KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,370
- 5,381
duh pole mkuuHapana, nilikuta ishatolewa muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh pole mkuuHapana, nilikuta ishatolewa muda
Ana tatizo la kimaumbile au kovu linalomnyima amani.Hapana, kabla ya kumuoa sijawahi mnyandua
Ndugu zangu salam sana, nina mwanamke niliyemuoa takriban mwaka sasa. Shida imejitokeza, tangu nimuoe hataki tufanye tendo nyakati za mchana, atatoa kisingizio chochote cha kuumwa ili mradi asiliwe mchana. Ikifika usiku pia hataki mwanga wa taa yeyote tunapofanya tendo. Ninashindwa kumuelewa, ndivyo alivyo? au kuna kitu anakifanya na kunificha bila mimi kujua? Msaada wa mawazo please.
Hapana, hatukuonjana kwakweli... Nimemuonja baada ya kumuoa
Mpaka nyie mnaona si halali kuwaowa bila kuwaonja ama kweli dunia imevaa dera la manyotanyota..[emoji23]
Mkituonja na sisi tunapata jibu kama tufunge pingu za maisha ama tuendelee kutafuta
Wanaume walivyo wachache usipoonja unaweza kujikuta unaolewa na mwenye mashine inaamka mara moja kwa mwezi
Wewe tena mbona tunajua..😂Me mwenyewe siolewi na mtu hatujaonjana
Hakufundwa huyo?!
Na mwanamke hana amri juu ya mwili wake isipokuwa mumewe na hivyo hivyo kwa mwanaume hana amri juu ya mwili wake isipokuwa mwanamke. MSINYIMANE
😀😀😀😀Hapana, hatukuonjana kwakweli... Nimemuonja baada ya kumuoa
Wewe tena mbona tunajua..[emoji23]
Mimi nna demu hatakagi kuvua sidiria yake kamwe.
Huyu siwez kumuoa hata kidogo, yaani yeye kuivua ni HAWEZI hata ufanyaje atatumia ata nguvu zake za akiba afiche nyonyo zake.
Sasa wewe ndgu yang bahat mbaya ushaingia ndoani vumilia tu, huyu wangu nahisi ana ndala ndefu ndo mana hataki kuonesha, huyo wako sijui ana nini.
Nachelea kusema ana makovu ama magamba mwilini
Hujazuiwa kuchepu.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kisa cha kuja kulialia
mlidate vipi?
kigiza giza????
Atajibu kweli hiliUlimkuta bikra?
Kama jibu ni ndio basi mvumilie atabadilika
DuuuhHapana, nilikuta ishatolewa muda
Havui mbele yangu mkuu, bafuni anaenda peke yake tu.Sasa na bafuni anaendaje
Havui mbele yangu mkuu, bafuni anaenda peke yake tu.
Anakwepa kila njia itayofanya niyaone