Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekuja kushtaki au ulalamika? Miaka saba hujajua tabua za mkeo, hataki mchana labda anatoa sauti ya miguno mikubwa hivyo anaogopa kusababisha taharuki hataki mwanga hilo ulitakiwa ujue sababu nini maana wanawake wengine wanaona aibu akiwa anapigwa mashine na mwanga upo utajua macho yake yanavyobehave wakati wa mgegedo
Duh huu mpapuchi gani huu🤔Huenda Atakua na maumbile mabaya Sana uko chini, Hayavutii kumtizama[emoji3525]View attachment 2061726
Siwez fanya iyo kitu as long as napata tunda fresh tu, wacha afiche.Mvizie akiwa bafuni uingie na wewe
Kuna mipapuchi mingine ni hatari inaweza ikawa na simi refu kama rulaDuh huu mpapuchi gani huu🤔
😂😂🙌Kuna mipapuchi mingine ni hatari inaweza ikawa na simi refu kama rula
Labda ana makovuNdugu zangu salam sana, nina mwanamke niliyemuoa takriban mwaka sasa. Shida imejitokeza, tangu nimuoe hataki tufanye tendo nyakati za mchana, atatoa kisingizio chochote cha kuumwa ili mradi asiliwe mchana. Ikifika usiku pia hataki mwanga wa taa yeyote tunapofanya tendo. Ninashindwa kumuelewa, ndivyo alivyo? au kuna kitu anakifanya na kunificha bila mimi kujua? Msaada wa mawazo please.
ni kabila gani na anatokea mkoa gani?Ndugu zangu salam sana, nina mwanamke niliyemuoa takriban mwaka sasa. Shida imejitokeza, tangu nimuoe hataki tufanye tendo nyakati za mchana, atatoa kisingizio chochote cha kuumwa ili mradi asiliwe mchana. Ikifika usiku pia hataki mwanga wa taa yeyote tunapofanya tendo. Ninashindwa kumuelewa, ndivyo alivyo? au kuna kitu anakifanya na kunificha bila mimi kujua? Msaada wa mawazo please.
Man down !!! I repeat man down 2021 you copy over!!Hapana, hatukuonjana kwakweli... Nimemuonja baada ya kumuoa
Hivi watu mnawezaje kuoana kabla ya kuzagamuana!Hapana, hatukuonjana kwakweli... Nimemuonja baada ya kumuoa
Au na wewe unalo refu
Ndiyo nnalo mkuu una cha kushauri?Au na wewe unalo refu
Da hongera ila hapo jamaa hatakiwi kusafiri kwa muda mrefuNdiyo nnalo mkuu una cha kushauri?
Always on point [emoji122][emoji122][emoji122]She's just being insecure na wanawake wengi ndo tulivyo.
Tupo so conscious of our bodies hata kabla hatujazaa.
Yaani michirizi kidogo tu, au cellulite au hata kakitambi inatosha kabisa kumkosesha mwanamke raha na amani na uwezo wa kukaa uchi mbele ya mumewe.
Cha kufanya, embrace her insecurities, msifie more often and get her to wiggle out of her cocoon.
Huyu hataki umkojoze!! Wakikojoa wanachoka anashindwa kuhudumia wenzio. Huu ndo ukweliMimi nna demu hatakagi kuvua sidiria yake kamwe.
Huyu siwez kumuoa hata kidogo, yaani yeye kuivua ni HAWEZI hata ufanyaje atatumia ata nguvu zake za akiba afiche nyonyo zake.
Sasa wewe ndgu yang bahat mbaya ushaingia ndoani vumilia tu, huyu wangu nahisi ana ndala ndefu ndo mana hataki kuonesha, huyo wako sijui ana nini.
Nachelea kusema ana makovu ama magamba mwilini