Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Huu ndiyo ukweli Wala haihitaji 🚀 science kujijua hili jambo. Kuna kazi anaziratibu? Mamlaka inamtegemea? Watanzania si wajinga. Uzi tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema tangu Shetani Bashite arudi kwenye ......Huu ndiyo ukweli Wala haihitaji 🚀 science kujijua hili jambo. Kuna kazi anaziratibu? Mamlaka inamtegemea? Watanzania si wajinga. Uzi tayari.
Ni kama vile iliposemekana haonekani kuna matukio yalitokea?Huu ndiyo ukweli Wala haihitaji 🚀 science kujijua hili jambo. Kuna kazi anaziratibu? Mamlaka inamtegemea? Watanzania si wajinga. Uzi tayari.
Hata Sativa alipotekwa, katika routes alizopitishwa kwanza walitoka Oysterbay Police Station DSM, alipelekwa Arusha Central Police Station (Kwa Paul Makonda)....Huu ndiyo ukweli Wala haihitaji 🚀 science kujijua hili jambo. Kuna kazi anaziratibu? Mamlaka inamtegemea? Watanzania si wajinga. Uzi tayari.
No gentleman, si kweli,Huu ndiyo ukweli Wala haihitaji 🚀 science kujijua hili jambo. Kuna kazi anaziratibu? Mamlaka inamtegemea? Watanzania si wajinga. Uzi tayari.
Jiulize kwanini mtu akitekwa anapelekwa arusha kwanza kama sativaHuu ndiyo ukweli Wala haihitaji 🚀 science kujijua hili jambo. Kuna kazi anaziratibu? Mamlaka inamtegemea? Watanzania si wajinga. Uzi tayari.
Usiwe punguani kiasi hicho!!No gentleman, si kweli,
Fuatilia historia vizuri.
kila wakati wa uchaguzi wa ndani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, matukio haya huwa hayakosekani. sasa sijui ni mzimu wa chacha huwaga unalalamika au ni nini?
na safari hii,
matukio yalianzia kwenye nafasi za chini za uongozi, lakini kadiri uchaguzi wa ngazi za juu unavyo karibia ndio joto la uchaguzi wa Chadema linakua kali zaidi na matukio mabaya zaidi yanaongezeka...
sijui ni nafasi ipi ya uongozi ndio hasa tatizo 🐒
Bashite ni alama ya ibilisi Duniani. Ukimwona Bashite, umemwona shetani.makonda alikua kimbaumbau tako flat. imekuaje kuwa na mkalio ule?
relax kidogo bas,Usiwe punguani kiasi hicho!!
Azory alipotezwa baada ya kuandika jinsi raia wasio na hatia walivyouawa huko Kibiti, ilikuwa ni wakati wa uchaguzi gani?
Kanguye alipotezwa baada ya kusema kuwa Serikali ilikuwa haitendi haki, ilikuwa uchaguzi wa chama gani?
Ben alipotezwa baada ya kusema kuwa degree ya "shuja" ilikuwa fake, kulikuwa na uchaguzi gani?
Chaula alibambikiwa kesi na kisha kutekwa baada ya kuchana picha ya Samia, aliyoichora mwenyewe, ilikiwa wakati wa uchaguzi wa familia yako?
Kuna watu mmefunga mkataba na ujinga!!