Tangu Soka lianze hadi leo hii, Kuna Mchezaji yeyote aliyefikia kiwango cha Maradona au Messi?

Pamoja na ubora waliokuwa nao messi na ronaldo hakuna hata mmoja ambaye anafikia hata nusu ya kiwango alichokuwacho gaucho.
 
Garrincha ndo baba wa chenga zote kuanzia za maudhi na nyinginezo, anavyovifanya Messi na Maradon asilimia kubwa vimetoka kwake. Jamaa yule aliyekuwa na dharau kiasi cha kutembea na mpira na si kukimbiza na bado hakuna aliyechukua, kuja kumfananisha na waargentina ni matusi makubwa.

Mchezaji ambaye mguu mmoja mrefu na mwingine mfupi, na bado alisumbua. Yule mtu hakuvuma kwakuwa kulikuwa na Pele kikosi cha Brazil ila ni hatari kimpira, hao wamemzidi kufunga tu
 
hao Wahenga wako hawamuwezi messi
 
hao Wahenga wako hawamuwezi messi
Haaahaaaa kwa vigezo gani mkuu??? Huyo puskas mechi zote alizoanza kafunga yaani zote.... Ukizingatia enzi zake hakuna red card wala substitution 3 kma cku hizi wala hakuna penalti za vaada ya dakka 90 hivyo walikua wanatumika sana acha tu sio hawa kina messi wamekuja kipindi mpira umerahisishwa sana hivyo kwa mazingira ya kipindi kile hao magwiji walijituma sana tofauti na cku hzi wachezaji wawili tu wanatawala mpira
 
Messi amesababisha magonjwa mengi kuongezeka mitaani kwetu. Huyo ndiye The lion Messi asiefananishwa na vitu vya kijinga πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…