Tanzania bado ina uhitaji mkubwa wa kupata Rais kama Magufuli mwenye makali zaidi

Tanzania bado ina uhitaji mkubwa wa kupata Rais kama Magufuli mwenye makali zaidi

Siyo kweli. Bali uongozi wa nchi unahitaji kipawa, busara, hekima, uvumilivu na ucha Mungu kwa matendo. Vitu vyote hivi mtu huzaliwa navyo.

Magufuli hakuwa na chochote kati ya hivyo ndiyo maana alitawala kqa UKATILI na kufanya mambo ya UKICHAA mengi hadi na yeye AKAFA kwa kulazimisha kupambana na COVID-19 kwa kujifukiza badala ya kutumia njia za kisayansi
Sahihi kabisa.

Dawa ya hawa propagandists ni dose mathubuti ya UKWELI - asubuhi, mchana, jioni na usiku; siku ZOTE!
 
Hapo Kenya Rais wa awamu iliyopita, Bw Uhuru Kenyatta naye ni miongoni mwa waandamanaji dhidi ya Rais wa sasa Bw. Ruto!

Imagine, hata mwaka mmoja bado!

Leadership! Leadership! Leadership!
 
Siyo kweli. Bali uongozi wa nchi unahitaji kipawa, busara, hekima, uvumilivu na ucha Mungu kwa matendo. Vitu vyote hivi mtu huzaliwa navyo.

Magufuli hakuwa na chochote kati ya hivyo ndiyo maana alitawala kqa UKATILI na kufanya mambo ya UKICHAA mengi hadi na yeye AKAFA kwa kulazimisha kupambana na COVID-19 kwa kujifukiza badala ya kutumia njia za kisayansi
Hili ndilo kundi kubwa la wale wenye Uwezo mdogo wa kufikiri ,ukiambiwa jiwe aliiba tr 1.5 basi unaamini bila kureason ,ukiambiwa kitu Fulani kimetokea unabeba kama kilivyo nyie mna hitaji kuongozwa hamna Uwezo wa kumshauri rais
 
Hili ndilo kundi kubwa la wale wenye Uwezo mdogo wa kufikiri ,ukiambiwa jiwe aliiba tr 1.5 basi unaamini bila kureason ,ukiambiwa kitu Fulani kimetokea unabeba kama kilivyo nyie mna hitaji kuongozwa hamna Uwezo wa kumshauri rais
Wewe unawakikisha kundi kubwa la wajinga ambao ni kama 90% ya watanzania ambao walikuwa wanadangaywa na Magufuli. Hamna uwezo wa ku analyse issues.

Issue ya matumuzi yasiyojulikana ya Tsh 1.5 Trillion ni ya CAG na haijawahi kupata majibu. Ulivyo KIAZI kichwani bado unafuata uwongo wa Magufuli.

Kafie Chato mjinga wewe
 
Awe kama magu lakini

1. asiwe muuaji.

2. mbambikiaji kesi watu,

3. anayetumia majambazi kuongoza (refer Sabaya),

4. Asiyeiba kura,

5. asiye piga watu risasi.
1. Sio kila mtu ana haki ya Kuishi. Wengine haki yao ni kifo.

2. Wapo wanaostahili kutengenezewa kesi hata za uhaini kulinda maslahi ya umma.

3. Kama ni Kulinda maslahi ya Umma, yeyote na atumiwe.

4. Sanduku la Kura ni Kiini Macho, kama wapumbavu ni wengi basi hakuna budi kulichezea shere boksi la kura.

5. Kama ni kwa Kulinda Maslahi ya Umma apige tu, hata wakiwa 100.


Katika Siasa, ubatili wa nyendo za MTU huanzia katika Dhati yake katika Kulinda Umma na Ustawi wake. Katika kuishi hilo, Hata uhai wa kiongozi husika huwekwa rehani.

Kwa maslahi ya Umma kila kitu ni halali, na kama ni kwa ubinafsi was MTU basi kila kitu ni batili, hata kutetea uhai wa MTU.
 
Hapana, Tanzania haihitaji rais aina ya hayati Magufuli. Yule alikuwa doa na unajisi kwa ardhi ya Tanzania; hususan jamii Watanzania wenye utu.

Kwa nini nasema hivyo?

1. Kama alikuwa "solution" hata kwa robo ya matatizo uliyotaja, na leo amekufa na yenyewe yapo - then he was, undeniably, a complete failure.

2. Kwa vile unakiri kuwepo kwa hayo matatizo na yeye hakuyamaliza na sasa hayupo wala hawezi kurudi tena; basi hata akija mwingine kama yeye ataishia kupata matokeo hayohayo, ni jina tu ndio litabadilika lakini kushindwa na matokeo vitakuwa vile vile. That's logic.

3. Lakini akija kiongozi wa ukweli, sio mtawala au dikteta kama hayati Magufuli, yeye ataweka Katiba nzuri, Sheria kali na za haki, mifumo thabiti na himilivu, mazingira na utashi - vitakavyosababisha mabadiliko ya fikra, utamaduni na matendo yenye faida, ufanisi na maendeleo ya kudumu kwa vizazi.
Huyu akiondoka mambo yataendelea vizuri, legacy itazidi kuimarika kwa vizazi vijavyo.
Izo vitu katiba siku nini kwenye nchi za kiafrika viongozi hawaheshimu kabisa ayo madocuments kwaio best way out ni kuomba mungu mpate Top leaders wenye uzalendo. Wajue wananchi wanaitaji maisha bora na wao ndo wanajukumu la kutuvusha kutupeleka huko.Most of the African leader's wamejaa ubinafsi uliopitiliza that's the reason wananchi wanaishi kwenye wimbi kubwa la umaskini .
 
Habari JF, Ukitaka kuliongoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali. maono na Mwenye msimamo. Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1. Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

2. Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3. Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
Acha kupoteza muda kusema wengine hivi mara hivi.Unaposema watanzania wavivu unawakosea baadhi ya wachapa kazi.Hivi wakulima wanaopambana usiku na mchana unwaitaje wavivu.Mi nadhani ungetupa kwanza Yale uliyofanya ili tuone kama hupigi siasa TU.
 
Kwa sababu aliishi na tulimwona na kumjua hayati Magufuli 2015-2021; facts na evidences zilizoko hai nchini zinaipinga vikali propganda yenu na legacy yake fake.
Polee mkuu

Umefeli sana, pakubwa mno! HUNA facts, HUNA evidence, huna huna, zaidi ya HYPOTHESIS tu.

Kaa hapo hapo, ndio utawala wenu huu!
 
Cheki World Bank & other international reports kiwango cha ukuaji uchumi kilifikia ukuaji wa 2%! Ni aibu tupu!

Na ripoti ya kwanza tu baada ya kifo chake tukaambiwa wanajitahidi kipande kufikia 4%. Je Lini kilishuka? Magufuli wala serikali yake hawakuwahi kutuarifu.

Ina maana kilishuka lakini walikuwa wanatumia propganda na manipulations methods kudanganya wananchi. Typical of dictators.
UONGO mwingine huu unaojificha kwenye jina la USOMI.

Historia na Takwimu za nyumbani kwako, ukaambiwe na mgeni? UPUUZI. Kazaneni kupiga, mnajadili based on how mmevimbiwa sio?

Uchumi umekua ila hamkuvuka daraja, KIPINDI tulichovuka mstari MTASEMA ni juhudi za nyuma sio?

FACTS na EVIDENCES ni ripoti ya CAG, amesema, UBADHIRIFU huo, haujawahi tokea tangu ADAM na EVA waliumbwa
 
Back
Top Bottom