Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

Wangejenga vyuo vya ufundi kwenye kila shule hapo sawa!Lakini kwa elimu hii ya hovyo isiyo ya ujuzi na haizalishi akira no tatizo kubwa!!!
 
Humu JF Kuna wapumbavu wengi sana, Nani amekuambia hiyo pesa ni mkopo???

Wewe ndio utakuwa mpumbavu kwa taarifa yako hiyo pesa ni ya mkopo ndio maana ndugai anamnanga samia kwa nini ameenda kukopa pesa ya kujenga madarasa wakati wao bungeni wamepitisha tozo za miamala ya simu kwa ajili hiyohiyo.
Na kwa taarifa yako deni Ia taifa lililosababishwa na serikali ya ccm limefika tirioni 70
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Hata wakati wa Magufuli majengo mengi ya shule za sekondari za serikali yalikarabatiwa...nilitembelea shule tatu Kati ya hizo na nikaona hivyo...
 
Hata hiyo dhamana kapewa na nani kama siyo dola?

Dhamana ya kukopa ni kupitia raslimali zetu adimu ambazo nchi hii imebarikiwa na Mungu.
Sasa hawa viongozi madhalimu mashetani na wezi wa kura wa ccm wanazitumia vibaya kuliingiza taifa kwenye madeni yasio na sababu
 
Kwani kunaubaya kwa Shule za ViJijini kuwa bora kama za mjini kama anavyofanya Rais Samia
Nachomaanisha huenda huko kijijni kwao hakukuwa na madarasa kama hayo. Ila kwa mijini hayo madarasa yapo toka enzi za BWM
 
Katoa yeye au IMF Heb weka record zako sawa.

Hao IMF wanatoa tu kwa mtu yoyote?mbona Magufuli alinyimwa?lazima tukubali Samia anatumia akili kidogo kuishi na Hawa WAZUNGU kuliko alivokuwa akifanya JPM
 
Dhamana ya kukopa ni kupitia raslimali zetu adimu ambazo nchi hii imebarikiwa na Mungu.
Sasa hawa viongozi madhalimu mashetani na wezi wa kura wa ccm wanazitumia vibaya kuliingiza taifa kwenye madeni yasio na sababu
Hii nchi ni shamba la bibi ni kupiga pesa
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
wakati wa uhuru?idadi ya watu ilikuwa wangapi?halafu teknolojia ya wakati ule ilikuwaje?je pia ubora wa madarasa haya unayoyasifia ikoje.pia tunahitaji idadi na uzuri wa madarasa au ubora wa elimu.labda utuambie baada ya uhuru elimu yetu ilikuwaje na sasa ikoje.
 
Wajukuu wakija kujua kwamba hayo madarasa yamejengwa kwa fedha za beberu, wanaweza kuyabomoa na kujenga ya kwao bora zaidi! watatudharau sana sisi mababu zao
 
Wewe ndio utakuwa mpumbavu kwa taarifa yako hiyo pesa ni ya mkopo ndio maana ndugai anamnanga samia kwa nini ameenda kukopa pesa ya kujenga madarasa wakati wao bungeni wamepitisha tozo za miamala ya simu kwa ajili hiyohiyo.
Na kwa taarifa yako deni Ia taifa lililosababishwa na serikali ya ccm limefika tirioni 70
Shule yako haijakusaidia kitu, nahisi tupo level tofauti ungekuwa umefanya kazi at least miaka mitatu ungeelewa maana ya anachokifanya kwa kukopa au kuchukua grants na kuhudumia miradi mikubwa.

Ila kwa namna unavyoargue wewe ni mjinga kabisa huna tofauti na mbwa tu subiri wenye akili wakuongoze sababu you are just a waste of sperms. Bora babako angepiga puchu bafuni.

Arguments za wachimba vyoo ndio unazileta JF badala ya kutumia shule uliyonayo sasa tofauti yako na wao ipo wapi? Kuna watu ukiwafahamu unajikuta unadharau hata ukoo wao unaaibisha wazazi waliokopa ada kukusomesha mtu mjinga namna hii.
 
Shule yako haijakusaidia kitu, nahisi tupo level tofauti ungekuwa umefanya kazi at least miaka mitatu ungeelewa maana ya anachokifanya kwa kukopa au kuchukua grants na kuhudumia miradi mikubwa.

Ila kwa namna unavyoargue wewe ni mjinga kabisa huna tofauti na mbwa tu subiri wenye akili wakuongoze sababu you are just a waste of sperms. Bora babako angepiga puchu bafuni.

Arguments za wachimba vyoo ndio unazileta JF badala ya kutumia shule uliyonayo sasa tofauti yako na wao ipo wapi? Kuna watu ukiwafahamu unajikuta unadharau hata ukoo wao unaaibisha wazazi waliokopa ada kukusomesha mtu mjinga namna hii.

Wewe ndio utakuwa hujaenda shule nilikuwa najibu post yako ya kipumbavu hapo chini
Humu JF Kuna wapumbavu wengi sana, Nani amekuambia hiyo pesa ni mkopo???

Kwa majitu yasiyokuwa na akili kama we we wacha tu ma jizi ya ccm yaendelee kutawala mkundu mkubwa we nimeona huna hadhi wala elimu ya kunijibu.

Kwa hiyo umedanganywa hizo pesa za kovid sio mkopo wakati statement ya IFM waliotoa huo mkopo ipo.

Utakuwa na mtindio wa ubongo wewe kumaaa
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
Back
Top Bottom