Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wanazingua sana mkuu😀😃😃😃Wamekariri mambo hawa mkuu [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazingua sana mkuu😀😃😃😃Wamekariri mambo hawa mkuu [emoji1787]
Exactly 💯 mkuu saivi kuanzia sounds tu mziki umebadilika sanaMuda umemtupa mkono....bado anadhani vijana wa 2000 wanawasikiliza Sean Paul....Hip hop sasa hivi ni trap...
According to you....Nikipiga wimbo wa 2008 -09 nikiwa around vijana wa 2000 wanalalamika saana.Trap is trash!
Wazee wa mwaka 2024 nyimbo zao ndio hizo alizotaja mleta threadHaufuatilia muziki vizuri....muziki umebadilika. Kama wewe ni wa 74 taste ya vijana wa sasa imebadilika.
Flowers ya mwaka Jana tu ya Miley ina views karibu bilioni moja YouTube.
Hip hop ndiyo usiseme imebadilika hatari.
Hapo namuongezea na after hoursKwahiyo hata hizi huzijui, au hit song unamaanisha nini?
Blinding Lights
Heat waves
Lose Control
Stargazing
A bar song(tipsy)
Cruel Summer
Fast Car
It is trash, lame lyrics on lame beats.According to you....Nikipiga wimbo wa 2008 -09 nikiwa around vijana wa 2000 wanalalamika saana.
Ulimskia Abby alisema hamjui TID?
clean bandit ni wamarekani kweli? jamaa amechanganya sana mamboBarbie world ya Nikk Minaj na Ice spice...Labda muziki wetu umekua pia......
Clean Bandit waingereza Sia Australia japo makazi kwa wingi state.clean bandit ni wamarekani kweli? jamaa amechanganya sana mambo
muziki wetu umekua, kila mtu siku hizi anashika smart
zamani washua ndo walikua nazo
Ila ujue mkuu mwaka jana Beyonce alikimbiza sana kwenye tour zake kapiga sana hela kwa mwaka huu hamna msanii alievunja rekodi ya Beyonce upande wa tour kwa mwaka jana na alikuja na Album yake inaitwa Cowboy Carter mwaka huu imepiga hela na bado anaMziki wa Kimarekani umekuwa mid kwenye genres karibia zote. Hata trap yenyewe na mumble rap imeshuka.
2012 to 2015 niliona competition kali kwenye rap. Ukali ukaja mwishoni kuishia kwenye 2018 hivi. Baada ya hapo ni wasanii na songs zinazotrend kwa reels na Tiktok challenges.
Kina Rihanna, Beyonce, Minaj wanakuwa replaced eti na kina Ice Spice, Doja Cat na Meghan Thee. Viwango vinavyoshika hatamu ni duni.
Kwenye hiyo list yako siijui nyimbo hata moja hapo, labda kwenye iyo lose control unamaanisha ile aliyoimba Keri hilson na Nelly LavitKwahiyo hata hizi huzijui, au hit song unamaanisha nini?
Blinding Lights
Heat waves
Lose Control
Stargazing
A bar song(tipsy)
Cruel Summer
Fast Car
Hiyo nyimbo ya flowers ya Miley Cyrus nimetoka kusikiliza sahivi, sielewi hata anachoimba, naiona ya hovyo DabyHaufuatilia muziki vizuri....muziki umebadilika. Kama wewe ni wa 74 taste ya vijana wa sasa imebadilika.
Flowers ya mwaka Jana tu ya Miley ina views karibu bilioni moja YouTube.
Hip hop ndiyo usiseme imebadilika hatari.
Hiyo tour sio matokeo ya kazi ya mwaka huu. Tour inasababishwa na mkusanyiko wa juhudi za miaka kadhaa, Beyonce kaimba miaka ana albums, rekodi, tuzo na achievement kubwa kimziki. Hata asingekuwa na album bado angefanya tuzo angeuza.Ila ujue mkuu mwaka jana Beyonce alikimbiza sana kwenye tour zake kapiga sana hela kwa mwaka huu hamna msanii alievunja rekodi ya Beyonce upande wa tour kwa mwaka jana na alikuja na Album yake inaitwa Cowboy Carter mwaka huu imepiga hela na bado ana
Renaissance World Tour inaendelea
Not Like Us?Habarini,
International hit songs za mwisho mwisho nlizosikia toka usa ni rockabye ya clean bandit, cheap thrills ya sia, labda niiweke summer ya Calvin Harris, sorry ya Justin Bieber baada ya hapo ni kimya.
Miaka ya 2008 kuja Hadi 2013 nlikuwa sina smartphone ila ilikuwa ni hit song from hit song toka usa, kina rihana, Bruno Mars, Justin Timberlake, pitbull ft marc Anthony, neyo, Chris brown, lmfao party rock anthem, maroon 5 moves like jagger, Jennifer Lopez, Niki minaj, usher, walikuwa wanatoa nyimbo zinazohit kweli kweli, nilikua sina simu janja ila nyimbo nikiisikia mtaani mara moja nitatamani kuitafta tena
Sahiv naona nyimbo zinazo hit hapa bongo ni nyimbo toka Nigeria, nlijaribu kuangalia bet awards juzi kati, na nime- search YouTube songs zilizo hit kule USA, naona wasanii wa USA sahivi wanaimba upuuzi tu.
Kuna mwingine anawaza ninavowaza?
Extrovert Lamomy Joannah mshamba_hachekwi atug Evelyn Salt DeepPond mzabzab Poor Brain To yeye Equation x Damaso Nikifa MkeWangu Asiolewe The only
Umesikiliza album yake ya mwaka huu mkuu?Hiyo tour sio matokeo ya kazi ya mwaka huu. Tour inasababishwa na mkusanyiko wa juhudi za miaka kadhaa, Beyonce kaimba miaka ana albums, rekodi, tuzo na achievement kubwa kimziki. Hata asingekuwa na album bado angefanya tuzo angeuza.
Beyonce wa 2024 hawezi mzidi Beyonce wa 2015 uko. Watu wanaongezeka majukumu ta familia, age na kuchoka kazi.
God's Plan?Habarini,
International hit songs za mwisho mwisho nlizosikia toka usa ni rockabye ya clean bandit, cheap thrills ya sia, labda niiweke summer ya Calvin Harris, sorry ya Justin Bieber baada ya hapo ni kimya.
Miaka ya 2008 kuja Hadi 2013 nlikuwa sina smartphone ila ilikuwa ni hit song from hit song toka usa, kina rihana, Bruno Mars, Justin Timberlake, pitbull ft marc Anthony, neyo, Chris brown, lmfao party rock anthem, maroon 5 moves like jagger, Jennifer Lopez, Niki minaj, usher, walikuwa wanatoa nyimbo zinazohit kweli kweli, nilikua sina simu janja ila nyimbo nikiisikia mtaani mara moja nitatamani kuitafta tena
Sahiv naona nyimbo zinazo hit hapa bongo ni nyimbo toka Nigeria, nlijaribu kuangalia bet awards juzi kati, na nime- search YouTube songs zilizo hit kule USA, naona wasanii wa USA sahivi wanaimba upuuzi tu.
Kuna mwingine anawaza ninavowaza?
Extrovert Lamomy Joannah mshamba_hachekwi atug Evelyn Salt DeepPond mzabzab Poor Brain To yeye Equation x Damaso Nikifa MkeWangu Asiolewe The only