Tangu mwaka 2017, naona kama hakuna international hit song yoyote toka marekani

Tangu mwaka 2017, naona kama hakuna international hit song yoyote toka marekani

Habarini,

International hit songs za mwisho mwisho nlizosikia toka usa ni rockabye ya clean bandit, cheap thrills ya sia, labda niiweke summer ya Calvin Harris, sorry ya Justin Bieber baada ya hapo ni kimya.

Miaka ya 2008 kuja Hadi 2013 nlikuwa sina smartphone ila ilikuwa ni hit song from hit song toka usa, kina rihana, Bruno Mars, Justin Timberlake, pitbull ft marc Anthony, neyo, Chris brown, lmfao party rock anthem, maroon 5 moves like jagger, Jennifer Lopez, Niki minaj, usher, walikuwa wanatoa nyimbo zinazohit kweli kweli, nilikua sina simu janja ila nyimbo nikiisikia mtaani mara moja nitatamani kuitafta tena

Sahiv naona nyimbo zinazo hit hapa bongo ni nyimbo toka Nigeria, nlijaribu kuangalia bet awards juzi kati, na nime- search YouTube songs zilizo hit kule USA, naona wasanii wa USA sahivi wanaimba upuuzi tu.

Kuna mwingine anawaza ninavowaza?

Extrovert Lamomy Joannah mshamba_hachekwi atug Evelyn Salt DeepPond mzabzab Poor Brain To yeye Equation x Damaso Nikifa MkeWangu Asiolewe The only
BIASHARA YA MUZIKI MAREKANI INAKUFA KWASABABU YA LAANA YA KUMWAGA DAMU ZA WANAMUZIKI KWA KUWAUWA KWA RISASI
 
Ndio mbona ipo vizuri sana au ujatizama huko Spotify inavyopiga maokoto
Kumbe unalinganisha ubora wa kitu kwa bei na mauzo. Sasa wasisikilize hiyo album wasikilize kitu gani wakati wasanii waliopo sasa hivi ni mid?

Sasa hivi Kendrick Lamar akitoa album hata iwe mbovu vipi watasikiliza sababu hakuna option nyingine kali. Ila waliokuwepo early 2000s wataelezea Nelly atoe album, hapohapo 50 Cent, kidogo tena Jay-Z, Eminem atoe EP, Nas nae yumo, Ja Rule, Snoop Dogg.

Rap songs za mid 2010s kipindi Future anapiga hook, Lil Wayne yuko na kina YMCMB na Birdman, Young Thug yuko na Rich Gang, Drake hashikiki, J Cole na Kendrick wako juu. Hiyo moment ndio uilinganishe na hawa marapa uchwara kina Jack Harlow?
 
Habarini,

International hit songs za mwisho mwisho nlizosikia toka usa ni rockabye ya clean bandit, cheap thrills ya sia, labda niiweke summer ya Calvin Harris, sorry ya Justin Bieber baada ya hapo ni kimya.

Miaka ya 2008 kuja Hadi 2013 nlikuwa sina smartphone ila ilikuwa ni hit song from hit song toka usa, kina rihana, Bruno Mars, Justin Timberlake, pitbull ft marc Anthony, neyo, Chris brown, lmfao party rock anthem, maroon 5 moves like jagger, Jennifer Lopez, Niki minaj, usher, walikuwa wanatoa nyimbo zinazohit kweli kweli, nilikua sina simu janja ila nyimbo nikiisikia mtaani mara moja nitatamani kuitafta tena

Sahiv naona nyimbo zinazo hit hapa bongo ni nyimbo toka Nigeria, nlijaribu kuangalia bet awards juzi kati, na nime- search YouTube songs zilizo hit kule USA, naona wasanii wa USA sahivi wanaimba upuuzi tu.

Kuna mwingine anawaza ninavowaza?

Extrovert Lamomy Joannah mshamba_hachekwi atug Evelyn Salt DeepPond mzabzab Poor Brain To yeye Equation x Damaso Nikifa MkeWangu Asiolewe The only
Kukua kwa mziki wa Africa kumefanya pia tusifocus kwenye miziki yao sana kamazamani....saivi top 20 za Bongo asilimia kubwa ni nyimbo zetu
 
Kumbe unalinganisha ubora wa kitu kwa bei na mauzo. Sasa wasisikilize hiyo album wasikilize kitu gani wakati wasanii waliopo sasa hivi ni mid?

Sasa hivi Kendrick Lamar akitoa album hata iwe mbovu vipi watasikiliza sababu hakuna option nyingine kali. Ila waliokuwepo early 2000s wataelezea Nelly atoe album, hapohapo 50 Cent, kidogo tena Jay-Z, Eminem atoe EP, Nas nae yumo, Ja Rule, Snoop Dogg.

Rap songs za mid 2010s kipindi Future anapiga hook, Lil Wayne yuko na kina YMCMB na Birdman, Young Thug yuko na Rich Gang, Drake hashikiki, J Cole na Kendrick wako juu. Hiyo moment ndio uilinganishe na hawa marapa uchwara kina Jack Harlow?
Screenshot (33).png

sawa mkuu
 
Kumbe unalinganisha ubora wa kitu kwa bei na mauzo. Sasa wasisikilize hiyo album wasikilize kitu gani wakati wasanii waliopo sasa hivi ni mid?

Sasa hivi Kendrick Lamar akitoa album hata iwe mbovu vipi watasikiliza sababu hakuna option nyingine kali. Ila waliokuwepo early 2000s wataelezea Nelly atoe album, hapohapo 50 Cent, kidogo tena Jay-Z, Eminem atoe EP, Nas nae yumo, Ja Rule, Snoop Dogg.

Rap songs za mid 2010s kipindi Future anapiga hook, Lil Wayne yuko na kina YMCMB na Birdman, Young Thug yuko na Rich Gang, Drake hashikiki, J Cole na Kendrick wako juu. Hiyo moment ndio uilinganishe na hawa marapa uchwara kina Jack Harlow?
MJADALA UFUNGWE UMEMALIZA KILA KITU
 
Miaka ya 2008 kuja Hadi 2013
Yaani umegusa mule mule hicho kipindi kilikuwa moto sana kwa hits, hadi leo ndo playlist nazosikiliza aiseee.

Za miaka ya sasa international hits ni chache sana kama “All my life” jcole.
 
Yaani umegusa mule mule hicho kipindi kilikuwa moto sana kwa hits, hadi leo ndo playlist nazosikiliza aiseee.

Za miaka ya sasa international hits ni chache sana kama “All my life” jcole.
Nimetoka kupitia Spotify 2024 Wrapped yangu my top 20 songs mwaka huu kuna nyimbo mbili tu za hivi karibuni, Count me Out ya Kendrick Lamar na Oh you Went ya Young Thug ft. Drake.

The rest ni rap songs za miaka ya nyuma. Kuna wakurupukaji fulani walidai eti Cardi B ni zaidi ya Nicki Minaj, wakati hata hamkaribii. Eti Jack Harlow naye anapata BET ya Hip Hop 😂

Wokeism
 
Barbie world ya Nikk Minaj na Ice spice...Labda muziki wetu umekua pia......
Unaonekana una tatizo la kutokujua hata hit songs ni nyimbo za aina gani. Barbie world ya ice spice na onika tanya maraji sio hit song.
 
Habarini,

International hit songs za mwisho mwisho nlizosikia toka usa ni rockabye ya clean bandit, cheap thrills ya sia, labda niiweke summer ya Calvin Harris, sorry ya Justin Bieber baada ya hapo ni kimya.

Miaka ya 2008 kuja Hadi 2013 nlikuwa sina smartphone ila ilikuwa ni hit song from hit song toka usa, kina rihana, Bruno Mars, Justin Timberlake, pitbull ft marc Anthony, neyo, Chris brown, lmfao party rock anthem, maroon 5 moves like jagger, Jennifer Lopez, Niki minaj, usher, walikuwa wanatoa nyimbo zinazohit kweli kweli, nilikua sina simu janja ila nyimbo nikiisikia mtaani mara moja nitatamani kuitafta tena

Sahiv naona nyimbo zinazo hit hapa bongo ni nyimbo toka Nigeria, nlijaribu kuangalia bet awards juzi kati, na nime- search YouTube songs zilizo hit kule USA, naona wasanii wa USA sahivi wanaimba upuuzi tu.

Kuna mwingine anawaza ninavowaza?

Extrovert Lamomy Joannah mshamba_hachekwi atug Evelyn Salt DeepPond mzabzab Poor Brain To yeye Equation x Damaso Nikifa MkeWangu Asiolewe The only
Nilidhani nazeeka peke yangu ahaha kumbe tupo wengi
 
Upo sahihi kwa sasa hivi wasanii wa marekani hawatoi international mega hit songs nyingi kama zamani kwasababu wasanii wa sasa hivi uwezo wao ni mdogo na wanategemea sana hype,kiki na scandals kufanya nyimbo zao ziende mjini kuliko vipaji vyao.

Kwa hakika kuanzia mwaka 2018 kurudi nyuma zilitoka ngoma kali sana,zikahiti sana na hata watoto wadogo walizijua ngoma hizo leo hii hakuna kitu ni matusi na mbususu nje nje.

×Unaikumbuka kiss me through the phone ya soldier boy?
×Unaikumbuka heartless ya kanye west?
×Unaikumbuka black and yellow ya wiz khalifa?
×Unaikumbuka classic men ya jidena?
×Unaikumbuka wigo wigo ya jason darulo?
×Unaikumbuka empire state of mind ya hov na miss alicia aka mrs swiz beatz?
×Coming home ya mla viboga diddy na skyler grey?
×Storm is over now ya pedophile r kelly?
×Temperature ya sean paul je? church anthem je? disco inferno je? i need a doctor je? usiniambie hizi zote za zamani let me love u je ya tolly renz? see u again ya wiz khalifa na charlie puth? high school je?
 
Habarini,

International hit songs za mwisho mwisho nlizosikia toka usa ni rockabye ya clean bandit, cheap thrills ya sia, labda niiweke summer ya Calvin Harris, sorry ya Justin Bieber baada ya hapo ni kimya.

Miaka ya 2008 kuja Hadi 2013 nlikuwa sina smartphone ila ilikuwa ni hit song from hit song toka usa, kina rihana, Bruno Mars, Justin Timberlake, pitbull ft marc Anthony, neyo, Chris brown, lmfao party rock anthem, maroon 5 moves like jagger, Jennifer Lopez, Niki minaj, usher, walikuwa wanatoa nyimbo zinazohit kweli kweli, nilikua sina simu janja ila nyimbo nikiisikia mtaani mara moja nitatamani kuitafta tena

Sahiv naona nyimbo zinazo hit hapa bongo ni nyimbo toka Nigeria, nlijaribu kuangalia bet awards juzi kati, na nime- search YouTube songs zilizo hit kule USA, naona wasanii wa USA sahivi wanaimba upuuzi tu.

Kuna mwingine anawaza ninavowaza?

Extrovert Lamomy Joannah mshamba_hachekwi atug Evelyn Salt DeepPond mzabzab Poor Brain To yeye Equation x Damaso Nikifa MkeWangu Asiolewe The only
Zipo zingi mbn😆
 
Haufuatilia muziki vizuri....muziki umebadilika. Kama wewe ni wa 74 taste ya vijana wa sasa imebadilika.

Flowers ya mwaka Jana tu ya Miley ina views karibu bilioni moja YouTube.

Hip hop ndiyo usiseme imebadilika hatari.
Views siyo issue,jamaa muziki wao ni shudu siku hizi
 
Habarini,

International hit songs za mwisho mwisho nlizosikia toka usa ni rockabye ya clean bandit, cheap thrills ya sia, labda niiweke summer ya Calvin Harris, sorry ya Justin Bieber baada ya hapo ni kimya.

Miaka ya 2008 kuja Hadi 2013 nlikuwa sina smartphone ila ilikuwa ni hit song from hit song toka usa, kina rihana, Bruno Mars, Justin Timberlake, pitbull ft marc Anthony, neyo, Chris brown, lmfao party rock anthem, maroon 5 moves like jagger, Jennifer Lopez, Niki minaj, usher, walikuwa wanatoa nyimbo zinazohit kweli kweli, nilikua sina simu janja ila nyimbo nikiisikia mtaani mara moja nitatamani kuitafta tena

Sahiv naona nyimbo zinazo hit hapa bongo ni nyimbo toka Nigeria, nlijaribu kuangalia bet awards juzi kati, na nime- search YouTube songs zilizo hit kule USA, naona wasanii wa USA sahivi wanaimba upuuzi tu.

Kuna mwingine anawaza ninavowaza?

Extrovert Lamomy Joannah mshamba_hachekwi atug Evelyn Salt DeepPond mzabzab Poor Brain To yeye Equation x Damaso Nikifa MkeWangu Asiolewe The only
Ni kweli aisee
 
Ila ujue mkuu mwaka jana Beyonce alikimbiza sana kwenye tour zake kapiga sana hela kwa mwaka huu hamna msanii alievunja rekodi ya Beyonce upande wa tour kwa mwaka jana na alikuja na Album yake inaitwa Cowboy Carter mwaka huu imepiga hela na bado ana
Renaissance World Tour inaendelea
Tour wasanii kibao wa wazamani wanafanya kwa kutumia base ya mashabiki wao
 
Back
Top Bottom