mukandarasi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 932
- 275
Ccm inachanua chanu
Kupakua kodi zetu kwa kisingizio cha kuiuzia shule serikali!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm inachanua chanu
Bado ni tetesiTetes
Bali ya akili hakuna kuongoza akili ndogo?Tuliwaambia Awamu hii siyo ya Akili ndogo kuongoza Akili kubwa
Na bado
Anaimba namba. Moja, mbili, tatu ......Hahahahahaaaaaaa. Mbowe anaisoma namba
Mkuu wewe si ndio umeleta huu uzi?, wewe ndio unatujuza sisi, sasa tena unataka taarifa zaidi kutoka kwetu?, Duh....,Tuseme nae anabana matumizi km Mh au?
@ TatamadibaMkuu wewe si ndio umeleta huu uzi?, wewe ndio unatujuza sisi, sasa tena unataka taarifa zaidi kutoka kwetu?, Duh....,
Mkuu ni kama unapoongelea shida ya gari ukaambiwa ni dereva, au ni mafuta ukaanza jiuliza wanaingiaje wakati gari limegongana?Hahahaha... Richard bana..hehehe.... sasa CCM wameingiaje hapo?
Punguza mizaha.Horrible people hamna nyuma wala mbele kama zile kaptura za miaka ile.Unaweza jaza trashes hapa kisha ukishamaliza unakimbia bila kuaga.huko ni kukosa adabu.Kwani wewe ni mmoja kati ya 14?punguza hasira.
Mahakama ya mafisadi imekosa kesi Sasa nashangaa unaposema Mh. MBOWE ameuza Chama kwa fisadi. Hilo Swala la kodi ni hila za kisiasa kutaka kumdhoofisha MBOWETusiusmee moyo, yote yanawezekana. Nani alijua anaweza kuuza chama kwa FISADI? Nani alijua kuwa hakuwa analipa kodi kwa takribani miaka 20?
Awamu hiiBali ya akili hakuna kuongoza akili ndogo?
Hapana CCM wameuzia selikali shule chakavu kimiundombinu na kielimu sekondari Omumwani huko Bukoba kwa mabilioni,CDM hayuko serikalini atauza nini?CCM wakongwe, wao tatizo lao walilikabili kikongwe , huko kwa watani wao sijui!
Mtu mgeni akija nchi hii anaweza kudhani Mbowe au Lowassa ndio viongozi wa nchi hii na Magu ndio kiongozi wa chama kikuu cha upinzani kama atakuwa anafuatilia trend ya hoja zenu.Awamu hii
Mlikuwa mnamuogopa Mbowe kuliko mungu
Mtamkimbia tu
Si aliuza chama kwa billion kumi mwaka janaHapana CCM wameuzia selikali shule chakavu kimiundombinu na kielimu sekondari Omumwani huko Bukoba kwa mabilioni,CDM hayuko serikalini atauza nini?
Na kweli utapakuliwa kama ulivyoomba. Mi nilidhani una hakika na unachoandika, kumbe unaleta vodacom zogoMwenye kujua zaidi nini kinajiri huko aendelee kutupakulia
Mbowe wa ajabu sana anakwepa kodi halafu halipi mishahara watumishi wake DU!
Are you sure with solid concrete proof? Or just sweet gossip?Si aliuza chama kwa billion kumi mwaka jana
Wanatosha sana.Gazeti litaendeshwaje na watu 14??
Nao wanaisoma namba.View attachment 454642
Kuna taarifa kuwa jana tarehe 04 Januari, 2017 Katika ofisi za gazeti la Tanzania Daima kulikuwa na patashika Nguo kuchanika. Kwa mujibu wa mdakuzi wa taarifa hii, chanzo cha patashika hiyo ilitokana na UKATA unaoukabila uongozi wa gazeti hilo, hali iliyopelekea Watumishi kutolipwa mishahara yao yapata miezi MITANO sasa. Habari zaidi zinasema mhariri Mkuu wa Tanzania Daima, Ndugu NEVILLE MEENA ametimuliwa kazi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kuingiza wafanyakazi wengi wasiyo kuwa na tija kwa gazeti huku wakilipwa mishahara mikubwa.
Wakati huo huo Mmiliki wa gazeti la Tanzania Daima ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB), FREEMAN AIKAELI MBOWE ametoa maagizo ya kuwatimua wafanyakazi wangine na kuwabakiza kumi na nne(14) tu.