Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Kuna baadhi Polisi wa hapo kawe ni ovyo kabisa,hua wanashirikiana na hao wakora naomba uchunguzi ufanywe haraka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi,kazi iendeleee.Tumeshawauwa na tunaendelea Kuua.
Tulianza na aitwae Mbuzi yake Kamba.Safi,kazi iendeleee.
Sasa hv wanapiga kbs....Bado wanaendelea kubeep au??
Kama raia wanajua taarifa kiasi hiki, sijui police wanataka ushirikiano gani...we have long way to go!!!Kwa kukusaidia tu ni kwamba hiyo sehemu ni hatarishi sasa mwaka hata wa 20 na hata CDF Mstaafu Jenerali Mboma aliyeko Mita chache kutoka hapo anajua japo Yeye na Familia yake hawajawahi Kuvamiwa nao...
Kwakweli ila kitu anachonifurasha huwa hamindMaendeleo ya mwandiko yanaridhisha, hali ilikua mbaya sana....
Pole sana Pdidy kwa tukio la kutisha.
Pale darajani kawe nasikia wamerudi.Majuzi nilikuwa natoka msibani saa sita usiku kuelekea home.
Nilipofika puma Tanki Bovu nashuka kuelekea Rainbow nilichokiona ni hatari kwa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kuwasaidia...
IGP Sirro safisha Kituo cha Polisi Kawe.Kama raia wanajua taarifa kiasi hiki, sijui police wanataka ushirikiano gani...we have long way to go!!!
Wamerud na 5G speed balaaaPale darajani kawe nasikia wamerudi
Juzi nmepewa taarifa na jamaa wa pale safari carnival kuna uwizi ulitokea
Kuna wakati pale tuliwadhibiti sema sasa tukitoka maeneo hayo wezi vibaka wanarudi
Yaani kuanzia mbezi ya chini mpk darajani hapo ni shida
Ova
Hivi mkuu wa kituo cha kawe sahvi ni nani?Majuzi nilikuwa natoka msibani saa sita usiku kuelekea home.
Nilipofika puma Tanki Bovu nashuka kuelekea Rainbow nilichokiona ni hatari kwa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kuwasaidia...
Hanaga habari, anacharanga charanga mwandiko anasepaKwakweli ila kitu anachonifurasha huwa hamind
Ngoja na sisi tutawarudia tenaWamerud na 5G speed balaaa
Wote hao wanatokea hapo Kawe kwa Masai katika Camp yao maarufu iitwayo Bongo Msoto na wengine pale Mnarani Kawe nyuma ya Masai Bar Kawe huku Washirika wao wakiwa wanatokea sana Msasani na Mwananyamala.Pale darajani kawe nasikia wamerudi
Juzi nmepewa taarifa na jamaa wa pale safari carnival kuna uwizi ulitokea
Kuna wakati pale tuliwadhibiti sema sasa tukitoka maeneo hayo wezi vibaka wanarudi
Yaani kuanzia mbezi ya chini mpk darajani hapo ni shida
Ova
Moaka sasa nimeshawadondosha Wa 3!!Ngoja na sisi tutawarudia tena
Sahv tutawajia na 7g
Ova