fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,758
- 2,713
Ukiamua kufikiria kwa kuondoa mihemko mnachokisema humu kama kina sound vile.Tanzia zimepotea sana saizi humu jukwaani.......nadhani vifo viliisha baada ya jeipiemu kuondoka......anywei nchi hii ngumu sana
Hebu jaribu kutumia hata uwezo wa 0.0007%ya ubongo wako, ulionao kwani najua %nyingine haipo, kwani kipindi kile akiwa hai , hali hii haikutokea?huko ulaya/marekani muda wote vifo vinakuwa vile vile, unaposikia wimbi la kwanza, la pili , la tatu la covid19, unaelewa nini??ngoja uone Mama anakoelekea kwenye mbinu za kisayansi tu, siku hizi hata wale waganga wa kienyeji huwasikii tena, yaani waliifanya TBC, kama ndio kilinge chao, wataalam wa afya wakawa hawajulikani!!daaa ila kama taifa tulikokuwa tunaelekea, ...MUNGU FUNDIHabari Jf, nilikuwa nimepigwa benchi na mod mmoja hivi pasi na sababu zenye mashiko thanks God nimerejea imara na kasi ya 5G
Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote
Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo
Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata
Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena
nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?
Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
Kawaulize waliotangaza akiwemohapo awali mlijuaje kama kuna corona?
mlikuwa mnapima watu wangapi kwa sikubna katika maabara ipi?
Walikuwa wanatangaza ili kupata attention ya Rais alishughulikie vyema ila kwa kuwa mama samia kashaonyesha kulipa kipaumbele hakuna haja ya kupile taarifa wakati tayari ameapa kufanyia kazi.Habari Jf, nilikuwa nimepigwa benchi na mod mmoja hivi pasi na sababu zenye mashiko thanks God nimerejea imara na kasi ya 5G
Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote
Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo
Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata
Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena
nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?
Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
Vifo vipo ila havitangazwiTanzia zimepotea sana saizi humu jukwaani.......nadhani vifo viliisha baada ya jeipiemu kuondoka......anywei nchi hii ngumu sana
Yeye mwenyewe ndio alikuwa kovidiHabari Jf, nilikuwa nimepigwa benchi na mod mmoja hivi pasi na sababu zenye mashiko thanks God nimerejea imara na kasi ya 5G
Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote
Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo
Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata
Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena
nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?
Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
wewe unaetumia 110% ya ubongoHebu jaribu kutumia hata uwezo wa 0.0007%ya ubongo wako, ulionao kwani najua %nyingine haipo, kwani kipindi kile akiwa hai , hali hii haikutokea?huko ulaya/marekani muda wote vifo vinakuwa vile vile, unaposikia wimbi la kwanza, la pili , la tatu la covid19, unaelewa nini??ngoja uone Mama anakoelekea kwenye mbinu za kisayansi tu, siku hizi hata wale waganga wa kienyeji huwasikii tena, yaani waliifanya TBC, kama ndio kilinge chao, wataalam wa afya wakawa hawajulikani!!daaa ila kama taifa tulikokuwa tunaelekea, ...MUNGU FUNDI
hujasikiliza hotuba ya raisi samiaBavicha njooni mtupe majawabu!
kutangaza kuipa kipaumbele ndio kinga dhidi ya corona?Walikuwa wanatangaza ili kupata attention ya Rais alishughulikie vyema ila kwa kuwa mama samia kashaonyesha kulipa kipaumbele hakuna haja ya kupile taarifa wakati tayari ameapa kufanyia kazi.
Hiyo ndio nguvu ya media inaweza swing ajenda ili kuiweka kwenye limelight
Kama wapo mbona hutangazi humu jf kma zamani?Unajuaje kuwa hakuna corona, umepima wangapi?
Wee jamaa kila mada unakisingizio cha kutochangia!
Mungu ameponya hii kwa kumuondoa angebaki hii Nchi ingakuwa ya hatari kuna watu hawalali kuimbea Nchi ...so Mungu anajibu kwa namna yakeUkiwaza sana uma point hapo. Why hali iko swari tu, na pia why walitangulia wale wa karibu yake hivyo.
Anyways time will tell.
We mjinga wa mwisho waziri wako wa afya alivyosema kipimo Cha corona ni laki mbili alikua ana maanisha ninhapo awali mlijuaje kama kuna corona?
mlikuwa mnapima watu wangapi kwa sikubna katika maabara ipi?
Mbona kuna wagonjwa wengi tu.naisemea hii awamu ya pili ya corona, jiwe mwenyewe kelele zilimzidi akaonesha dalili za kuikubali mpaka akaanza kujibu mashambulizi kuikataa chanjo
mlikuwa mnapata taarifa wapi