Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

Mkuu zile pesa angeamua kununua BARAKOA ingekuwaje?? Ndio maana wanasema ametoa kujengea hayo madarasa, maana bila amri yake huwezi chukua hizo pesa. Chuki kama hizi ndio mpewe NCHI??
Unaona huo ni utawala Bora? Hivi uvccm mna Nini kichwani...

Rais amepewa dhamana na wananchi, na analipwa Mshahara.

Kwa hiyo ukiajiri mhasibu au manager, inapaswa achezee pesa eeh?

Rais ni Mtumishi wa wananchi, Rais hatoi pesa yake mfukoni.

Eti angeamua kutumia kwenye seminar na Posho, ! Utumbo gani unaongea Wewe mnyonge
 
Unaona huo ni utawala Bora? Hivi uvccm mna Nini kichwani...

Rais amepewa dhamana na wananchi, na analipwa Mshahara.

Kwa hiyo ukiajiri mhasibu au manager, inapaswa achezee pesa eeh?

Rais ni Mtumishi wa wananchi, Rais hatoi pesa yake mfukoni.

Eti angeamua kutumia kwenye seminar na Posho, ! Utumbo gani unaongea Wewe mnyonge
Mkuu tukubaliane nia ya Rais Samia ni njema Sana
 
Kumbe imetoka wapi ? Siyo IMF na World Bank ?
Kwa hiyo kila pesa inayotoka IMF na WB inakuwa ni mkopo sio??? Fuatilia vizuri hiyo ruzuku almost nchi zote zilizo third world wanapewa kama ruzuku kutokana na effect ya Covid.

Hiyo ni grant haina marejesho Wala riba mzee muwe mnauliza. Pesa ya bure ni kupiga Domo tu kwamba kuna Covid halafu unapewa hela unapeleka unakoona kumeathirika sasa Rais akaamua kujenga madarasa 1500 kwa pesa hiyo Kuna ubaya gani?
 
Kwa hiyo kila pesa inayotoka IMF na WB inakuwa ni mkopo sio??? Fuatilia vizuri hiyo ruzuku almost nchi zote zilizo third world wanapewa kama ruzuku kutokana na effect ya Covid.

Hiyo ni grant haina marejesho Wala riba mzee muwe mnauliza. Pesa ya bure ni kupiga Domo tu kwamba kuna Covid halafu unapewa hela unapeleka unakoona kumeathirika sasa Rais akaamua kujenga madarasa 1500 kwa pesa hiyo Kuna ubaya gani?
Ficha ujinga wako...nani alikwambia hio ruzuku?na nani alikwambia haina marejesho wala riba?

I real miss the old JF, ilipokua na watu wanaojielewa, sio now days imejaa vichwa maji wasio na weledi..

Mama mwenyewe kaitisha Mkutano na ma camera akasema huu ni mkopo ila kuna Nyumbu wanasema ni ruzuku, tangu lini Bank zikatoa ruzuku? Hivi hua mnapata faida gani kusema uongo wa waziwazi?
Clip za mama zimejaa tele youtube akisema huo ni mkopo wa mashatri nafuu ila bado watu mnakomaa ni ruzuku...pathetic
 
Kwa hiyo kila pesa inayotoka IMF na WB inakuwa ni mkopo sio??? Fuatilia vizuri hiyo ruzuku almost nchi zote zilizo third world wanapewa kama ruzuku kutokana na effect ya Covid.

Hiyo ni grant haina marejesho Wala riba mzee muwe mnauliza. Pesa ya bure ni kupiga Domo tu kwamba kuna Covid halafu unapewa hela unapeleka unakoona kumeathirika sasa Rais akaamua kujenga madarasa 1500 kwa pesa hiyo Kuna ubaya gani?

Unajua fedha za IMF na World Bank zinatokea wapi ? Nani anaipa fedha za’‘kugawa“ WB na IMF ? Unayajua masharti ambayo ni lazima yatimizwe ili nchi ipate hizo fedha ?
 
Ficha ujinga wako...nani alikwambia hio ruzuku?na nani alikwambia haina marejesho wala riba?

I real miss the old JF, ilipokua na watu wanaojielewa, sio now days imejaa vichwa maji wasio na weledi..

Mama mwenyewe kaitisha Mkutano na ma camera akasema huu ni mkopo ila kuna Nyumbu wanasema ni ruzuku, tangu lini Bank zikatoa ruzuku? Hivi hua mnapata faida gani kusema uongo wa waziwazi?
Clip za mama zimejaa tele youtube akisema huo ni mkopo wa mashatri nafuu ila bado watu mnakomaa ni ruzuku...pathetic
Kuhusu ujinga ni wa kwako na mamako na babako aliyekutelekeza, mavi matupu, heri angeenda chooni kuliko akapanua akapata ujauzito wako mtu mjinga Kama wewe, hakuna mkopo na IMF sio NMB kwamba inatoa mikopo tu.
 
Unajua fedha za IMF na World Bank zinatokea wapi ? Nani anaipa fedha za’‘kugawa“ WB na IMF ? Unayajua masharti ambayo ni lazima yatimizwe ili nchi ipate hizo fedha ?
Masharti gani so useme? Kila mkopo au grant Ina masharti take kwamba lazima utimize vigezo fulani ili upewe msaada huo au mkopo.

Kuna fedha za nchi zilizo third world ambazo Zina masharti au vigezo ambavyo lazima utimize. Ishu ni kwamba sio kila msaada una vigezo vinavyofanana hii ni sababu inategemea wamelenga kusaidia Jambo gani.

Sasa kuhusu pesa ya Covid lazima ujue kwa nini imetolewa na kwa nini Rais aliamua ipelekwe kujenga madarasa na miundombinu ya maji kwenye vijiji ?
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Cheseya wewee fundi maiko
 
Sasa kuhusu pesa ya Covid lazima ujue kwa nini imetolewa na kwa nini Rais aliamua ipelekwe kujenga madarasa na miundombinu ya maji kwenye vijiji ?

Nimeuliza fedha ambazo World Bank na IMF ‘‘inawapa“ inazitoa wapi ? Isitoshe Raisi wenu “hakuamua“ chochote, ilikuwa ni lazima zifanye hiyo kazi inexchange for mali na utu wenu.

Mnadanganywa mengi sana!
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,

Rais anatoa wapi hela za kujenga hayo madarasa, au mnaleta siasa na sifa za kishamba.
 
Kwa hiyo kila pesa inayotoka IMF na WB inakuwa ni mkopo sio??? Fuatilia vizuri hiyo ruzuku almost nchi zote zilizo third world wanapewa kama ruzuku kutokana na effect ya Covid.

Hiyo ni grant haina marejesho Wala riba mzee muwe mnauliza. Pesa ya bure ni kupiga Domo tu kwamba kuna Covid halafu unapewa hela unapeleka unakoona kumeathirika sasa Rais akaamua kujenga madarasa 1500 kwa pesa hiyo Kuna ubaya gani?
Nchi ngumu mno hii
 
Enzi hizo Tuliosoma primary school Muhimbili,Forodhani,Bunge,zanaki,Upanga,Jamhuri na kisutu tunajisikia kucheka sana kwa watu wa aina yako shule za ghorofa wewe unajidai na mabanda? Lumumba,gerezani na kule bungoni nako madarasa ya juu yamesakafiwa taa na feni juu...

Tuliosoma Kaloleni,Meru,Arusha School,Uhuru & Levolosi tumebaki kinywa wazi.

Tulikuta vyombo vya brass band,Binoculars,vifaa vya kupima kiasi cha mvua sikumbuki kinaitwaje.

Vifaa vya michezo karibu yote kuanzia mipira wa miguu,gloves za masumbwi viwanja vya michezo yote.

Waalimu wa viwango.
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
We kwenye wapi ? Porini mkoloni alijenga shule the best hayo ni matakata tu
 
Enzi hizo Tuliosoma primary school Muhimbili,Forodhani,Bunge,zanaki,Upanga,Jamhuri na kisutu tunajisikia kucheka sana kwa watu wa aina yako shule za ghorofa wewe unajidai na mabanda? Lumumba,gerezani na kule bungoni nako madarasa ya juu yamesakafiwa taa na feni juu...
Afadhali mwambie huyu fala nchi imerudi Zama za watu wajinga Sana, miaka hiyo Nyrere kasoma tabora boys shule ya kishua alafu hilo jinga linaleta story za kipuuzi
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Mbona huyo mama anaongea kama kuna ugomvi vile
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Chawa "umechanja kweli' au janjajanja yenu
 
Back
Top Bottom