TANROADS na kashfa ya kufanya kazi zisizo zao

Yote uliyoaandika ni tuhuma tu za mitandaoni. Mfano wa kwanza kabisa ni suala la manunuzi ya ndege. Unapoitangaza nchi pasipo kuwa na shirika hai la ndege ni sawa na kutangwa maji ndani ya kinu.

Hayo masuala ya mauaji ni tuhuma nyingine ambazo haziwezi kuthibitishwa zaidi ya kuwa ni maneno ya Bar.

JPM yupo ndani ya hisia za watanzania kwa kuwa na uwezo wa kuthubutu kufanya mambo makubwa, alikuwa ni binadamu mwenye udhaifu wake mwingi tu lakini hiyo sifa ya uthubutu hata wanaharakati wakubwa kama Mzee Ulimwengu anaizungumzia mara nyingi.
 
Wanavuna waliyopanda. Kwanini taasisi nyingine hazikujengewa uwezo? Kwanini Tanroads ifanye kila kitu? Majanga matupu
 
JPM yupo ndani ya hisia za watanzania kwa kuwa na uwezo wa kuthubutu kufanya mambo makubwa, alikuwa ni binadamu mwenye udhaifu wake mwingi tu lakini hiyo sifa ya uthubutu hata wanaharakati wakubwa kama Mzee Ulimwengu anaizungumzia mara nyingi.
Kwa kufanya mambo makubwa hatubishi kama haya;
-Kula mahindi barabarani
  • Kumtafutia Mama yake mume kwa sababu kampa jogoo
  • Kusema watu wakae na mavi yao nyumbani
-Kuua wakosoaji
  • Wizi wa Mali ya umma
  • Uwongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…