Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #241
๐๐ Ndo ukweli watakataa hapa lkn kimoyo moyo hawataki kabisa Hilo swali asee.๐๐๐๐Wewe ni hatari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐ Ndo ukweli watakataa hapa lkn kimoyo moyo hawataki kabisa Hilo swali asee.๐๐๐๐Wewe ni hatari.
Linakera sana mkuu ๐katika swali silipendi ni hili uko wapi? ukijiloga ukajibu, linafuata unafanya nini, uko na nani? kah
๐๐ Ndo ukweli watakataa hapa lkn kimoyo moyo hawataki kabisa Hilo swali asee๐๐๐๐Wewe ni hatari.
Anaonaje? MFANO nipo pugu yeye yupo kimara ama viginguti ataonaje?Nyongeza
Wanawake wana uwezo mkubwa kuona ya sirini kuliko wanaume
๐คYaani ukifika kwenye point hii ndio unajiuliza pia wakati yule Mwanamke anapewa tunda na Shetani pale bustanini inamaana Mungu alikua hamuoni au ulikua mtego pia?
Uko sawa mkuu. Yaani Huwa nahisi ameniona ? Kwanini anauliza? Ana mashaka na Mimi ? Kuna Nini huko ama nimefanya Nini?Ye'kalenga demu.
Hata mimi nikiulizwa swali hilo hukasirika na kughadhabika hasa, nikihisi kuporwa uhuru wangu hata huo mdogo niliobakishiwa/niliojibakizia!
Hapa hata akija pengo na I'd fake hawezi toboa lazima alale mbele hawezi jibu swali hata Moja. Au yule padre kitima hatoboi na wapo humu hao wote pengine huenda ndo wewe mmoja wao ๐๐๐Watu mna maswali magumu sana
Ndivyo ilivyo mkuu sio wewe pekee mimi mood hutoweka kabisa na ninaweza ghazabika kabisa Kwa swali Hilo tu.Hili swali huwa silipendi always hata kama niko sehemu salama na huwa najua kabisa ntakosea kulijibu!!
Ni kasheshe sana mkuu yaani ni kwamba hata mood inatoweka kabisa lkn ni swali dogo tu.Hakuna swali nachukia kwenye maisha yangu kama uko wapi, kwani kuna mahala uniliacha umekuja ukanikosa?
Vipi unaulizwaga niniโ ๏ธโ ๏ธโ ๏ธโ ๏ธโ ๏ธ
Wewe unajua matunda ambayo yamepandwa kwa wachungaji au wachungaji ni miti ya aina gani? Wataenda kuunguzwa kwenye tanuru lisilozimika Mungu hana utani na wanawatumia watu kwa Jina lake kujipatia chochote bila maagizo yake au kinyume na maagizo yakeKwa hiyo wachungaji ni miti isiyo zaa matunda
ehe nimatunda gani hayo hebu tusanue tuyajue
Ndio ukae ukijua kwa Mungu kuna moto ulao maana Mungu ni Moto ulao alimwambia Musa Mimi ni Moto ulao vua viatu Musa hapa ni mahala patakatifuNilikuwa sijui.
Mungu alijua kama shetani ataenda kwa sababu ya kule kujiiinua kwake ndio maana alienda kwa kumbembeleza alipenda sana kuwa juu kuliko MunguKwa hio Mungu alimtuma Shetani si ndio?
Karibu sana mkuuWakuu zerominus10 Na Daudi1
Katika majidiriano yenu nimejifunza vingi sana asee. Wengi wanaweza kusoma Kwa mlengo Tofauti lkn kwangu Kuna vitu nimetoa na hivi ndivyo napenda. Daima Huwa napenda challenge na maswali tofauti tofauti yahusuyo Imani yetu ya kikristo kufanya Hivi nimejikuta najua vitu vingi sana hivyo na wapongeza Kwa dhati kabisa.Ahsanteni sana
Kwa hio unataka kusema kwamba Mungu na Shetani walikua wana upinzani toka kitambo hicho? Kwa maana hio Mungu alimuacha tu Shetani aendelee na harakati zake za kumchombeza bibie Hawa huku yeye anawaangalia tu?Mungu alijua kama shetani ataenda kwa sababu ya kule kujiiinua kwake ndio maana alienda kwa kumbembeleza alipenda sana kuwa juu kuliko Mungu
Yan kama una kumbuka shetani alikuwa mtu mhimu kule mbiguni alipogundua hilo akaanza kujiikweza kiasi cha kutaka kuwa juu ya MunguKwa hio unataka kusema kwamba Mungu na Shetani walikua wana upinzani toka kitambo hicho? Kwa maana hio Mungu alimuacha tu Shetani aendelee na harakati zake za kumchombeza bibie Hawa huku yeye anawaangalia tu?
Mboni umechanganya mambo kwa hio hapa duniani bustani ya Hedeni ipo wapi?Yan kama una kumbuka shetani alikuwa mtu mhimu kule mbiguni alipogundua hilo akaanza kujiikweza kiasi cha kutaka kuwa juu ya Mungu
Majeshi ya mbiguni yakamtimua ndo kuangukia duniani sasa ikumbukwe hawa wakina Adam ndo waliko so shetani akachukulia udhaifu wa hawa ilimrad kuendeleza upinzani na Mungu ndo maana sasa Mungu aliwaonya mwanzo akaonyesha vitu vya kula na am avyo hawaruhusiwi kula sasa shetani kashawishi kwa nmna ya hekima aliyokuea nayo mpk akamdanganya hawa
Ipo duniani kwahiyo ulidhani ipo mbinguni?Mboni umechanganya mambo kwa hio hapa duniani bustani ya Hedeni ipo wapi?
Kwani Musa wakati huo alikuwa ameenda mbinguni!?Ndio ukae ukijua kwa Mungu kuna moto ulao maana Mungu ni Moto ulao alimwambia Musa Mimi ni Moto ulao vua viatu Musa hapa ni mahala patakatifu