Ingekuwa ni IMF imejipendekeza mbona ndugai anamsema rais asiwaponde IMF kwamba wamejipendekeza kutupa mikopo, jamani mtu akifanya jema msifu hatakama humpendi.Katoa yeye au IMF Heb weka record zako sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa ni IMF imejipendekeza mbona ndugai anamsema rais asiwaponde IMF kwamba wamejipendekeza kutupa mikopo, jamani mtu akifanya jema msifu hatakama humpendi.Katoa yeye au IMF Heb weka record zako sawa.
Mkuu mbona unapenda sana migogoro?Kwani tangu tupate Uhuru tulishapata kukatwa tozo namuna hii?
acha uchawiKatoa yeye au IMF Heb weka record zako sawa.
Mmeanza mapambio. Huo ni wajibu wa serikali kutumia kodi zetu vizuri na mikopo kuendesha nchi hamna cha ajabu hapo.View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wa
Hii Serikali haikuwepo kabla ya Rais Samia?Mmeanza mapambio. Huo ni wajibu wa serikali kutumia kodi zetu vizuri na mikopo kuendesha nchi hamna cha ajabu hapo.
Ni shule za Msingi ambazo hazijawa rasmi,Shule shikizi ni zipi hizo?? Sifahamu.
Waulize majizi ya CCM?Hii Serikali haikuwepo kabla ya Rais Samia?
Hata wewe unaweza kujibu tuWaulize majizi ya CCM?
😂😂😂😂😂😂😂😂Mkuu mbona unapenda sana migogoro?
Pole😂😂😂😂😂😂😂😂
Hasha kiongozi,Mimi ni mtu wa amani.Ila wanatuchanganya.
tumeboa wapi?Huwa mnasifu kupitiliza mpaka mnaboa.
Kumpa mtu sifa isiyo yake, inayofanya maendeleo ni serikali badala yake sifa anapewa mtu mmoja.tumeboa wapi?
Punguza wivu ndg yangu utapata ugonjwa wa moyoKumpa mtu sifa isiyo yake, inayofanya maendeleo ni serikali badala yake sifa anapewa mtu mmoja.
Hizi mambo zilithiri sana enzi za mwenda zake naona na kwa mama nako zinashupaliwa mno.
Jiue umfuate dikteta kichaaKatoa yeye au IMF Heb weka record zako sawa.
Jiue Kama vipiKumpa mtu sifa isiyo yake, inayofanya maendeleo ni serikali badala yake sifa anapewa mtu mmoja.
Hizi mambo zilithiri sana enzi za mwenda zake naona na kwa mama nako zinashupaliwa mno.