Ungeoa msukuma mkuu, yaani hao wanawake ni wife material dunia nzima, atasukuma hata toroli kuendesha family😄😄,siku ingine usirudie🤷🏾♂️mkuu me ni wa rombo mashati hapa hadi vunjo siyo umbali mrefu ki hivyo pia naye ni mchaga mwenzangu
Kunywa Pepsi dada...nitalipiaBahati mbaya hujui unamuambia mtu wa aina gani upupu huu, nishavuka age ya kudate na watu hovyo hovyo.
Then punguza makasiriko Tafuta pesa timiza majukumu yako kama mwanaume.
Cha mwanamke hakitegemewi.
Sure yani...unajikuta janaume limekaa km.furushi la mavi etc mume..hapana jmn..maisha sio marahisi hvoHakuna mwanamke asiejielewa, ukiona unamuona hajielewi basi ujue mumewe ni furushi. Kazi yako nini sasa hadi mkeo asijielewe😳😳😳
Siku hizi hakuna wanawake wa kuoa, wapo maslay queen tu.Siku ukikua au utakapokuwa na akili ndio utaelewa utopolo ulioandika
Ukiondoka kwenda kujichimbia baadae wanakuja kulalama umekimbia kwenu.Pole Mkuu, ndio ukubwa na darasa pia,asante kwa Ku share.
Mimi pia dharau hizo nishaletewa kisa uchumi Wangu mdogo umeporomoka baada ya kupata matatizo na polisi, hakua mke(sijaoa), kimada wala hawara, unadhani Nani? Mama Yangu mzazi, alikua ananiona SHABA TU Sina mipango, goi goi.
Kunywa Pepsi dada...nitalipiaBahati mbaya hujui unamuambia mtu wa aina gani upupu huu, nishavuka age ya kudate na watu hovyo hovyo.
Then punguza makasiriko Tafuta pesa timiza majukumu yako kama mwanaume.
Cha mwanamke hakitegemewi.
Sure yani...unajikuta janaume limekaa km.furushi la mavi etc mume..hapana jmn..maisha sio marahisiHakuna mwanamke asiejielewa, ukiona unamuona hajielewi basi ujue mumewe ni furushi. Kazi yako nini sasa hadi mkeo asijielewe😳😳😳
Kaka. Ni vema ukaoa wa kwenu maana mbinu zao chafu bi mkubwa anazijua hivyo kukufahamisha mapema. Sasa wewe msambaa ukaoe mmakonde huko kusini ambao wamefundishwa kabisa kwamba kugawa uchi sio issue, na ninyi wasambaa mlivyo kua na wivu, si utaua Kijiji kizima kwa usinga!Mimi hii nadharia siiamini, eti kwa vile msambaa nioe msambaa mwenzangu, au mpare mwenzangu. Kwanza dada zangu siwakubali kabisa when it comes to marriage life..
Sasa wewe ukimuangalia diamond unaona kuna mume wa mtu au baba wa familia pale au furushi tu!!Siku hizi hakuna wanawake wa kuoa, wapo maslay queen tu.
Unamuona Diamond? Ndiyo utajua kuwa nilichoandika ni utopolo au ?
Unamuoa mwanamke kila mitandao ya kijamii ana account Instagram, Jamii forum, Facebook, badoo, tinder, tiktok, snapchat, whatsapp, telegram n.k
Kazi yake ni umbea na kubishana na wanaume kama huyu.
Kweli kabisa..mianaume ambayo si type ya kuoa angalia hata akili zao tu..hovyo kabisaSasa wewe ukimuangalia diamond unaona kuna mume wa mtu au baba wa familia pale au furushi tu!!
Sio kila mwanaume ni wa kuoa jamani. Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu. Wengine mkifanya maamuzi mazuri ya kutokuoa, basi jitahidini msizae pia. Mtakuwa mmeiepushia dunia majanga yasiyo ya lazima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] Ukope nini???Imagine mm n dr (MD) ..Ni mwanamke...nikakutana na mwanaume kazini...ndo kwanza una miez 2 tu kwny ajira...ajira ya serikalini...mwanaume nlokutana nae Ana diploma ya Laboratory...hata wiki hatujamaliza kweny mahusiano..ananambia nikope million 18 ninunue gari atembelee..afu mimi ndo nikatwe kwny mshahara..aloo nilimpiga chini siku hyo hyo..wanawake tutafute wanaume wanaojiweza ili watutunze.. hatujaumbwa kuprovide..tena cku hz wanaume wanapiga mizinga afadhali ya wanawake...yani mm.kwny mahusiano yangu cjawahi kupewa hela mimi ndo naombwa hela..ya nini mie..nipo single naenjoy..tangu niachane na mahusiano nimeshanunua kiwanja soon naanza ujenzi..before that hela yangu ilikuwa ni kulisha wanaume tu et mpenzi namvumilia atapata kazi..loh
Katika 100 basi ni 1Ni ukweli kabisa ila sio kila mwanamke ana tabia ya kishenzi namna hio. Wako wanawake strong ambao hata ukitimuliwa kazi leo heshima yako iko pale pale.
Unaona sasa!!! Sasa unataka nani ahudumie familia?So wote tunafanya Kazi tunapata kipato but fedha zangu tu ndio zihudumie familia??za kwako??tutaendelea vipi??kwa mtindo huo bora nisioe but kwangu itakua pesa zetu zote bajeti tunapanga wote zitumike vipi
Umemaliza kila Kitu.Usioe tu, hata hivyo ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu.
Mshukuru Sana mungu wako, Kwa kupata mwanamke mwenye uelewaMkuu napitia hali kama yako kikazi ila nashukuru mke wangu ananiheshimu zaid ya awali, ananiseidia hata ki psycholojia
Kwa kweli namshukuru sna .......
Hahahahahah nina mwaka wa 5 sijabadili mwanaume.Ni jambo zuri ina maana hadi sasa hujaolewa [emoji3][emoji3][emoji3] na wanaume wote wanaojua majukumu yao wanaishia kufokoa mbususu na kusepa tu.
Akili za wanaume wasiotaka kuoa ni za kijinga mno..utakufa na naradhiWale mnaosemaga eti ukioa mkeo atakusapot ukipatwa na matatzo njoon hapa mropoke uharo wenu tena!!!
Kijana kataa ndoa
Ndoa ni ujambaz
Ndoa ni utapeli
Ndoa ni sekta ya kuwafaidisha wanawake
Ndoa ni jehanamu ya wanaume duniani
Ndoa ni njia nyepesi ya mwanaume kufirisika
Ndoa ni njia nyepesi ya mwanaume kufa
KIJANA KATAA NDOA.
Wanataka tuhudumie familiaaaaaa...Kunywa Pepsi dada...nitalipia
Sure yani...unajikuta janaume limekaa km.furushi la mavi etc mume..hapana jmn..maisha sio marahisi hvo
Na hii ndiyo sababu mashoga wengi sikuhizi, wanaume hawataki teeena kujihangaisha kwaajili ya familia zao, na wao wanataka kulelewa mwisho wanalelewaaaaaaaaaaa.Wanaume acheni kukwepa majukumu...mnasingizia et hakuna wanawake wa kuoa,si kweli.
Yani wanaume wanapiga mizinga utafikiri sijui nini..ndo mana wengne wanaolewa sasa
Hongera sana mrembo, bora kujilindaHahahahahah nina mwaka wa 5 sijabadili mwanaume.
Pokea taarifa tafadhali.