Tanki Bovu maeneo ya Puma na Rainbow sio salama tena kutembea usiku

Tanki Bovu maeneo ya Puma na Rainbow sio salama tena kutembea usiku

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Majuzi nilikuwa natoka msibani saa sita usiku kuelekea home.

Nilipofika puma Tanki Bovu nashuka kuelekea Rainbow nilichokiona ni hatari kwa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kuwasaidia

Pale kona ya Makaburini Luventry nilikuta kijana mmoja na Girlfriend au Mke wake wamekatwa mapanga wanasachiwa. Nilipoopunguza mwendo niliona kundi la vijana kama 10+ wakitokea makaburini nilichofanya ni kuomba mungu gari lisizime na kuongeza speed.

Polisi Kawe wana taarifa ya hii sehemu cha ajabu gari za polisi huzioni mida hio Ila utaziona zinapishana asubuhi mchana jioni kule CHADEMA mchangani sijui nako wanalinda malori yanayobeba mchanga ama.

CC:
Mh Wambura
Mh IGP
Msaada wenu hali imekuwa sio kabisa
 
Majuzi nilikuwa natoka msibani saa sita usiku kuelekea home.

Nilipofika puma Tanki Bovu nashuka kuelekea Rainbow nilichokiona ni hatari kwa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kuwasaidia

Pale kona ya Makaburini Luventry nilikuta kijana mmoja na Girlfriend au Mke wake wamekatwa mapanga wanasachiwa. Nilipoopunguza mwendo niliona kundi la vijana kama 10+ wakitokea makaburini nilichofanya ni kuomba mungu gari lisizime na kuongeza speed.

Polisi Kawe wana taarifa ya hii sehemu cha ajabu gari za polisi huzioni mida hio Ila utaziona zinapishana asubuhi mchana jioni kule CHADEMA mchangani sijui nako wanalinda malori yanayobeba mchanga ama.

CC:
Mh Wambura
Mh IGP
Msaada wenu hali imekuwa sio kabisa
Kwa kukusaidia tu ni kwamba hiyo sehemu ni hatarishi sasa mwaka hata wa 20 na hata CDF Mstaafu Jenerali Mboma aliyeko Mita chache kutoka hapo anajua japo Yeye na Familia yake hawajawahi Kuvamiwa nao.

Kuhusu Polisi wa Kawe kuwajua unakosea kwani si tu kuwa wanaishia Kuwajua bali pia wanashirikiana nao kwani kukiwa na Oparesheni tu ya Kuwakamata hao hao Polisi wa Kawe huwapigia Simu na Wao Kutokomea kama siyo hata Kujificha kabisa.

Wanakotokea hawa Vibaka ( Majambazi ) ni katika Viunga vya Kawe ule usawa wa kwa Masai, Udoeni na Ukwamani kuelekea Mtoni kilipo Kikundi maarufu cha Uhalifu cha Bongo Msoto ambacho pia kimepewa baraka zote za kufanya Uhalifu na Polisi wa Kawe.

Kituo cha Polisi Kawe Kisafishwe chote.
 
Kwa kukusaidia tu ni kwamba hiyo sehemu ni hatarishi sasa mwaka hata wa 20 na hata CDF Mstaafu Jenerali Mboma aliyeko Mita chache kutoka hapo anajua japo Yeye na Familia yake hawajawahi Kuvamiwa nao.

Kuhusu Polisi wa Kawe kuwajua unakosea kwani si tu kuwa wanaishia Kuwajua bali pia wanashirikiana nao kwani kukiwa na Oparesheni tu ya Kuwakamata hao hao Polisi wa Kawe huwapigia Simu na Wao Kutokomea kama siyo hata Kujificha kabisa.

Wanakotokea hawa Vibaka ( Majambazi ) ni katika Viunga vya Kawe ule usawa wa kwa Masai, Udoeni na Ukwamani kuelekea Mtoni kilipo Kikundi maarufu cha Uhalifu cha Bongo Msoto ambacho pia kimepewa baraka zote za kufanya Uhalifu na Polisi wa Kawe.

Kituo cha Polisi Kawe Kisafishwe chote.
Kama Polisi wanawalea,Sasa wana jamii wa hayo maeneo si mtengeneze timu,mnavamia hapo na kufanya usafi wa hao nguchiro mara moja?...
 
Back
Top Bottom