Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kuwaninginiza kadhaa hawatuli haoKabisaa mmpwaaa wakitangazwa tumeua wanne wanakimbiakabisaa
Mbona tunao 24/7 hapa JamiiForums?Mwenye zile namba za makamanda wa polisi ampe mtoa mada
Aisee[emoji848]Mbona tunao 24/7 hapa JamiiForums?
KabisaBila kuwaninginiza kadhaa hawatuli hao
Wanapaonea sana huko hao
Ova
Nawajua wote ipo Siku nitawataja hapa.Kuna baadhi Polisi wa hapo kawe ni ovyo kabisa,hua wanashirikiana na hao wakora naomba uchunguzi ufanywe haraka!
Shusha mzeeNawajua wote ipo Siku nitawataja hapa.
Unape dandogoopekeyake
Kubwaazinarahazakee
Mwana una kigugumizi?😃😃Unape dandogoopekeyake
Kubwaazinarahazakee
Nafikiri mama amsaidie tu kwa kweli....IGP Sirro safisha Kituo cha Polisi Kawe.
Alikuwa nalo sema sasa hv amepata Prado mchaga!!!Amenunua gari.
AhahahHii lazima kaandikiwa, angeandika mwenyewe usingeelewa kabisa!
Pay master wa wizara ya fedha ambaye ni mchaga amekwapua billioni 1.5 ndani ya miezi miwili.
Umeanza khaaaa[emoji16][emoji16]Unape dandogoopekeyake
Kubwaazinarahazakee
Ngoja nizileteMwenye zile namba za makamanda wa polisi ampe mtoa mada