ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,299
- 832
hapa sasa ndo nimepata jawabu kwa nini wanasema rais ametoa, Jdhamana ya uongozi hawakuipata kwa wananchi bali wamejipa kwa nguvu ya dola ndo maana wanajitukuza.
LEGACY NI UKICHAA, HUJUI HISTORIA YA HIYO SHULE
Mkuu hii nchi ngumu sana,
daaahChawa "umechanja kweli' au janjajanja yenu
Ndugu, hivi unawezaje kumlinganisha Mtoto anayezaliwa leo au mwenye Mwaka mmoja na Mtu mzima mwenye Miaka 6? Hivi hawa wanachofanana si ni kwamba ni Binadamu tu? Vingine vyote ni tofauti kubwa kabisa? Sasa vipi unalinganisha Tanzania ya Mwaka 1961 na Tanzania ya 2022?View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%
Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,
Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
Hizo pesa mbona zipo mkuu, Wacha watoto wafurahi na TilesNdugu embu tuambie kuweka marumaru kwenye darasa hilo moja na tiles, hio hela ingewekwa kwenye mfuko wa maendeleo ya mwanafunzi angepata madaftari mangapi?
Mbona tunakua maskini wa akili? Kujenga darasa kama hilo kijijini ambako mwanafunzi ataingia uniform inaviraka kila kona hio ina faida gani?
Tufanye mambo yenye tija. Tuende kwa budget. Sio kwa sababu hela ziko nyingi na kutaka kupata sifa ndo tufanye over doing
Prays and worship team in your level bestView attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Nimeelewa sana,Marahaba, zilijengwa nyingi ila hatuna mtindo wa kukarabati majengo kila mwaka. Subiri haya majengo yapitishe miaka mitatu utayaona yalivyochoka. Hela ya repair and maintanance ya majengo inatolewa kila mwaka ila haionekani. mfano angalia majengo ya UDSM miaka kumi iliyopita yalikuwa ni machakavu mno, viongozi wanapenda sifa zaidi
Huna uhakika na hicho ulichoandika.Unasifu madarasa ya mkopo? Unajua Serikali imetoa nini kupata huo mkopo? Unadangayika kirahisi sana wewe, Serikali imegawa cobalt ( moja kati ya rasilimali aghali na zinazotafutwa sana leo hii kutengeneza electric cars, cell phones, computer chips Serikali imegawia Mzungu karibia bure), Gold, Gas ili ujengewe cheap madarasa halafu unasifu?
Hayo madarasa hata kwa kodi ya kunywa bia tu tunayokatwa inatosha kujenga na zaidi, …
Uhakika ni upi?Huna uhakika na hicho ulichoandika.
😀hii nchi kwa akili hizi za mtoa mada ipingwe mnada tu mara ukatawaliwa na ngozi nyeupe kuliko black.
Itasadia tutambue Tulikotoka, Tulipo na TunapokwendaNdugu, hivi unawezaje kumlinganisha Mtoto anayezaliwa leo au mwenye Mwaka mmoja na Mtu mzima mwenye Miaka 6? Hivi hawa wanachofanana si ni kwamba ni Binadamu tu? Vingine vyote ni tofauti kubwa kabisa? Sasa vipi unalinganisha Tanzania ya Mwaka 1961 na Tanzania ya 2022?
Tuwe tunakaa na kufikiri cha kuandika kabla hatujaandika!
Mtateseka sana msiopenda performance za Mama,Prays and worship team in your level best
Walimu elfu 7 wapya wanakuja andaa vyeti vyakoNipo radhi nisome chini ya mwembe na kukaa juu ya tofari kama utanipatia waalimu wa kutosha kuliko Vice Versa...
Huoni hata aibu kutaja hio figure mkuu ?Walimu elfu 7 wapya wanakuja andaa vyeti vyako