Tangu mwaka 2017, naona kama hakuna international hit song yoyote toka marekani

Tangu mwaka 2017, naona kama hakuna international hit song yoyote toka marekani

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini,

International hit songs za mwisho mwisho nlizosikia toka usa ni rockabye ya clean bandit, cheap thrills ya sia, labda niiweke summer ya Calvin Harris, sorry ya Justin Bieber baada ya hapo ni kimya.

Miaka ya 2008 kuja Hadi 2013 nlikuwa sina smartphone ila ilikuwa ni hit song from hit song toka usa, kina rihana, Bruno Mars, Justin Timberlake, pitbull ft marc Anthony, neyo, Chris brown, lmfao party rock anthem, maroon 5 moves like jagger, Jennifer Lopez, Niki minaj, usher, walikuwa wanatoa nyimbo zinazohit kweli kweli, nilikua sina simu janja ila nyimbo nikiisikia mtaani mara moja nitatamani kuitafta tena

Sahiv naona nyimbo zinazo hit hapa bongo ni nyimbo toka Nigeria, nlijaribu kuangalia bet awards juzi kati, na nime- search YouTube songs zilizo hit kule USA, naona wasanii wa USA sahivi wanaimba upuuzi tu.

Kuna mwingine anawaza ninavowaza?

Extrovert Lamomy Joannah mshamba_hachekwi atug Evelyn Salt DeepPond mzabzab Poor Brain To yeye Equation x Damaso Nikifa MkeWangu Asiolewe The only
 
Haufuatilia muziki vizuri....muziki umebadilika. Kama wewe ni wa 74 taste ya vijana wa sasa imebadilika.

Flowers ya mwaka Jana tu ya Miley ina views karibu bilioni moja YouTube.

Hip hop ndiyo usiseme imebadilika hatari.
 
Unazingua mkuu hivi unamjua the Weeknd huo mwaka alikuwa na album yake ili hit sana na Kuna song mule Linaitwa I feel it coming unalijua na Kuna mkwaju kama reminder
Na Kuna ed kutoka London unampata unajua mwaka huo alipiga Ngoma kalii sana ya kuitwa Shape of You by Ed Sheeran
 
Haufuatilia muziki vizuri....muziki umebadilika. Kama wewe ni wa 74 taste ya vijana wa sasa imebadilika.

Flowers ya mwaka Jana tu ya Miley ina views karibu bilioni moja YouTube.

Hip hop ndiyo usiseme imebadilika hatari.
muulize goosebumps imetoka mwaka gani, humble, rockstar?

halafu sia mbona sio mmarekani

amapiano na naija ndo zimejaa mitaani watu hawasikilizi tena US

Gen Z ni amapiano 100% hilo lipo wazi
 
Unazingua mkuu hivi unamjua the Weeknd huo mwaka alikuwa na album yake ili hit sana na Kuna song mule Linaitwa I feel it coming unalijua na Kuna mkwaju kama reminder
Na Kuna ed kutoka London unampata unajua mwaka huo alipiga Ngoma kalii sana ya kuitwa Shape of You by Ed Sheeran

Wamekariri mambo hawa mkuu [emoji1787]
 
Back
Top Bottom