tu ambazo zilitumika kwa sherehe kama hizi,nimekulia kinondoni shamba,pale kinondoni A mitaa ile ilijengwa kwa utaratibu wa kisheria na pale penye soko kulikua na garden nzuri sana (kwa sasa ni uchafu tu),kinondoni sec school nyuma yake kulikua na uwanja safi kabisa wa mpira (ulitumika pia kama open space kwa watoto kucheza),kama unaelekea oyster bay Beach kulikua na gardens 2 nzuri mno (washenzi wamejenga kwa sasa),mikokoni pia watoto walikutumia kucheza kwa sasa mafisadi yamejenga hadi kwenye mkondo wa maji,eneo la Jangwani,mnazi mmoja,kidongo chekundu,mbele ya state House etc etc kote huko yalikua maeneo huru na salama kwa watoto kucheza,serikali ya ccm ime f.u.......up kila kitu
 
Kuna mtoto wa kiongozi wa ccm hapo , halafu hivyo vivuko ni vya kupita tu , si sehemu ya kuhifadhi umati , siku vikiporomoka msimlilie mtu
Siku nyingine mwambie Mbowe awaachie wafurahi kwenye hekalu lake alilojenga kwa pesa ya ruzuku.
 
Hali ngumu ya maisha,
Hakuna garden za watu kupumzikia na kufanya yao !
Sehemu nyingi za wazi zilishaporwa na wanaoitwa wajanja !
Kungekuwepo na gardens karibu na makazi yao wasingepanda juu Darajani !
Kwahy solution n kuileta Chadema madarakani na kuleta sehemu za kupumzikia kwenye makazi ya watu.?
 
Kwahy solution n kuileta Chadema madarakani na kuleta sehemu za kupumzikia kwenye makazi ya watu.?
Tatizo sio CCM bali ni nani waliomo humo ndani na wamo humo ndani kwa nia gani. ??!
That’s the problem !
Sisi wana Ccm wa zamani tulikuwa tunajua na kuamini kwamba Ccm ni chama cha Wakulima na Wafanyakazi !
Kwa sasa hiyo Imebaki story. 😅!
 
Erythrocyte hawezi kugonga like Kwenye Hii comment Yako, unajua n kwann.? 😂
 
Unawapangia watanzania washeherekee wapi,kweli uhuru wetu umepitiliza ,kuna mtu alikupangia ukashabikie chadema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…