Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
Kwa sasa outflow ya walimu kutoka vyuoni ni kubwa sana,Huoni hata aibu kutaja hio figure mkuu ?
Walimu elfu 7 baada ya miaka mingapi..., (Hivi unajua tangu tupate uhuru kuna kipindi kila mwalimu mwenye cheti chake alikuwa darasani anafundisha) ? Au unadhani Madarasa ndio yanafundisha...
Jibu la ajabu sana hili Kipindi kile hata waliokuwa wanafundishwa walikuwa wachache..., Sasa hivi wanaohitaji kufundishwa ni wengi hivyo ratio ya sasa ni duni kuliko ratio ya kale....Kwa sasa outflow ya walimu kutoka vyuoni ni kubwa sana,
Serikali peke yake haiwezi kuwamudu wote
Kwani walimu waliokuwepo wamekufa mkuu siwapo pia?Jibu la ajabu sana hili Kipindi kile hata waliokuwa wanafundishwa walikuwa wachache..., Sasa hivi wanaohitaji kufundishwa ni wengi hivyo ratio ya sasa ni duni kuliko ratio ya kale....
Pili... naomba nikuulize hivi wingi wa watu ni rasilimali au ni hasara..., (kama ni rasilimali basi serikali imeshindwa kutumia vema rasilimali watu hio hence they are not fit for purpose)
population ina increase exponentially ndio maana mashule zaidi yamejengwa ilipokuwepo shule moja sasa hivi zipo kumi angalau tungesema kiwango cha waalimu kuajiriwa kimeremain constant ila hapa kimeshuka to almost zero..., sasa hapo utaona mathematically something is not right....Kwani walimu waliokuwepo wamekufa mkuu siwapo pia?
Sawa lakini walimu wazamani pia wapo,population ina increase exponentially ndio maana mashule zaidi yamejengwa ilipokuwepo shule moja sasa hivi zipo kumi angalau tungesema kiwango cha waalimu kuajiriwa kimeremain constant ila hapa kimeshuka to almost zero..., sasa hapo utaona mathematically something is not right....
Student–teacher ratios vary widely among developed countries.[3] In primary education, the average student–teacher ratio among members of the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD) is just below 16, but ranges from 40 in Brazil to 28 in Mexico to 11 in Hungary and Luxembourg.[3]Sawa lakini walimu wazamani pia wapo,
Kwani Mwalimu mmoja anapashwa kufundisha wanafunzi wangapi?
Mkuu baadae nikitulia nitakujibu kwa kina hapaStudent–teacher ratios vary widely among developed countries.[3] In primary education, the average student–teacher ratio among members of the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD) is just below 16, but ranges from 40 in Brazil to 28 in Mexico to 11 in Hungary and Luxembourg.[3]
Personally nadhani zaidi ya 50 ni ku-push it a little bit far...., pia mwalimu mmoja angalau awe na somo moja ikizidi sana matatu...,
Tunaweza kuendelea?Mkuu baadae nikitulia nitakujibu kwa kina hapa
🤣🤣🤣,umechanganya ID mpaka unajiquote na kujiuliza🤣🤣Tunaweza kuendelea?
Jenista ni motivation Speaker mzuri sana,View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Usimamizi mzuri. Hapa amejitofautisha na watangulizi wake. Ndiyo Tanzania ya ndoto za kila mtu mpenda nchi yakeView attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Rais Samia atamaliza kila kitu mkuu, kuwa na amani kabisa,Nipo radhi nisome chini ya mwembe na kukaa juu ya tofari kama utanipatia waalimu wa kutosha kuliko Vice Versa...
Tunajengan mtu au tunajenga nchi ?Rais Samia atamaliza kila kitu mkuu, kuwa na amani kabisa,
Mkuuu mi nimesoma ya kata na ni ghorofaaa na SSH alikuwa ajaingia madarakniiiiView attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wacha sasa nitete na wale tuliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Serikali ya Tanzania,
Naamini tutakubaliana kuwa "Tangu Tanzania iwe huru hatujawahi kuwa na shule za Serikali za Msingi na Sekondari zenye hadhi na mwonekano kama hizi zinazojengwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan"
Mnaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya mambo yake kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa kama haya elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao,
Tuweni wakweli,hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Wapi huko?Mkuuu mi nimesoma ya kata na ni ghorofaaa na SSH alikuwa ajaingia madarakniiii
100%√Sio tu ya Msingi na Sekondari hata chuo mkuu, Vyuo vingi vibovu
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wacha sasa nitete na wale tuliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Serikali ya Tanzania.
Naamini tutakubaliana kuwa "Tangu Tanzania iwe huru hatujawahi kuwa na shule za Serikali za Msingi na Sekondari zenye hadhi na mwonekano kama hizi zinazojengwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan".
Mnaweza kukubaliana na mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya utawala na anafanya mambo yake kitofauti sana.
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya madarasa kama haya elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi.
Tunaamini, madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya wanafunzi kupenda shule na madarasa yao.
Tuweni wakweli, hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake.
Mama yuko Safi aise duuuh,Sio tu ya Msingi na Sekondari hata chuo mkuu, Vyuo vingi vibovu