TANROADS na kashfa ya kufanya kazi zisizo zao

TANROADS na kashfa ya kufanya kazi zisizo zao

Ushahidi wa mauaji upo ni suala la muda tu. Ben Saanane na Azory Gwanda wameuliwa kwa amri yake, Tundu Lissu ameshambuliwa kwa amri yake na MoDewji alitekwa na watu aliowatuma.

Kuhamia Dodoma ni matumizi mabaya fedha, ndiyo maana hata Nyerere mwenyewe hakutilia mkazo.

Ununuzi wa ndege kwa fedha taslimu ulikuwa na msukimo wa rushwa ndiyo maana hakufuata sheria za manunuzi
Yote uliyoaandika ni tuhuma tu za mitandaoni. Mfano wa kwanza kabisa ni suala la manunuzi ya ndege. Unapoitangaza nchi pasipo kuwa na shirika hai la ndege ni sawa na kutangwa maji ndani ya kinu.

Hayo masuala ya mauaji ni tuhuma nyingine ambazo haziwezi kuthibitishwa zaidi ya kuwa ni maneno ya Bar.

JPM yupo ndani ya hisia za watanzania kwa kuwa na uwezo wa kuthubutu kufanya mambo makubwa, alikuwa ni binadamu mwenye udhaifu wake mwingi tu lakini hiyo sifa ya uthubutu hata wanaharakati wakubwa kama Mzee Ulimwengu anaizungumzia mara nyingi.
 
Mwendazake aliwa brainwash sana watanzania. Kila alichofanya kilikuwa kinyume cha sheria, lakini walimpigia makofi na wakamuita mzalendo namba 1.

Apart from kujenga viwanja vya ndege inasemekana TANROADS wanahusika na kununua mashine ya kiwanda cha sukari. Kwa utaalamu gani walionao?

TANROADS ulikuwa mpango wake wa kutengeneza mpunga tu. And then akaishia kuwatukuza akina Mfugale na Kijazi kama watakatifu fulani kwa kuibatiza miundombinu yetu kwa majina yao.

No wonder Mungu anajuwa namna hii pembetatu ya uovu ya Magufuli, Kijazi na Mfugale ndipo kaamuwa kuwatanguliza kuzimu wote mwaka jana na 2020.

View attachment 2193737
Wanavuna waliyopanda. Kwanini taasisi nyingine hazikujengewa uwezo? Kwanini Tanroads ifanye kila kitu? Majanga matupu
 
JPM yupo ndani ya hisia za watanzania kwa kuwa na uwezo wa kuthubutu kufanya mambo makubwa, alikuwa ni binadamu mwenye udhaifu wake mwingi tu lakini hiyo sifa ya uthubutu hata wanaharakati wakubwa kama Mzee Ulimwengu anaizungumzia mara nyingi.
Kwa kufanya mambo makubwa hatubishi kama haya;
-Kula mahindi barabarani
  • Kumtafutia Mama yake mume kwa sababu kampa jogoo
  • Kusema watu wakae na mavi yao nyumbani
-Kuua wakosoaji
  • Wizi wa Mali ya umma
  • Uwongo
 
Back
Top Bottom