Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Samahani ,mkeo ni mpare?
 
Wanawake tunawapenda ila ni wakuwa nao makini sana. Ni vizuri kuoa mwanamke ukiwa huna kitu akukubalie kama ulivyo ili siku ukiwa nacho life still goes on. Ukiwa huna anaelewa
Ndo.maana namuelewa sn wife,
Kumuacha ntakua sijamtendea haki
Alinikuta zero, tumepambana sahv Niko hero
 
Ni ukweli kabisa ila sio kila mwanamke ana tabia ya kishenzi namna hio. Wako wanawake strong ambao hata ukitimuliwa kazi leo heshima yako iko pale pale.
Wenye hofu ya mungu na malezi bora
Hawa wapagani ujipange kisaikolojia[emoji4]
 
Hadi hapo ana mchepuko ila hajamfungulia mlango wa chumbani kwake tu. Mwanamke akianza pigo za vitimbi na kulazimisha kila mtu achukue 50 zake maana ni kwamba anataka awe free na chepuko lake.
Sahii kabisa,
anaitafuta escape door kwanguvu
 
Maisha ni kupanda na kushuka,maisha ni kupata na kukosa.... Kuvumiliana ndo kipimo cha upendo......kama ameshindwa kumvumilia akiwa hana upendo uko wapi? Vipi angepata ajali na kuwa mlemavu wa kudumu kingetokea nini? Yani apambane kumfurahisha sio kwa manufaa ya familia!!!?
 
Option B uwe unaondoka hm kabla hajaamk, na urudi keshalala, sometimes unukie pafyum za kike
Akiomba hela za matumizi je au ununue mahitaji na wew unaondoka kuzuga tu???[emoji1787][emoji1787] Au awe anaendaa kuosha magari na kubeba mizigo mkuu
 
Akiomba hela za matumizi je au ununue mahitaji na wew unaondoka kuzuga tu???[emoji1787][emoji1787] Au awe anaendaa kuosha magari na kubeba mizigo mkuu
Hivi mtu ana ajira tena kamzidi mshaara mume anaomba matumizi ya nini? kaka wa watu atoke tu hata hajui anaelekea wapi mwishowe aonekane mzururaji!

Mtoa post kajikwaa tu kidogo naamini Mungu alitaka kumuonyesha kitu hapo, very soon atasonga.
 
Thats what happens when you love a wrong woman.
 
Hakuna mwanamke wa kukaa mahali ambapo hapana uhakika hata ukaoe mzaramo wa Samvula Chole eti dela la shughuli hana kisa anakuvumilia *****.
Na wewe ndo walewale tu..angekua kakaa bench miaka miwili sawa au angekua haajiriki sawa...muda mchache tu huo..tayari mabadiliko....???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…