mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Shinda mechi zako. Kuoa ni hiyari, moto tunatembeza na kuoa hatuoi. K zimekuwa cheap sana nowadays kuliko hata robo kilo ya nyama ya ng'ombe.Akili za wanaume wasiotaka kuoa ni za kijinga mno..utakufa na naradhi
SafiMkuu, kaka angu, ndugu yangu furaha yako ije kwanza furaha yako iwe ya kwanza. Pili usifanye kazi yyte hapo ndani zaid ya kuoga na kufua nguo zako.
Tatu usijibishane nae kabisa yani akikwambia ushenzi ww kaa kimya shika simu endelea kuperuzi.
Alfu kingine anza kupambana kutafuta chumba nunua godoro kitanda lipa kodi siku ikifika mwambie tu naondoka basi.
MUHIMU ZAID.
Hakikisha kila anapokua anatukana uwe unamrecord.
Ukikua utaelewa.Acha utaahira
Kweli we mzee dada zako hautukubali na uzuri upande wa wasambaa huwa tunaoanaga ndugu kwa nduguMimi hii nadharia siiamini, eti kwa vile msambaa nioe msambaa mwenzangu, au mpare mwenzangu. Kwanza dada zangu siwakubali kabisa when it comes to marriage life..
Hii comment yako ina chembechembe za chuki dhidi ya wanaume, nini kimefanya uwe hivo? ZeshNawashangaaga sana wanaume wa hivyo. Uoga wa majukumu unafanya wanaume wasiwe na sauti ya kiume sikuhizi wamebaki kama makondoo.
Binafsi nasema kabisa asije mtu kunioa akategemea nimsaidie maisha, aje afanye majukumu yake kama mume nitamzalia na watoto nitalea.
Pesa zangu ni zangu.
Ova.
mwanamke sio maji mafuta ya motoNani aliyetaka kukumwagia maji ya moto?
Mkuki kwa nguruwe 😂😂😂 CalimaxImagine mm n dr (MD) ..Ni mwanamke...nikakutana na mwanaume kazini...ndo kwanza una miez 2 tu kwny ajira...ajira ya serikalini...mwanaume nlokutana nae Ana diploma ya Laboratory...hata wiki hatujamaliza kweny mahusiano..ananambia nikope million 18 ninunue gari atembelee..afu mimi ndo nikatwe kwny mshahara..aloo nilimpiga chini siku hyo hyo..wanawake tutafute wanaume wanaojiweza ili watutunze.. hatujaumbwa kuprovide..tena cku hz wanaume wanapiga mizinga afadhali ya wanawake...yani mm.kwny mahusiano yangu cjawahi kupewa hela mimi ndo naombwa hela..ya nini mie..nipo single naenjoy..tangu niachane na mahusiano nimeshanunua kiwanja soon naanza ujenzi..before that hela yangu ilikuwa ni kulisha wanaume tu et mpenzi namvumilia atapata kazi..loh
Itakuwa wewe mdada hauuna chura ndoa maana unapigwa vizinga, samahani lakini CalimaxWanaume acheni kukwepa majukumu, mnasingizia et hakuna wanawake wa kuoa, si kweli.
Yani wanaume wanapiga mizinga utafikiri sijui nini, ndo mana wengne wanaolewa sasa.
Diamond si ana pesa nyingi, na nyie wanawake si mnasema mnapendaga wanaume wenye pesa nyingi wawaoe PellaiahSasa wewe ukimuangalia diamond unaona kuna mume wa mtu au baba wa familia pale au furushi tu!!
Sio kila mwanaume ni wa kuoa jamani. Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu. Wengine mkifanya maamuzi mazuri ya kutokuoa, basi jitahidini msizae pia. Mtakuwa mmeiepushia dunia majanga yasiyo ya lazima.
Nilishakua kitambo even before youUkikua utaelewa.
Pole sana, kisa tu ulitaka kuwasuluhisha?mwanamke sio maji mafuta ya moto
Miaka mitano jamaa anakula mzigo tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahahah nina mwaka wa 5 sijabadili mwanaume.
Pokea taarifa tafadhali.
Chai bin ujiImagine mm n dr (MD) ..Ni mwanamke...nikakutana na mwanaume kazini...ndo kwanza una miez 2 tu kwny ajira...ajira ya serikalini...mwanaume nlokutana nae Ana diploma ya Laboratory...hata wiki hatujamaliza kweny mahusiano..ananambia nikope million 18 ninunue gari atembelee..afu mimi ndo nikatwe kwny mshahara..aloo nilimpiga chini siku hyo hyo..wanawake tutafute wanaume wanaojiweza ili watutunze.. hatujaumbwa kuprovide..tena cku hz wanaume wanapiga mizinga afadhali ya wanawake...yani mm.kwny mahusiano yangu cjawahi kupewa hela mimi ndo naombwa hela..ya nini mie..nipo single naenjoy..tangu niachane na mahusiano nimeshanunua kiwanja soon naanza ujenzi..before that hela yangu ilikuwa ni kulisha wanaume tu et mpenzi namvumilia atapata kazi..loh
Haisaidii kitu kama anarudi mikono mitupu,atafute bodaboda au bajaj aendesheJaribu kutoka toka uzuge Kama Kuna mchongo unasikilizia unavyokaa ndani anakuona huna mpango wowote
usiwe mbish mkuu ukipata"wanawake wote wapo ivyo..."BIG NO
yaan nilichoka mkuu nikipata mda ntaelezea hiki kisaPole sana, kisa tu ulitaka kuwasuluhisha?
Yaani unataka kuniambia kisa mtu kafukuzwa au la achishwa kazi bank leo hii awe bodabodaHaisaidii kitu kama anarudi mikono mitupu,atafute bodaboda au bajaj aendeshe
Kama mwanamke ameanza kuto kuelewa hata ufanyeje ni kazi bure.Jaribu kutoka toka uzuge Kama Kuna mchongo unasikilizia unavyokaa ndani anakuona huna mpango wowote
[emoji15][emoji15][emoji15]Wapo