Tangu mwaka 2017, naona kama hakuna international hit song yoyote toka marekani

Tangu mwaka 2017, naona kama hakuna international hit song yoyote toka marekani

Hoja yako hasa ni nini mkuu 😃😄 mziki ni number mkuu kama utapataje hit song bila number
Nimekwambia kuhusu album ya Beyonce mpya huijui na juzi kafanya show NFL pengine hata hujui kuhusu NFL
Hoja yangu mbona simple, kama unatazama number of streams Michael Jackson ana wasikilizaji 44 million kwa mwezi kule Spotify, ila album yake ya mwisho ni 2001. Je mziki wa MJ umekuwa bora hii miaka ya 2020s wakati kafariki 2009?

Kama unatazama numbers best performing album ya Beyonce ni ya mwaka gani? Hii Cowboy hata top 3 haikai.

Beyonce kufanya show NFL 2024 ndio kunamfanya awe bora mwaka huu kuliko miaka mingine?

Mtu ana tuzo za Grammy nyingi kuliko msanii yeyote kuwahi tokea duniani, hizo kazipata kabla ya 2024 ila unakuja kumuona ni bora mwaka huu kisa kafanya show ya dakika kadhaa NFL, katoa album mbovu ile mbaya na ana streams 55M Spotify (ambapo top streams ni nyimbo za albums zilizopita sio hii ya 2024) ???

Mashabiki wa ngoma za asili mna shida ya uelewa wa American music industry.
 
True say bro taylor anapewa hype kubwa lakini hamna kitu cha maana anachoimba mi sijui hata nyimbo zake ila rihana,beyonce,nick minaj, naweza kukutajia ngoma zao zote and everybody knows 'em all.
Taylor Swift ni superstar wa kubumba.
Jack Harlow ni rapper uchwara, kukubali mashoga tu ndio kunambeba. Lil Uzi Verti kaja kuwa nominated 2023 baada ya miaka yote ya hit songs na albums kali alafu eti Harlow naye ana tuzo kwa maongezi yake anayofanya (wanadai anarap).

Jay-Z wakati media inapambana kumuangusha alisimama na kipaji kikakaa. Ja Rule ilibidi afungwe na atengwe na wasanii kufanya collabo ndio akapotea, P Diddy walimshindwa kimziki mpaka kaja kukamatwa kwa kesi za jinai, Chris Brown alipopigwa vita na feminists hakupotea sababu ana kipaji.
Hao ni wasanii wa 2000s kuja juu.

Ukija kwa 2020s Da Baby alipotukana mashoga kapotezwa ndani ya mwaka tu. Na style yake ya repetition kila wimbo ikamfanya apotee haraka.
Hawa kina Jack Harlow na Swift wakikosana na music establishments hutoamini watakavyopotea.

Eti sasahivi mojawapo ya rappers bora wa sasa ni 21 Savage😂.
Nakwambia madobi na wapishi wa rappers wa prime ya 50 Cent au Lil Wayne wanaweza rap vizuri kuliko hizi kanjanja tunazolishwa siku hizi.
 
Hoja yangu mbona simple, kama unatazama number of streams Michael Jackson ana wasikilizaji 44 million kwa mwezi kule Spotify, ila album yake ya mwisho ni 2001. Je mziki wa MJ umekuwa bora hii miaka ya 2020s wakati kafariki 2009?

Kama unatazama numbers best performing album ya Beyonce ni ya mwaka gani? Hii Cowboy hata top 3 haikai.

Beyonce kufanya show NFL 2024 ndio kunamfanya awe bora mwaka huu kuliko miaka mingine?

Mtu ana tuzo za Grammy nyingi kuliko msanii yeyote kuwahi tokea duniani, hizo kazipata kabla ya 2024 ila unakuja kumuona ni bora mwaka huu kisa kafanya show ya dakika kadhaa NFL, katoa album mbovu ile mbaya na ana streams 55M Spotify (ambapo top streams ni nyimbo za albums zilizopita sio hii ya 2024) ???

Mashabiki wa ngoma za asili mna shida ya uelewa wa American music industry.
Kwa hiyo Beyonce sio Bora nilikuuliza kuhusu album yake huijui na pengine ujasikiliza hapo bado unasema Beyonce huyu sio yule wa zamani hivi unafuatilia mziki kweli mkuu
 
True say bro taylor anapewa hype kubwa lakini hamna kitu cha maana anachoimba mi sijui hata nyimbo zake ila rihana,beyonce,nick minaj, naweza kukutajia ngoma zao zote and everybody knows 'em all.
Huwezi elewa nyimbo za Taylor sababu sio ainaa ya mziki wako ila mwenzio anaeleweka na wengine ukitaka kumuelewa kasikilize album ya midnight usipotaka endelea kutomuelewa mwenzio anatoa hit
 
Taylor Swift ni superstar wa kubumba.
Jack Harlow ni rapper uchwara, kukubali mashoga tu ndio kunambeba. Lil Uzi Verti kaja kuwa nominated 2023 baada ya miaka yote ya hit songs na albums kali alafu eti Harlow naye ana tuzo kwa maongezi yake anayofanya (wanadai anarap).

Jay-Z wakati media inapambana kumuangusha alisimama na kipaji kikakaa. Ja Rule ilibidi afungwe na atengwe na wasanii kufanya collabo ndio akapotea, P Diddy walimshindwa kimziki mpaka kaja kukamatwa kwa kesi za jinai, Chris Brown alipopigwa vita na feminists hakupotea sababu ana kipaji.
Hao ni wasanii wa 2000s kuja juu.

Ukija kwa 2020s Da Baby alipotukana mashoga kapotezwa ndani ya mwaka tu. Na style yake ya repetition kila wimbo ikamfanya apotee haraka.
Hawa kina Jack Harlow na Swift wakikosana na music establishments hutoamini watakavyopotea.

Eti sasahivi mojawapo ya rappers bora wa sasa ni 21 Savage😂.
Nakwambia madobi na wapishi wa rappers wa prime ya 50 Cent au Lil Wayne wanaweza rap vizuri kuliko hizi kanjanja tunazolishwa siku hizi.
Chris Brown amshukuru sana meneja wake alikuwa stratergic. meneja anakwambia kwa sababu nyimbo za chrisbrown ziliacha kupigwa, wakaja na mbinu ya kufanya collable za wasanii wengine. Anakwambia walihakikisha chris anaomba kushiriki kwenye ngoma za wasanii wengi so wimbo ukipigwa unakuta chris ndiye kaimba chorus, eventually na nyimbo zake zikaanza kupigwa.
Mimi hawa mumble rappers sijawahi kuwaelewa sema najua huenda nimezeeka na muziki umebadilika so kuna wanaowaelewa.
Na muziki bado utazidi kuharibika sana kuna ngoma zitaanza kutolewa na AI mpaka mtu ushindwe kutofautiisha upi muziki wa kweli na upi fake. Imagine hii ngoma ya kiswahili nimeitengeneza kwa AI kuanzia beat, lyrics zimeandikwa na chat gpt japo nimeziedit kidogo. Na huu ni mwanzo jinsi AI inavyokuwa bora ndivyo inavyozidi kuleta balaa.
Huu unaitwa now we are free nao wa kiswahili.


Hii ni cover ya wimbo wa goodlucky nayo nimeirudia upya kwa AI japo nimepunguza baadhi ya mistari.

 
Kwa hiyo Beyonce sio Bora nilikuuliza kuhusu album yake huijui na pengine ujasikiliza hapo bado unasema Beyonce huyu sio yule wa zamani hivi unafuatilia mziki kweli mkuu
Wapi nimesema sijasikiliza album mpya ya Beyonce, au unajiona Spotify unatumia wewe peke yako humu? Album yake ni mid ila ina numbers sababu hakuna option mziki wa Marekani umeporomoka.

Beyonce sijui umemjua mwaka huu, hadi kumuona NFL unaona ni bonge la deal wakati kabla ya hiyo NFL ana BET awards jumla ya 32 na nominations kibao.

Yeye mwenyewe ukimwambia hii Cowboy ni best album yake atakuona wakuja. Kimauzo, kimafanikio, mapokeo, best hits, uandishi hii album yake hata top 3 zake siioni.
 
Huwezi elewa nyimbo za Taylor sababu sio ainaa ya mziki wako ila mwenzio anaeleweka na wengine ukitaka kumuelewa kasikilize album ya midnight usipotaka endelea kutomuelewa mwenzio anatoa hit
Kiongozi hit kali zote zinajulikana na watu wengi..ukiona wimbo wanaujua watu wachache wafatiliaji sana wa mziki..ujue sio hit song....
 
Siku hizi Amapiano ndo kila kitu, hizo za US hazina vibe
 
Meanwhile Fein ya Travis tu ilipigwa huko Milano Italy, watu wakabounce mpaka wakasababisha tetemeko la ardhi.
 
Kumekuwa na international hits kibao tu toka US, Inawezekana hauziskii kwa kuwa amapiano zimetawala mno Bongo.
Baadhi ni kama vile:
  • God's Plan
  • The Box
  • Not like us
  • Lucid dreams
  • As it was
  • Stay ya Kid Laroi n.k
 
Back
Top Bottom