Tanzania bado ina uhitaji mkubwa wa kupata Rais kama Magufuli mwenye makali zaidi

Tanzania bado ina uhitaji mkubwa wa kupata Rais kama Magufuli mwenye makali zaidi

Wakishashiba kwa dhuluma, kupitia zile priviledge walizozipata kutokana na wizi, wanakuwa kama wananena kwa lugha hivi.

Tayari uko kwenye nchi inayozungumzia ujenzi na matumizi ya vyoo bora, madarasa, kipindupindu, vifo vya wamama wajawazito, sio tu kutosha ila kutokuwepo kwa umeme sehemu kubwa ya nchi, njia zisizopitika, mikopo ya hovyo, KISHA unasemaje? Sio mnyonge? Sio mlala hoi?

Ukiwa unaitwa Miraji Kikwenga, Fred Lowasa, Sijui nani kingunge na the likes, uko sahihi kuzungumza hivyo
May I repeat, maisha bora, kipato bora ni jukumu lako mkuu.

Financial and social freedom is YOUR responsibility not theirs, not Government's - it's squarely yours.
Begin now by changing your mindset- how you view life, world, work, spirituality etc.
Achana na ujamaa, utakupotezea muda, maisha, fursa nk.
Wishing you best of luck!
 
Ushahidi huu hapa
Ben sanane yupo wapi
Anzory gwanda yupo wapi
Watu waliuwawa KIBITI,MKURANGA, KISIJU NA MAFIA
Nani alimpiga risasi TL
Akwilin Akwilin Alipigwa risasi na nani kwa amri ya nani?
Mpaka uwe mpumbavu ndiyo utadai ushahidi dhidi ya serikali ile ya ki dictata
Ndio maana nimeandika hapo Namba kwamba Uwezo wa kufikiri ni Mdogo ,sasa ulichoandika ni tuhuma au ushahidi ?
 
Labda Tanzania ya Burundi huko alikotokea Magufuli lakini siyo Tanzania hii. Kwa taarifa yako HATUTARUHUSU tena kiongozi mshamba na muuaji kama Magufuli atutawale
Hutaruhusu sio hatutaruhusu
 
Labda Tanzania ya Burundi huko alikotokea Magufuli lakini siyo Tanzania hii. Kwa taarifa yako HATUTARUHUSU tena kiongozi mshamba na muuaji kama Magufuli atutawale
Wananchi wengi wana Uwezo wa kufikiri kama ulionao wewe haijalishi levele zao Elimu ,sasa unategemea nini kwa mtu ambae hana Uwezo kufikiri na katafakari kwa kila anacho ambiwa au kusikia ? Mtu huyu anahitaji kuongozwa njia sahihi .
 
Habari JF, Ukitaka kuliongoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali. maono na Mwenye msimamo. Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1. Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

2. Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3. Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
Wa nini, Rais wetu tuliyenaye anatosha.
 
Wananchi wengi wana Uwezo wa kufikiri kama ulionao wewe haijalishi levele zao Elimu ,sasa unategemea nini kwa mtu ambae hana Uwezo kufikiri na katafakari kwa kila anacho ambiwa au kusikia ? Mtu huyu anahitaji kuongozwa njia sahihi .
Wananchi wanaotaka mtu kama Magufuli ni wajinga na hawana akili. Najuwa ni wengi na wanafika hata 80% ukiwamo wewe pia. Ila tutawasaidia kwa kuwaelimisha kuwa pale TULIKOSEWA sana na Kikwette na Kamati kuu ya CCM kutuletea kama mgombea wa CCM na kisha kupewa URais wa Tanzania.

Mungu alisahihisha makosa ya Kikwette na CCM kwa kumuondosha mapema March 2021 kabla hajaipeleka nchi yetu papaya sana. I assure you kama angekuwa hai inawezekana hata wewe leo RNA ungekuwa umekufa au uko rumande kama Magufuli angekuwa hai
 
Hapana, Tanzania haihitaji rais aina ya hayati Magufuli. Yule alikuwa doa na unajisi kwa ardhi ya Tanzania; hususan jamii Watanzania wenye utu.

Kwa nini nasema hivyo?

1. Kama alikuwa "solution" hata kwa robo ya matatizo uliyotaja, na leo amekufa na yenyewe yapo - then he was, undeniably, a complete failure.

2. Kwa vile unakiri kuwepo kwa hayo matatizo na yeye hakuyamaliza na sasa hayupo wala hawezi kurudi tena; basi hata akija mwingine kama yeye ataishia kupata matokeo hayohayo, ni jina tu ndio litabadilika lakini kushindwa na matokeo vitakuwa vile vile. That's logic.

3. Lakini akija kiongozi wa ukweli, sio mtawala au dikteta kama hayati Magufuli, yeye ataweka Katiba nzuri, Sheria kali na za haki, mifumo thabiti na himilivu, mazingira na utashi - vitakavyosababisha mabadiliko ya fikra, utamaduni na matendo yenye faida, ufanisi na maendeleo ya kudumu kwa vizazi.
Huyu akiondoka mambo yataendelea vizuri, legacy itazidi kuimarika kwa vizazi vijavyo.
Katiba inayokuja
1. Je itaondoa ujinga wa kutotumia Elimu kwa usahihi?
2. Itaondoa uvivu? Na kutowajibika

Hii iliyopo na ubovu wake ikifuatwa hata kwa robo tu taifa linasonga.
Sometime wengine inabidi wauawe ikiwa wanaleta ujinga ili wajinga wanaoona waogope hata kama hawakubali, lkn wajue watakufa.
Unadhani utamaduni uliokithiri unaondoka overnight?
Pamoja na weakness za Jpm lkn amefanya tujue inawezekana kukawa na weledi kazini hata iwe kwa hofu.
Hao majambazi unaowataja nao wangeshughulikiwa. Mbona aliyejaribu kutikisa hakuuo a ukuu wa mkoa tena?
Lakini hata Mbwa hutumika kuzuia waharifu, kwahiyo kama kuna jambazi atatumika kuzuia majambazi kwetu ni salama.
Kuhusu kuiba kura hilo sio Tz tu. USA walidai Trump aliiba, Kenya ni miaka yote baba anadai kuibiwa, China ndio kabisaaa, lkn Nyerere mbona tulipigishwa kura kumchagua yeye pasipo kuwepo mpinzani? Na ulikuwa umeufyata mkia au wewe ni mtoto hujui. Unajua Mzee Mwinyi aligombea na nani na uchaguzi ulifanyika kwa hela zetu za kodi? Rasi yupo duniani anapita kwa kura sahihi , toa ushahidi? Acha waibe ila maendeleo na haki ziwepo
 
Katiba inayokuja
1. Je itaondoa ujinga wa kutotumia Elimu kwa usahihi?
2. Itaondoa uvivu? Na kutowajibika

Hii iliyopo na ubovu wake ikifuatwa hata kwa robo tu taifa linasonga.
Sometime wengine inabidi wauawe ikiwa wanaleta ujinga ili wajinga wanaoona waogope hata kama hawakubali, lkn wajue watakufa.
Unadhani utamaduni uliokithiri unaondoka overnight?
Pamoja na weakness za Jpm lkn amefanya tujue inawezekana kukawa na weledi kazini hata iwe kwa hofu.
Hao majambazi unaowataja nao wangeshughulikiwa. Mbona aliyejaribu kutikisa hakuuo a ukuu wa mkoa tena?
Lakini hata Mbwa hutumika kuzuia waharifu, kwahiyo kama kuna jambazi atatumika kuzuia majambazi kwetu ni salama.
Kuhusu kuiba kura hilo sio Tz tu. USA walidai Trump aliiba, Kenya ni miaka yote baba anadai kuibiwa, China ndio kabisaaa, lkn Nyerere mbona tulipigishwa kura kumchagua yeye pasipo kuwepo mpinzani? Na ulikuwa umeufyata mkia au wewe ni mtoto hujui. Unajua Mzee Mwinyi aligombea na nani na uchaguzi ulifanyika kwa hela zetu za kodi? Rasi yupo duniani anapita kwa kura sahihi , toa ushahidi? Acha waibe ila maendeleo na haki ziwepo
Yote ukiyoandika ni sawa. Ila watanzania tulikosewa sana na CCM kutuletea Magufuli kama Rais. Na Mungu analijuwa hilo akalisahihisha mapema March 17, 2021
 
Yote ukiyoandika ni sawa. Ila watanzania tulikosewa sana na CCM kutuletea Magufuli kama Rais. Na Mungu analijuwa hilo akalisahihisha mapema March 17, 2021
Kuna sheria za kidini zinasema
Usilitaje Jina la Mungu bure, Maana Mungu hatamuhesabia hana hatia mtu atajaye Juna la Mungu bure.
 
Sahihi kabisa.

Cheki World Bank & other international reports kiwango cha ukuaji uchumi kilifikia ukuaji wa 2%! Ni aibu tupu!

Na ripoti ya kwanza tu baada ya kifo chake tukaambiwa wanajitahidi kipande kufikia 4%. Je Lini kilishuka? Magufuli wala serikali yake hawakuwahi kutuarifu.

Ina maana kilishuka lakini walikuwa wanatumia propganda na manipulations methods kudanganya wananchi. Typical of dictators.

Mfano, faida na magawio hewa ya Mashirika ya umma, Tanzania ya viwanda (hewa) nk nk
Kuna report yoyote uliiona ikisema uchumi wetu umepungia kukua au unakua kwa 2% ?

Lugha kiuchumia ata kasi ya kukua ikipungua kuwa negative itatamkwa hivohivo kuwa uchumi wa nchi fulan unakua kwa -0.4%!

Sasa leta report yoyote ambayo uliwahi kuiona uchumi wetu unakua kwa percent 2 tu! Inshort hakuna!

Kwa msaada zaidi, yale ni makadilio tu, world bank waaweza kutoa makadilio yao, ila IMF ikija kufanya makadilio nayo itatoa inavyoona! Na kumbuka sio lazima makadilio ya World Bank na IMF yaendane! Serikali nayo itatoa makadilio yao ambayo sio lazima yaendane na ya World Bank ma IMF.
 
Habari JF, Ukitaka kuliongoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali. maono na Mwenye msimamo. Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1. Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

2. Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3. Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Murmur makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
TANZANIA HAIHITAJI AINA YA RAIS UNAEMFIKIRIA WEWE, NO NO NO.
 
Habari JF, Ukitaka kuliongoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali. maono na Mwenye msimamo. Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1. Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

2. Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3. Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
He mkuu bado unamuwaza nduli tuu., kule zanzibar walipelekewa mamluki siku za uchaguzi watu walipigwa sana na kumwaga dam mbali matukio ya watu kutekwa na watu wasiojulikana, viroba viliokotwa huko fukweni nk, makesi ya kubambika na zahma tele unatamani haya yote yarudi???
 
Hakika. Tanzania inahitaji Rais mwenye sifa zifuatazo:-
1. Mzalendo wa kweli kabisa.
2. Mwenye uwezo binafsi(IQ ya juu)
3. Awe mchapakazi(asiwe uji uji)
4. Awe na ujasiri wa kiwango cha kimataifa.
5. Awe na uchungu wa Rasilimali za Nchi.
6. Awe dictator wa maendeleo ya kweli ya Nchi.
7. Awe tayari kuweka Rehani Maisha yake kwa ajili ya Watanzania.
 
Habari JF, Ukitaka kuliongoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali. maono na Mwenye msimamo. Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1. Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

2. Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3. Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
Kabisa !!
 
Yote ukiyoandika ni sawa. Ila watanzania tulikosewa sana na CCM kutuletea Magufuli kama Rais. Na Mungu analijuwa hilo akalisahihisha mapema March 17, 2021
Wananchi wanaotaka mtu kama Magufuli ni wajinga na hawana akili. Najuwa ni wengi na wanafika hata 80% ukiwamo wewe pia. Ila tutawasaidia kwa kuwaelimisha kuwa pale TULIKOSEWA sana na Kikwette na Kamati kuu ya CCM kutuletea kama mgombea wa CCM na kisha kupewa URais wa Tanzania.

Mungu alisahihisha makosa ya Kikwette na CCM kwa kumuindosha mapema March 2021 kabla hajaipeleka nchi yetu papaya sana. I assure you kama angekuwa hai inawezekana hata wewe leo RNA ungekuwa umekufa au uko rumande kama Magufuli angekuwa hai
God doesn’t make mistakes; neither of us is a mistake.learn to respect others
 
Kwa msaada zaidi, yale ni makadilio tu, world bank waaweza kutoa makadilio yao, ila IMF ikija kufanya makadilio nayo itatoa inavyoona! Na kumbuka sio lazima makadilio ya World Bank na IMF yaendane! Serikali nayo itatoa makadilio yao ambayo sio lazima yaendane na ya World Bank ma IMF.
Asante kwa kurudia nilichomaanisha.
 
Back
Top Bottom