Tangu mwaka 2017, naona kama hakuna international hit song yoyote toka marekani

Tangu mwaka 2017, naona kama hakuna international hit song yoyote toka marekani

Habarini,

International hit songs za mwisho mwisho nlizosikia toka usa ni rockabye ya clean bandit, cheap thrills ya sia, labda niiweke summer ya Calvin Harris, sorry ya Justin Bieber baada ya hapo ni kimya.

Miaka ya 2008 kuja Hadi 2013 nlikuwa sina smartphone ila ilikuwa ni hit song from hit song toka usa, kina rihana, Bruno Mars, Justin Timberlake, pitbull ft marc Anthony, neyo, Chris brown, lmfao party rock anthem, maroon 5 moves like jagger, Jennifer Lopez, Niki minaj, usher, walikuwa wanatoa nyimbo zinazohit kweli kweli, nilikua sina simu janja ila nyimbo nikiisikia mtaani mara moja nitatamani kuitafta tena

Sahiv naona nyimbo zinazo hit hapa bongo ni nyimbo toka Nigeria, nlijaribu kuangalia bet awards juzi kati, na nime- search YouTube songs zilizo hit kule USA, naona wasanii wa USA sahivi wanaimba upuuzi tu.

Kuna mwingine anawaza ninavowaza?

Extrovert Lamomy Joannah mshamba_hachekwi atug Evelyn Salt DeepPond mzabzab Poor Brain To yeye Equation x Damaso Nikifa MkeWangu Asiolewe The only
Zipo nyingi labda siyo za taste yako kwa vile hit kubwa sasa ni za waimbaji wa kike.


View: https://www.youtube.com/watch?v=eVli-tstM5E


View: https://www.youtube.com/watch?v=Sl6en1NPTYM

Huu wimbo hapa chini ni wa mnigeria lakini unajulikana sana kwenye vituo vya redio marekani kama wa Selena Gomez


View: https://www.youtube.com/watch?v=WcIcVapfqXw
 
Vipi ile ya pdidy-babyoil

1735252372060.jpeg
 
Hizi zote sio hit songs labda kama hamjui hit songs ni nyimbo za aina gani.
Wewe kaa kimya haujui mziki kwanza unasema after hours sio hit song😃😄😄😄😃😃😃😃 Daby unamuelewa huyu jamaa kwanza anamjua hata the Weeknd huyu au kadandia mada
 
Wewe kaa kimya haujui mziki kwanza unasema after hours sio hit song😃😄😄😄😃😃😃😃 Daby unamuelewa huyu jamaa kwanza anamjua hata the Weeknd huyu au kadandia mada
Naona unakomaa na the weekend..lakini ukweli ni kwamba hit kali zimepungua sana Kwa USA..niambie wimbo Gani wa marekani umevuma Africa kama tswala bam ya south Africa..
Kipindi Cha nyuma USA walikuwa watoa Ngoma za Dunia..unaikumbuka all the way up..ya akina fat joe..unakumbuka classic ya jidenna.. Ngoma za akina rich homie Quan..sijaongelea hit za miaka ya 2000 ilikuwa balaa zito dilemma ya Nelly..akina 50..jarule..Eminem..R.kelly..
Kuna hit Gani kama New York ya jarule fat joe na Jadakiss Kwa sasa..au make it rain ya fat joe..tukubali ukweli
 
Naona unakomaa na the weekend..lakini ukweli ni kwamba hit kali zimepungua sana Kwa USA..niambie wimbo Gani wa marekani umevuma Africa kama tswala bam ya south Africa..
Kipindi Cha nyuma USA walikuwa watoa Ngoma za Dunia..unaikumbuka all the way up..ya akina fat joe..unakumbuka classic ya jidenna.. Ngoma za akina richka homie Quan..sijaongelea hit za miaka ya 2000 ilikuwa balaa zito dilemma ya Nelly..akina 50..jarule..Eminem..R.kelly..
Kuna hit Gani kama New York ya jarule fat joe na Jadakiss Kwa sasa..au make it rain ya fat joe..tukubali ukweli
Nyie sijui mnataka hit Gani mnapima hit kwa vigezo Gani usikute hata nyimbo hizi na wasanii Hawa huwajui


View: https://youtu.be/cF1Na4AIecM?si=g-XlJMIcS8rksvAi


View: https://youtu.be/ekr2nIex040?si=yQ4Wt0_0_8VW5DMQ



View: https://youtu.be/G7KNmW9a75Y?si=VenkmFKXRpYHfsaA
 
Naona unakomaa na the weekend..lakini ukweli ni kwamba hit kali zimepungua sana Kwa USA..niambie wimbo Gani wa marekani umevuma Africa kama tswala bam ya south Africa..
Kipindi Cha nyuma USA walikuwa watoa Ngoma za Dunia..unaikumbuka all the way up..ya akina fat joe..unakumbuka classic ya jidenna.. Ngoma za akina rich homie Quan..sijaongelea hit za miaka ya 2000 ilikuwa balaa zito dilemma ya Nelly..akina 50..jarule..Eminem..R.kelly..
Kuna hit Gani kama New York ya jarule fat joe na Jadakiss Kwa sasa..au make it rain ya fat joe..tukubali ukweli
Zilivuma Africa unataka kuniambia hiyo nyimbo ndio ilivuma sana sema imevuma south afrika na Tanzania maana nyie ndio mnapenda amapiano zaidi south side zimevuma Ngoma kibao tu kuliko hiyo Tshwala bam ngoja nikupe link ukatizame YouTube


View: https://youtu.be/g_hgm2Mf6Ag?si=W559_qfiV63js09r


View: https://youtu.be/TtZlEzaXm48?si=9p2RxIn4kZD6kUNg


View: https://youtu.be/Ue4G12_m5eI?si=vSS4EdCKNCUc_uVz


View: https://youtu.be/qrTC_pBFt3o?si=Td027ONxanpfvC_x
 
Ila ujue mkuu mwaka jana Beyonce alikimbiza sana kwenye tour zake kapiga sana hela kwa mwaka huu hamna msanii alievunja rekodi ya Beyonce upande wa tour kwa mwaka jana na alikuja na Album yake inaitwa Cowboy Carter mwaka huu imepiga hela na bado ana
Renaissance World Tour inaendelea

Mkuu HAKUNA MSANII anaemfikia Taylor Swift kwenye mauzo ya album, tuzo ama tours. Ndio huyo wanaemtengeneza kuwa the next Michael Jackson

Sasa niambie uyo Taylor ana nini zaidi ya kuwa average singer, writer and peformer. Hilo linatosha kukwambia kuwa muziki wa marekani umedrop
 
Mkuu HAKUNA MSANII anaemfikia Taylor Swift kwenye mauzo ya album, tuzo ama tours. Ndio huyo wanaemtengeneza kuwa the next Michael Jackson

Sasa niambie uyo Taylor ana nini zaidi ya kuwa average singer, writer and peformer. Hilo linatosha kukwambia kuwa muziki wa marekani umedrop
Taylor Swift ni Miley Cyrus aliyechangamka. Wasanii wa media houses, wakupikwa.
 
Haufuatilia muziki vizuri....muziki umebadilika. Kama wewe ni wa 74 taste ya vijana wa sasa imebadilika.

Flowers ya mwaka Jana tu ya Miley ina views karibu bilioni moja YouTube.

Hip hop ndiyo usiseme imebadilika hatari.

Muziki wa marekani umedrop ndio maana soko lao kwa sasa wanajaribu kuweka genres zingine mfano kushirikisha sana afro beatz au latina artists ili mambo yaende vizuri.

Angalia tu pop star wa sasa ni Taylor Swift ambaye anavunja kila rekodi lakini yupo average kwenye kila kitu ila whites wanamkubali sana. At least wanafurahia white person kutawala muziki

Hakuna black pop star mpya kwa sasa, Beyonce anafurukuta lakini wapi, Bruno Mars at least ana muziki na numbers, Rihanna kashaacha muziki, huyo SZA ni pure RnB, The weekend hana ukubwa wa kina MJ au hata Chris Brown kwenye prime yake. Wengine kama chloe Or victoria Monnet nai ni average

Haya kwa whites, huyo Billie Hellish sio cross over artists na sidhani kama ashawahi kuwa na mega success ya tours or anything outside marekani.

Mimi namuelewa mtoa mada maana kuna kipindi MAREKANI ndio ilikuwa inatoa global stars na muziki. Lakini leo hamna kitu na hiyo imesababishwa na soko la marekani kuendeshwa na digital streams lakini pia kujali likability and controversies za mitandaoni kuliko pure talents. Mtasema ni uzee ila hata wamarekani wanajua muziki wao umedrop sana, sanaaa kwenye UBORA
 
Sijui mna akili gani za mziki hadi tunatumia nguvu nyingi kuelekezana.

Kama unatazama ubora wa mziki kwa number of streams basi Michael Jackson album yake ya mwisho ni 2001 na kafariki 2009 ila monthly listeners ana 44M Spotify, kwahiyo MJ mziki wake ni bora kwenye hizi 2020s ambapo wala hakuwepo duniani?
 
Sijui mna akili gani za mziki hadi tunatumia nguvu nyingi kuelekezana.

Kama unatazama ubora wa mziki kwa number of streams basi Michael Jackson album yake ya mwisho ni 2001 na kafariki 2009 ila monthly listeners ana 44M Spotify, kwahiyo MJ mziki wake ni bora kwenye hizi 2020s ambapo wala hakuwepo duniani?
Hoja yako hasa ni nini mkuu 😃😄 mziki ni number mkuu kama utapataje hit song bila number
Nimekwambia kuhusu album ya Beyonce mpya huijui na juzi kafanya show NFL pengine hata hujui kuhusu NFL
 
Habarini,

International hit songs za mwisho mwisho nlizosikia toka usa ni rockabye ya clean bandit, cheap thrills ya sia, labda niiweke summer ya Calvin Harris, sorry ya Justin Bieber baada ya hapo ni kimya.

Miaka ya 2008 kuja Hadi 2013 nlikuwa sina smartphone ila ilikuwa ni hit song from hit song toka usa, kina rihana, Bruno Mars, Justin Timberlake, pitbull ft marc Anthony, neyo, Chris brown, lmfao party rock anthem, maroon 5 moves like jagger, Jennifer Lopez, Niki minaj, usher, walikuwa wanatoa nyimbo zinazohit kweli kweli, nilikua sina simu janja ila nyimbo nikiisikia mtaani mara moja nitatamani kuitafta tena

Sahiv naona nyimbo zinazo hit hapa bongo ni nyimbo toka Nigeria, nlijaribu kuangalia bet awards juzi kati, na nime- search YouTube songs zilizo hit kule USA, naona wasanii wa USA sahivi wanaimba upuuzi tu.

Kuna mwingine anawaza ninavowaza?

Extrovert Lamomy Joannah mshamba_hachekwi atug Evelyn Salt DeepPond mzabzab Poor Brain To yeye Equation x Damaso Nikifa MkeWangu Asiolewe The only
We mkuu umesahau balaa la unforgettable la French Montanna la mwaka 2017 April. Lile lilikuwa balaa si kidogo kila mahali duniani kote watu wanaimba unforgettable.
 
Back
Top Bottom