Tano bora ya baraza la mawaziri wanaofanya vizuri awamu ya sita

Tano bora ya baraza la mawaziri wanaofanya vizuri awamu ya sita

ungetoa ufafanuzi ingependeza wa jinsi wanaofanya kazi
Ufafanuzi upi tena mkuu na wakati kila waziri nimeandika na wizara yake. Ufafanuzi mwingine upi tena wa kufanya uzi uwe mrefu kama unasoma gazeti!!
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Hapa chini ningependa tuorodheshe tano bora ya mawaziri wenye kufanya vizuri zaidi katika serikali hii ya awamu ya sita ya mama yetu mh raisi Samia S. Hassan.

Tukiachana na waziri mkuu ambae yeye ndio mkuu na msimamizi wa shughuli zote za serikali, hiyo chini ni list yang ya mawaziri watano bora katika awamu hii ya mama yetu Samia S. Hassan.

1) waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa- Mh. DKT. Stergomena Lawrence Tax.

2) waziri wa kilimo- Mh. Hussein Bashe.

3) waziri wa maji- Mh. Juma H. Aweso

4) waziri wa utamaduni, sanaa na michezo- Mh. Mohammed O. Mchengerwa.

5) waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki- Mh. Liberata R. Mulamula.

Hii ndio list yangu kwa sasa, ila kama kuna mdau ana list yake ya tano bora ambayo ipo tofauti na hii ya kwangu, basi anaweza kuorodhesha kupitia comment hapo chini.
Hii itasaidia wale mawaziri ambao hawatojiona kwenye list zetu za tano bora wajitafakari kuhusu wapi walipokosea, na nini wakifanye ili kujijengea heshima katika jamii, ili siku nyingine waweze na wao kuwepo kwenye list zetu.

Naomba uzi huu tuuchangie kwa heshima na taadhima. Isiwepo dhihaka, kashfa wala lugha mbaya kwa viongozi wetu na wana JF wenzetu.

Karibuni.
Mkuu Mr Dudumizi, kwanza asante kwa uzi huu, pili asante kuleta uzi wa assessments. Kwa vile umetoa vigezo "wanaofanya vizuri" then weka huo uzuri ili na sisi tuuone, and if possible huo uzuri uwe supported by undisputed visible tangible deliverables za kuonekanika zenye manufaa kwa taifa letu.
P
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Hapa chini ningependa tuorodheshe tano bora ya mawaziri wenye kufanya vizuri zaidi katika serikali hii ya awamu ya sita ya mama yetu mh raisi Samia S. Hassan.

Tukiachana na waziri mkuu ambae yeye ndio mkuu na msimamizi wa shughuli zote za serikali, hiyo chini ni list yang ya mawaziri watano bora katika awamu hii ya mama yetu Samia S. Hassan.

1) waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa- Mh. DKT. Stergomena Lawrence Tax.

2) waziri wa kilimo- Mh. Hussein Bashe.

3) waziri wa maji- Mh. Juma H. Aweso

4) waziri wa utamaduni, sanaa na michezo- Mh. Mohammed O. Mchengerwa.

5) waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki- Mh. Liberata R. Mulamula.

Hii ndio list yangu kwa sasa, ila kama kuna mdau ana list yake ya tano bora ambayo ipo tofauti na hii ya kwangu, basi anaweza kuorodhesha kupitia comment hapo chini.
Hii itasaidia wale mawaziri ambao hawatojiona kwenye list zetu za tano bora wajitafakari kuhusu wapi walipokosea, na nini wakifanye ili kujijengea heshima katika jamii, ili siku nyingine waweze na wao kuwepo kwenye list zetu.

Naomba uzi huu tuuchangie kwa heshima na taadhima. Isiwepo dhihaka, kashfa wala lugha mbaya kwa viongozi wetu na wana JF wenzetu.

Karibuni.
Mimi
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Hapa chini ningependa tuorodheshe tano bora ya mawaziri wenye kufanya vizuri zaidi katika serikali hii ya awamu ya sita ya mama yetu mh raisi Samia S. Hassan.

Tukiachana na waziri mkuu ambae yeye ndio mkuu na msimamizi wa shughuli zote za serikali, hiyo chini ni list yang ya mawaziri watano bora katika awamu hii ya mama yetu Samia S. Hassan.

1) waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa- Mh. DKT. Stergomena Lawrence Tax.

2) waziri wa kilimo- Mh. Hussein Bashe.

3) waziri wa maji- Mh. Juma H. Aweso

4) waziri wa utamaduni, sanaa na michezo- Mh. Mohammed O. Mchengerwa.

5) waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki- Mh. Liberata R. Mulamula.

Hii ndio list yangu kwa sasa, ila kama kuna mdau ana list yake ya tano bora ambayo ipo tofauti na hii ya kwangu, basi anaweza kuorodhesha kupitia comment hapo chini.
Hii itasaidia wale mawaziri ambao hawatojiona kwenye list zetu za tano bora wajitafakari kuhusu wapi walipokosea, na nini wakifanye ili kujijengea heshima katika jamii, ili siku nyingine waweze na wao kuwepo kwenye list zetu.

Naomba uzi huu tuuchangie kwa heshima na taadhima. Isiwepo dhihaka, kashfa wala lugha mbaya kwa viongozi wetu na wana JF wenzetu.

Karibuni.
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Hapa chini ningependa tuorodheshe tano bora ya mawaziri wenye kufanya vizuri zaidi katika serikali hii ya awamu ya sita ya mama yetu mh raisi Samia S. Hassan.

Tukiachana na waziri mkuu ambae yeye ndio mkuu na msimamizi wa shughuli zote za serikali, hiyo chini ni list yang ya mawaziri watano bora katika awamu hii ya mama yetu Samia S. Hassan.

1) waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa- Mh. DKT. Stergomena Lawrence Tax.

2) waziri wa kilimo- Mh. Hussein Bashe.

3) waziri wa maji- Mh. Juma H. Aweso

4) waziri wa utamaduni, sanaa na michezo- Mh. Mohammed O. Mchengerwa.

5) waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki- Mh. Liberata R. Mulamula.

Hii ndio list yangu kwa sasa, ila kama kuna mdau ana list yake ya tano bora ambayo ipo tofauti na hii ya kwangu, basi anaweza kuorodhesha kupitia comment hapo chini.
Hii itasaidia wale mawaziri ambao hawatojiona kwenye list zetu za tano bora wajitafakari kuhusu wapi walipokosea, na nini wakifanye ili kujijengea heshima katika jamii, ili siku nyingine waweze na wao kuwepo kwenye list zetu.

Naomba uzi huu tuuchangie kwa heshima na taadhima. Isiwepo dhihaka, kashfa wala lugha mbaya kwa viongozi wetu na wana JF wenzetu.

Karibuni.
Wewe umetaja tano bora, mimi wacha nitaje mawaziri ambao utendaji wao unaudhi ni
1, Mwingulu Lameck Chemba.
2. January Yusuf Makamba.
3. Nape Moses Ninaye.
4. Waziri wa Maliasili na utalii wa sasa.
5............................
 
Kiongozi mwizi wa kura ana heshima gani hadi michango iwe ya heshima? Ukitaka heshima ingia madarakani kwa njia ya heshima, sio uingie madarakani kihuni kisha utake heshima.
Mkuu sasa hivi tupo ktk karne ya 21 ya sayansi na teknolojia.
So usikubari wanasiasa uchwara wakulishe matango pori mabichi bila fact yoyote. Mzee Kikwete alituasa vijana kuwa siku zote akili ya kuambiwa na kina Lisu tuchanganye na zetu zilizo katika vichwa vyetu. Angalia hapo pichani afu ujipe jibu kama kulikuwa na haja ya CCM kuwaibia kura wapinzani.
 

Attachments

  • images (23) (1).jpeg
    images (23) (1).jpeg
    31.4 KB · Views: 8
  • images (9).jpeg
    images (9).jpeg
    45.7 KB · Views: 6
  • images (7).jpeg
    images (7).jpeg
    60 KB · Views: 7
  • images (21).jpeg
    images (21).jpeg
    65.9 KB · Views: 4
Nani aliiba kura wewe? Mnabaki kulalama wakati ilijulikana wazi kwa ule muziki wa magufuli hampati kitu.
Mahakama zilikuepo mnalalama tu. Hata kesi moja ya kupinga matokeo hamkufungua. Hata Mbowe mwenyewe hakufungua kesi kupinga matoo kwa sababu hakua na ushahidi.

Ufungue kesi ya kupinga matokeo kwenye mahakama zilizokuwa zinamuogopa Magufuli? Au unadhani wizi ule tulihadithiwa?
 
Mawaziri na manaibu wote wanafanya vizuri. Kwa kweli wanajitahidi...
Changamoto ni nyingi lakini mdogo mdogo wanasogea...
Kweli mkuu, japo wanatofautiana katika utendaji wa kazi lkn wengi utendaji wao mzuri wa kazi unaonekana.
 
Mkuu sasa hivi tupo ktk karne ya 21 ya sayansi na teknolojia.
So usikubari wanasiasa uchwara wakulishe matango pori mabichi bila fact yoyote. Mzee Kikwete alituasa vijana kuwa siku zote akili ya kuambiwa na kina Lisu tuchanganye na zetu zilizo katika vichwa vyetu. Angalia hapo pichani afu ujipe jibu kama kulikuwa na haja ya CCM kuwaibia kura wapinzani.

Huenda mlidhani bado tuko zama za giza hivyo wizi ule usingefahamika kisa mlizima mitandao. Wizi ule wa kipuuzi tuliuona kwa macho.
 
Mawaziri wengi wanafanya kazi nzuri tuwatie moyo maana changamoto ni nyingi
Bora ww umeliona hilo mkuu, hawa wengine kazi kulalamika hata pale wanapotakiwa kupongeza wao wataponda na kulalamika tu bila sababu.
 
Mkuu Mr Dudumizi, kwanza asante kwa uzi huu, pili asante kuleta uzi wa assessments. Kwa vile umetoa vigezo "wanaofanya vizuri" then weka huo uzuri ili na sisi tuuone, and if possible huo uzuri uwe supported by undisputed visible tangible deliverables za kuonekanika zenye manufaa kwa taifa letu.
P
Mkuu Pascal Mayalla kwanza napenda kutumia nafasi hii kuutambua uwepo wako ktk mjadala wetu wa uzi huu.
Pili naomba mnivumilie nikipata mda mzuri nitakuja na kile nlichomaanisha ktk thread hii.
 
Nani aliiba kura wewe? Mnabaki kulalama wakati ilijulikana wazi kwa ule muziki wa magufuli hampati kitu.
Mahakama zilikuepo mnalalama tu. Hata kesi moja ya kupinga matokeo hamkufungua. Hata Mbowe mwenyewe hakufungua kesi kupinga matokeo kwa sababu hakua na ushahidi.
Kesi ya ndegere unaipeleka kwa nyani
 
Mimi


Wewe umetaja tano bora, mimi wacha nitaje mawaziri ambao utendaji wao unaudhi ni
1, Mwingulu Lameck Chemba.
2. January Yusuf Makamba.
3. Nape Moses Ninaye.
4. Waziri wa Maliasili na utalii wa sasa.
5............................
Shukran mkuu kwa list hii ya mawaziri wanaokuudhi ktk utawala huu.
 
Back
Top Bottom