Tano bora ya baraza la mawaziri wanaofanya vizuri awamu ya sita

Tano bora ya baraza la mawaziri wanaofanya vizuri awamu ya sita

Huenda mlidhani bado tuko zama za giza hivyo wizi ule usingefahamika kisa mlizima mitandao. Wizi ule wa kipuuzi tuliuona kwa macho.
Uongo ukiongelewa sana mwishoni machoni mwa watu dhaifu huonekana ni ukweli. So sishangai kwa ww uongo huo kuuona ukweli. Dunia nzima kila anaeshindwa huja na sababu za kuibiwa hata pale asipoibiwa.
Tumeyaona haya toka 95, 2000, 2005, 2010, 2015 na 2020. Lkn pia hayakuishia kwetu tu hata huko Kenya mliposema kuna tume huru malalamiko yamekuwa hayo hayo, na kilichofanya hilo swala sasa lionekane halina maana tena kwa kila anaeshindwa hata taifa kubwa na linalofahamika kusimamia maadili duniani la Marekani raisi wao aliposhindwa pia alidai kaibiwa, so hiyo ndio njia au fimbo ya mwisho wanaotumia wale wote wanaoshindwa uchaguzi iwe Afrika, Asia au Amerika.
Pole mkuu kwa kuwa ndan ya wale wafata mkumbo.
 
Uongo ukiongelewa sana mwishoni machoni mwa watu dhaifu huonekana ni ukweli. So sishangai kwa ww uongo huo kuuona ukweli. Dunia nzima kila anaeshindwa huja na sababu za kuibiwa hata pale asipoibiwa.
Tumeyaona haya toka 95, 2000, 2005, 2010, 2015 na 2020. Lkn pia hayakuishia kwetu tu hata huko Kenya mliposema kuna tume huru malalamiko yamekuwa hayo hayo, na kilichofanya hilo swala sasa lionekane halina maana tena kwa kila anaeshindwa hata taifa kubwa na linalofahamika kusimamia maadili duniani la Marekani raisi wao aliposhindwa pia alidai kaibiwa, so hiyo ndio njia au fimbo ya mwisho wanaotumia wale wote wanaoshindwa uchaguzi iwe Afrika, Asia au Amerika.
Pole mkuu kwa kuwa ndan ya wale wafata mkumbo.

Inaonekana mliharibu uchaguzi mkijua mtasema ni malalamiko yasiyoisha. Ni hivi tunajua tunachokisema, na wala hatubahatishi. Ww taja nchi kibao utakavyo ukidhani utafanikisha kuhamisha ukweli. Kwa maneno marahisi, ule haukuwa uchaguzi bali upuuzi kama upuuzi mwingine. Wala usiwataje wakenya maana wako maili nyingi mbele kwenye huu upuuzi unaoendelea kwenye chaguzi zetu.
 
Anayefanya vizuri zaidi ni mzee wa tozooo
Inatakiwa aanzishe tozo kwa waliopanda miti, maua, mbogamboga nk
Tozo ya kusafiri kutoka eneo moja kwenda jingine, iwekwe kwenye nauli moja kwa moja
Screenshot_20220827-121506_1.jpg
 
Sasa kwa akili yako unategemea wizara ya ulinzi iwe na changamoto? Umeshindwa hata kulitambua hilo mkuu.
 
Nitakuwa mnafiki na mpakaji mafuta kwa mgongo wa chupa, kama nitapingana na wewe.

Labda atu-prove wrong! Maana na muda bado anao.

Maneno mengi mno, sasa tunataka tuone.
Bashe mbinafsi Sana anataka kupiga yeye tu halafu kawaamisha watanzania kuwa Ana uwezo lakini hamna mtu pale ndio maana jk miaka yote kumi alimkataa huyu kijana mtu ya dili Sana Sana watu watakuja kushtuka hamna alichofanya
 
Inaonekana mliharibu uchaguzi mkijua mtasema ni malalamiko yasiyoisha. Ni hivi tunajua tunachokisema, na wala hatubahatishi. Ww taja nchi kibao utakavyo ukidhani utafanikisha kuhamisha ukweli. Kwa maneno marahisi, ule haukuwa uchaguzi bali upuuzi kama upuuzi mwingine. Wala usiwataje wakenya maana wako maili nyingi mbele kwenye huu upuuzi unaoendelea kwenye chaguzi zetu.
Basi endelea kulalamika, malalamiko yako hayatompunguzia wala kumuongezea chochote raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambae ni wa CCM.
Na miezi kadhaa wenyeviti wenu wa vyama vya upinzani walienda wenyewe ikulu kuonana nae, hii inaonesha wanamtambua raisi wa nchi na chama chake waliotokana na uchaguzi ule.
Hiyo sasa ni juu yako, kuendelea kuishi na chuki moyoni mwako huku aliekulisha matango pori akiwa vizuri na mtawala unaedai alimuibia kura au kuondoa chuki uliyonayo ili uweze kuishi kwa amani na furaha kama walamba asali wenu.
 
Basi endelea kulalamika, malalamiko yako hayatompunguzia wala kumuongezea chochote raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambae ni wa CCM.
Na miezi kadhaa wenyeviti wenu wa vyama vya upinzani walienda wenyewe ikulu kuonana nae, hii inaonesha wanamtambua raisi wa nchi na chama chake waliotokana na uchaguzi ule.
Hiyo sasa ni juu yako, kuendelea kuishi na chuki moyoni mwako huku aliekulisha matango pori akiwa vizuri na mtawala unaedai alimuibia kura au kuondoa chuki uliyonayo ili uweze kuishi kwa amani na furaha kama walamba asali wenu.

Kukutana na rais inamaanisha uchaguzi haukuwa wa kishenzi?
 
Kukutana na rais inamaanisha uchaguzi haukuwa wa kishenzi?
Tundu Lisu ambae ndie aliechuana na wagombea wa ccm ktk kinyang'anyiro cha uraisi, alipokutana na raisi face to face hakuzungumzia swala la kutoutambua uchaguzi wala kutotambua washindi wa uchaguzi ule. Tulichoona na kusikia zaidi kutoka kwake ni kujilalamikia mwenyewe kwamba alipwe mafao yake ya ubunge (hayo ya uchaguzi aliwaachia chawa muendelee kulalamika bila evidence ya ushahidi)
Mbowe na yeye alipokutana na raisi alivutia zaidi upande wake, hatukusikia akisema kazungumzia swala la kutoutambua uchaguzi wala washindi wa ule uchaguzi.
Kwahiyo mpaka hapo hata kama hauna masikio ya kusikia, lkn kuona pia hauoni kinachoendelea?
 
Tundu Lisu ambae ndie aliechuana na wagombea wa ccm ktk kinyang'anyiro cha uraisi, alipokutana na raisi face to face hakuzungumzia swala la kutoutambua uchaguzi wala kutotambua washindi wa uchaguzi ule. Tulichoona na kusikia zaidi kutoka kwake ni kujilalamikia mwenyewe kwamba alipwe mafao yake ya ubunge (hayo ya uchaguzi aliwaachia chawa muendelee kulalamika bila evidence ya ushahidi)
Mbowe na yeye alipokutana na raisi alivutia zaidi upande wake, hatukusikia akisema kazungumzia swala la kutoutambua uchaguzi wala washindi wa ule uchaguzi.
Kwahiyo mpaka hapo hata kama hauna masikio ya kusikia, lkn kuona pia hauoni kinachoendelea?

Ulikuwepo kwenye hivyo vikao vya rais, au habari ulizopewa na Zuhura Yunus ndio unajua ulikuwa mjadala pekee?
 
Bashe amejaa utapeli sana
Kivipi mkuu, ameshamtapeli nani?
Thibitisha ili tuanze kudili nae.
Maana isije kuwa kama Lowasa tunamchafua afu 2025 au 2030 akija upinzani kugombea uraisi tunaanza kupata kazi ya kumsafisha na kumpigia deki barabara.
 
Ulikuwepo kwenye hivyo vikao vya rais, au habari ulizopewa na Zuhura Yunus ndio unajua ulikuwa mjadala pekee?
Wewe uko dunia ipi?
Ina maana ww haukufuatilia mazungumzo ya Lisu pindi anahojiwa?
Pia toka Mbowe alipotoka kwa raisi haukuwahi kumfuatilia?
Kama ni haujui au kusikia walichoongea basi sina budi kubishana na mtu asiejua anaemtetea ni nani na huwa anazungumza nini.
 
Wewe uko dunia ipi?
Ina maana ww haukufuatilia mazungumzo ya Lisu pindi anahojiwa?
Pia toka Mbowe alipotoka kwa raisi haukuwahi kumfuatilia?
Kama ni haujui au kusikia walichoongea basi sina budi kubishana na mtu asiejua anaemtetea ni nani na huwa anazungumza nini.

Kumbe ulikuwa unabishana, basi hapo ndio tatizo lilipo. Nilidhani tunaeleweshana kumbe uko majibu yako mfukoni?!
 
Inaonekana mliharibu uchaguzi mkijua mtasema ni malalamiko yasiyoisha. Ni hivi tunajua tunachokisema, na wala hatubahatishi. Ww taja nchi kibao utakavyo ukidhani utafanikisha kuhamisha ukweli. Kwa maneno marahisi, ule haukuwa uchaguzi bali upuuzi kama upuuzi mwingine. Wala usiwataje wakenya maana wako maili nyingi mbele kwenye huu upuuzi unaoendelea kwenye chaguzi zetu.
We unaongea sana.uchaguz wa 2020 mim nilisimamia kama msimamiz msaidiz.magufuk alipata kura asilimia 98 na point kadhaa mchana kweupee.
Ilikua ccm 987
Cdm 2
Tadea 1
Na hakuna aliyechakachua wala nin
 
Back
Top Bottom