ccm wanawapenda sana watu wenye akili rahisi kama wewe, mtu kusimamia kitu kwa niaba ya... hakumfanyi yeye kua mmiliki bali kunampa nafasi ya kutimiza wajibu wake kwa niaba ya...Mkuu zile pesa angeamua kununua BARAKOA ingekuwaje?? Ndio maana wanasema ametoa kujengea hayo madarasa, maana bila amri yake huwezi chukua hizo pesa. Chuki kama hizi ndio mpewe NCHI??