Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Mwendazake aliwa brainwash sana watanzania. Kila alichofanya kilikuwa kinyume cha sheria, lakini walimpigia makofi na wakamuita mzalendo namba 1.
Apart from kujenga viwanja vya ndege inasemekana TANROADS wanahusika na kununua mashine ya kiwanda cha sukari. Kwa utaalamu gani walionao?
TANROADS ulikuwa mpango wake wa kutengeneza mpunga tu. And then akaishia kuwatukuza akina Mfugale na Kijazi kama watakatifu fulani kwa kuibatiza miundombinu yetu kwa majina yao.
No wonder Mungu anajuwa namna hii pembetatu ya uovu ya Magufuli, Kijazi na Mfugale ndipo kaamuwa kuwatanguliza kuzimu wote mwaka jana na 2020.
Apart from kujenga viwanja vya ndege inasemekana TANROADS wanahusika na kununua mashine ya kiwanda cha sukari. Kwa utaalamu gani walionao?
TANROADS ulikuwa mpango wake wa kutengeneza mpunga tu. And then akaishia kuwatukuza akina Mfugale na Kijazi kama watakatifu fulani kwa kuibatiza miundombinu yetu kwa majina yao.
No wonder Mungu anajuwa namna hii pembetatu ya uovu ya Magufuli, Kijazi na Mfugale ndipo kaamuwa kuwatanguliza kuzimu wote mwaka jana na 2020.