Tano bora ya baraza la mawaziri wanaofanya vizuri awamu ya sita

We unaongea sana.uchaguz wa 2020 mim nilisimamia kama msimamiz msaidiz.magufuk alipata kura asilimia 98 na point kadhaa mchana kweupee.
Ilikua ccm 987
Cdm 2
Tadea 1
Na hakuna aliyechakachua wala nin

Ww si ndio uliingia na hizo kura, sasa unategemea kura zingekuwa chini ya hizo ulizoingia nazo?
 
Mimi kwangu NI Mh Rizwan anafaa kuwa Waziri WA Ujenzi
 
Kumbe mashindano ya mawaziri kufanya vizuri yameanza na mmekaa kimya tushituane .
 
Mimi kwangu NI Mh Rizwan anafaa kuwa Waziri WA Ujenzi
Ya hata yeye akiwa waziri kamili anaweza kuonesha uthubutu katika wizara yake. Kwa sasa sikumuweka kwa sababu yeye hayupo kweny list ya mawaziri kamili.
 
Katiba njiwa inaruhusu kupinga Matokeo mahakamani?
 
BASHE alisema RUZUKU TAR 15 zunguka leo hakuna hata mbolea mtàaani wakulima wanapata tabu sana anaongea sana na vingereza vyake vya to that extent hakuna kitu bure
 
Vigezo gani ulitumia
 
Mleta mada vipi kuhusu list yako, bado umaanini kuwa Aweso anafaa kuendelea kuwepo listini?
 
vigezo vilivyotumika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…