Tanzania bado ina uhitaji mkubwa wa kupata Rais kama Magufuli mwenye makali zaidi

Tanzania bado ina uhitaji mkubwa wa kupata Rais kama Magufuli mwenye makali zaidi

Hapana, Tanzania haihitaji rais aina ya hayati Magufuli. Yule alikuwa doa na unajisi kwa ardhi ya Tanzania; hususan jamii Watanzania wenye utu.

Kwa nini nasema hivyo?

1. Kama alikuwa "solution" hata kwa robo ya matatizo uliyotaja, na leo amekufa na yenyewe yapo - then he was, undeniably, a complete failure.

2. Kwa vile unakiri kuwepo kwa hayo matatizo na yeye hakuyamaliza na sasa hayupo wala hawezi kurudi tena; basi hata akija mwingine kama yeye ataishia kupata matokeo hayohayo, ni jina tu ndio litabadilika lakini kushindwa na matokeo vitakuwa vile vile. That's logic.

3. Lakini akija kiongozi wa ukweli, sio mtawala au dikteta kama hayati Magufuli, yeye ataweka Katiba nzuri, Sheria kali na za haki, mifumo thabiti na himilivu, mazingira na utashi - vitakavyosababisha mabadiliko ya fikra, utamaduni na matendo yenye faida, ufanisi na maendeleo ya kudumu kwa vizazi.
Huyu akiondoka mambo yaraendelea vizuri, legacy itazidi kuimarika kwa vizazi vijavyo.
Unaelewa maana ya propaganda ?
 
Pia kipindi cha Magufuli ndio uchumi wetu ulikuwa kwa spidi ndogo zaidi kuliko cha Kikwete na Mkapa, aliharibu zaidi kuliko alivyosaidia
Sahihi kabisa.

Cheki World Bank & other international reports kiwango cha ukuaji uchumi kilifikia ukuaji wa 2%! Ni aibu tupu!

Na ripoti ya kwanza tu baada ya kifo chake tukaambiwa wanajitahidi kipande kufikia 4%. Je Lini kilishuka? Magufuli wala serikali yake hawakuwahi kutuarifu.

Ina maana kilishuka lakini walikuwa wanatumia propganda na manipulations methods kudanganya wananchi. Typical of dictators.

Mfano, faida na magawio hewa ya Mashirika ya umma, Tanzania ya viwanda (hewa) nk nk
 
Pia kipindi cha Magufuli ndio uchumi wetu ulikuwa kwa spidi ndogo zaidi kuliko cha Kikwete na Mkapa, aliharibu zaidi kuliko alivyosaidia
Weka records za uchumi kabla na baada ya Covid-19...kuna inchi zilifikia negative % growth while sisi tukiendelea kua na +ve...we cant blame effect za covid on him...it was a world wide issue..
 
Habari jf ,Ukitaka kulingoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali ,maono na Mwenye msimamo .Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1.Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

3.Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3.Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
I support this post with a hundred bags of cement 🙌🙌
 
Naunga mkono hoja, Tanzania haiwezi kuendelea kwa kuwa na kiongozi legelege na anayetanguliza democrasia ya kuombea ela za wazungu mbele.
 
Habari jf ,Ukitaka kulingoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali ,maono na Mwenye msimamo .Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1.Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

3.Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3.Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
Asanteeeee subscribed and noted for further references
 
Bado unatamani rais muuaji katili kama lile jitu!
Habari jf ,Ukitaka kulingoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali ,maono na Mwenye msimamo .Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1.Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

3.Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3.Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
The man was totally failure
Angefaa kuwa rais kabla ya Nyerere rais wa watu wasio julikana.Kwa nyakati hizi hana nafasi hata kuongoza kijiji. Ukimpima jiwe na Dr.Msukuma std7 utaona Msukuma anamzidi jiwe kwa weledi tena kwa mbali mno.
 
Habari jf ,Ukitaka kulingoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali ,maono na Mwenye msimamo .Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1.Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

3.Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3.Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
Makali ya ujinga kichwani
 
Habari jf ,Ukitaka kulingoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali ,maono na Mwenye msimamo .Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1.Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

3.Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3.Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
Mfuate
 
namba moja(1)

tupo kijiweni apa tangu saanane mchana adi saiz tunaijadiri mechi ya simba ya juzi kati
 
Habari jf ,Ukitaka kulingoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali ,maono na Mwenye msimamo .Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1.Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

3.Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3.Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
mfuate aliko akuongoze huko, kima lisilo na haya
 
Habari jf ,Ukitaka kulingoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali ,maono na Mwenye msimamo .Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1.Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

3.Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3.Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
Hata kama hayo yote uliyoyasema ni kweli - kitu ambacho si kweli- makali ya rais si suluhisho.

Kwa sababu, makali ya rais hayatatui matatizo ya kimsingi ya Watanzania, akifa rais na makali yake yatakufa.

Nchi inahitaji utatuzi endelevu, uliokaa kimfumo zaidi, si kumuangalia mtu mmoja kama rais.

Rais akipigwa na radi akajifia zake mtafanya nini?

Yani hamjajifunza tu katika kifo cha Magufuli kwamba kumtegemea mtu ni ujinga?
 
Weka records za uchumi kabla na baada ya Covid-19...kuna inchi zilifikia negative % growth while sisi tukiendelea kua na +ve...we cant blame effect za covid on him...it was a world wide issue..
Kwa nini basi hayati na wenzake hawakuweka wazi hizo takwimu mapema au kwa wakati? Why?

Unafahamu vema kuwa Mwendazake pia alikuja na sheria "yake" ya Takwimu, na ile nyingine ya Habari? Zote zilikuwa na malengo hasi na kwa nia ovu kwa Taifa.

Hivi Kazi ya Waziri wa Fedha ni nini? Kwa nini hakuweka bayana hiyo drop the whole of 2020?
Baada tu ya kifo cha hayati Magufuli, nakambuka niliwahi kusoma/kusikia maoni na makala kadhaa mwaka 2021 baadhi ya watu walidai "Magufuli kafariki, uchumi umeporomoka toka 6% hadi 4%..." Really?
 
Habari jf ,Ukitaka kulingoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali ,maono na Mwenye msimamo .Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1.Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

3.Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3.Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
Siyo kweli. Bali uongozi wa nchi unahitaji kipawa, busara, hekima, uvumilivu na ucha Mungu kwa matendo. Vitu vyote hivi mtu huzaliwa navyo.

Magufuli hakuwa na chochote kati ya hivyo ndiyo maana alitawala kqa UKATILI na kufanya mambo ya UKICHAA mengi hadi na yeye AKAFA kwa kulazimisha kupambana na COVID-19 kwa kujifukiza badala ya kutumia njia za kisayansi
 
Hata kama hayo yote uliyoyasema ni kweli - kitu ambacho si kweli- makali ya rais si suluhisho.

Kwa sababu, makali ya rais hayatatui matatizo ya kimsingi ya Watanzania, akifa rais na makali yake yatakufa.

Nchi inahitaji utatuzi endelevu, uliokaa kimfumo zaidi, si kumuangalia mtu mmoja kama rais.

Rais akipigwa na radi akajifia zake mtafanya nini?

Yani hamjajifunza tu katika kifo cha Magufuli kwamba kumtegemea mtu ni ujinga?
Nimekuelewa vema mkuu
 
Hata kama hayo yote uliyoyasema ni kweli - kitu ambacho si kweli- makali ya rais si suluhisho.

Kwa sababu, makali ya rais hayatatui matatizo ya kimsingi ya Watanzania, akifa rais na makali yake yatakufa.

Nchi inahitaji utatuzi endelevu, uliokaa kimfumo zaidi, si kumuangalia mtu mmoja kama rais.

Rais akipigwa na radi akajifia zake mtafanya nini?

Yani hamjajifunza tu katika kifo cha Magufuli kwamba kumtegemea mtu ni ujinga?
Sahihi kabisa Kiranga.

Sijui kwa nini hawataki kuona jambo la wazi na rahisi kama hilo.
 
Back
Top Bottom