Tetesi: Tanzania Daima Hali Siyo Shwari, Mhariri Mkuu, Ndugu Neville Meena Atimuliwa Kazi

mkuu Media kuingia kwenye taharuki unaliona jambo dogo na lisilo la muhimu?
Mbona hukuongelea mawio lilipofungiwa? Unaongelea Tanzania Daima, au Uhuru kwanini usiliongelee mbona hawakulipwa miaka miwili?
 
Kwani wewe ni mmoja kati ya 14?punguza hasira.
 
Hicho ni kitegauchumi binafsi sio chama.nilazima akisimamie
 
>>>>UKUTA imegeuka kuwa UKATA..........


Hivi operesheni KataFunua inaanza lini??
 
Sisi watu wenye akili kubwa tulishaliona hili.
Na tulisema Sera za uchumi za mtukufu ni mfu na hazina tija.
Tuliwambia private sector ambayo ndiyo muajiri mkubwa inakufa, jobless wanaongezeka lkn watu wengine walibisha.
Tunasema si Mbowe tu atakae kumbwa na sakata hili, watafwatia wengi na hakika watanzania wataendelea kutaabika na ajira zitapotea na umasikini utaongezeka.
Nawahurumia sana wanao furahia kadhia lkn huu ni mzunguko kwa sekta binafsi zote hivyo kama si wewe basi ndg yako ataguswa, au maslai yako yataguswa kwa namna moja AMA nyingine
 
Tuliwaambia Awamu hii siyo ya Akili ndogo kuongoza Akili kubwa
Na bado
 


Hahahaha... Richard bana..hehehe.... sasa CCM wameingiaje hapo?
 
narudia tens wandugu tushiriki kujadili mambo ya msingi yatakayotukwamua toka hapa tulipo,,tuachane na minor issues kama hizi
Sie watanzania sio wa ivyo..major ishuz hatuzimudu..Bado tupo kwenye kampeni kwanza
 
i
Ccm inachanua chanu
its high time hawa wahariri are a liability kwenye media houses, badala ya kushughulika na kazi zao wako busy kupiga deal na wanasiasa, hivi ukijiuliza pale Habari walikojaa wakina Kibanda, Msaki, nk kwa gazeti linalouza nakala 1500, mtu yeyote mwenye akili atajiuliza wanafanya nini watu kibao. Hongera Mbowe its high time wahariri waache kujidanganya kuwa wao ni babu kubwa, du hii kali kabisa hata hivyo tasnia nzima inahitaji mabadiliko, watu wamekaa kwa muda mrefu mno hakuna innovation any more maisha ni business as usual, du, sasa ulaji wa muswada wa habari utafanyikaje? labda aenda habari jamvi la wageni au mwenyekiti wa Moat amchukue kule kwake
 


Nasubiria hii habari niisome kwenye magazeti ya Uhuru na Habari Leo ndiyo itakuwa imenoga.
Naamini watauelezea huu udaku kwa ufasaha zaidi kuliko alivyouelezea hapa MaiMadiba.
 
Gazeti litaendeshwaje na watu 14??
 
Huyu Meena naye aliota mapembe kiaina.Ngoja tusome wote number pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…