Tanzania haijapate Mwinjilisti Mwingine mwenye nguvu kitaifa kama Moses Kulola sababu aliondoka bila kukabidhi mtu kipawa alichokuwa nacho

Tanzania haijapate Mwinjilisti Mwingine mwenye nguvu kitaifa kama Moses Kulola sababu aliondoka bila kukabidhi mtu kipawa alichokuwa nacho

Naona wengi siku hizi ni motivational speaker kuwafundisha watu habri ya biashara,ndoa na mifumo ya maisha ya binadamu

Wanahimiza sana utoaji wa sadaka bila kusisitisa sadaka hiyo inayoletwa iwe ya halali isiwe na makandokando

Hawakemei dhambi kwa ukali na wala hawazungumzii dhambi
Kazi ipo
 
Mchungaji Moses Magembe ana mielekeo ileile kama mzee Kulola.
Sidhani yeye kajikita zaidi kwenye doctorines zaidi za kanisa

Uteteaji wa usahihi wa doctorines za kanisa sio uinjilisti, kajikita kwenye Eneo la uteteaji wa imani ya kanisa

Anaangalia makanisa mengine au kanisa ililopo liwe lake au mengine yamepotoka wapi na kukemea huo upotofu wa ndani ya kanisa lake au mengine

Kifupi Kwa uinjilisti ni kidogo mno tu kufikia viwango vya akina Moses Kulola,Billy Graham au Renhard Bonke vya kujikita tu kwenye injili ya kuleta wokovu tu watu watubu dhambi na kuacha hajafikia huko yeye huge uza platform apewazo kuwa jukwaa la elimu ya uteteaji wa doctrines yaan apologetics platform!!!!

Yeye yuko kundi la Apologetics preachers anbao kazi yao kuwinda mafundisho.potofu yako wapi na kuyajengea mahubiri viwanja vya mikutano ya nje na ndani akipewa nafasi

Yawezekana ana hamu ya uinjilisti lakini bado haujamwingia barabara may be because ni mchungaji kuna vitu kichwani vinaingiliana .Kuchanganya uchungaji na uinjilisti kunampa shida

Uinjilisti ni ofisi inajitegemea na sio ya mchezo.Inataka full time commitment kufikia viwango vya akina Kulola sio part time.Yeye anaifanya part time
 
Ndoto tu imekukimbiza tena hata hukuiota wewe ?
hii ilisababishwa na mdogo wangu wa kike kuota ndoto nzito juu ya mwamposa.

Aiseee baada ya hapo nika relate ile ndoto na baadhi ya vitendo vya mwamposa madhabahuni

nika stop kuabudu kwake
 
Mchungaji Moses Magembe ana mielekeo ileile kama mzee Kulola.
No Magembe yuko ki doctrines zaidi za dini tofauti na Kulola mhubiri wa wokovu sio dini au Bonke au Billy Graham waamini wokovu sio dini
Magembe dini iko mbele kama tai

Kwa uchungaji yuko OK

Uinjilisti bado
 
Jmn na mahubiri ya FGBF ni injili tupu.....ila kiongozi wa hili kanisa mbona haonekani anamatatizo Gani????
 
Viongozi wote wakubwa wenye vipawa vikubwa kwenye Biblia kabla kuondoka duniani walikabidhi vipawa vyao kwa watu wengine specific.Musa alikabidhi kwa Joshua na Eliya alikabidhi kwa Elisha na baada ya kukabidhiwa wakabidhiwa walifanya maajabu makubwa

Moses Kulola alikuwa Mwinjilisti akihubiri.maelfu walikimbia kutubu dhambi na kuziacha kwenye mikutano yake kama ilivyokuwa kwa Yohana Mbatizaji Yerusalemu na Yudea yote walikwenda kwake kutubu dhambi. Tofauti na sasa wengi huenda kwa ajili ya maombi na maombezi tu mambo ya kutubu dhambi hawana mpango nayo.Yohana mbatizaji alikuwa na huduma kuu ya kutubisha watu dhambi zao na kuacha hajawahi ponya mtu wala muujiza wowote Billy.Graham pia alikuwa na kipawa hicho cha kuleta mamilioni kutubu dhambi na kuziacha

Moses Kulola pia anafahamika zaidi kwa kuwaleta wengi kutubu dhambi na kuziacha kwa Tanzania

Lakini kutokana na Mateso makali aliyopitia mikononi mwa Kanisa na magerezani huko na kwa mataifa wasiojali Injilli alihangaika na mateso yake akasahau kukabidhi kazi yake kwa mwingine awe kama yeye na zaidi siku zake za kuondoka duniani zilipofika.Hivyo kuliacha Taifa la Tanzania njia panda halina Mwinjilisti mwenye nguvu kama yeye mleta watu wengi wautubu dhambi na kuziacha. Kaliacha taifa njia panda limejaa huduma za maombi na maombezi na uchungaji Kila mtu anataka kuwa mchungaji au kiongozi wa huduma ya maombi na maombezi Uinjilisti hawataki

Vyombo makanisa mengi yamekuwa matapeli huombq kuwa yanahitaji kwa ajili ya injili uongo mtupu wanahitaji vyombo kwa ajili ya kwaya tu kanisani hakuna cha uijilisti wala nini

.Katika huduma zisizopendwa tena ni Uinjilisti wakati wa kipindi chake yeye Moses Kulola alikuwa role model watu wengi walipenda sana Uinjilisti kuliko uchungaji au huduma za maombi na maombezi

Leo ni Ijumaa kuu tunapokumbuka mateso Yesu alipata tukumbuke pia mateso Moses Kulola alipitia na vizuri kila aliyehusika kumtesa kwa mawazo,kwa maneno au vitendo awe mtu binafsi au taasisi au kikundi kwa siri au kwa wazi au kwa kumuwazia au kumsema vibaya aombe msamaha kwa Mungu Ijumaa kuu hii na kuomba rehema za Mungu asamehe alete mwingine kama Moses Kulola.Sioni Nchi ku move forward kwa nguvu sana kwenye Uinjilisti kama kanisa halitafanya toba kwa madhira iliyompitisha Moses Kulola


Na kama Taifa tuombe Rehema za Mungu kama taifa tuhurumiwe sababu sio vizuri sana mtumishi mwenye nguvu kama yule kufia kwenye nchi yetu kwa mateso aliyopata ndani ya nchi.Nchi twaweza laanika kwa kuwajibika kwa kifo chake sababu alifia kwetu kwa mateso
Damu yake iko nchini kwetu Bugando ,Mwanza ,Tanzania

Nawatakia Ijumaa kuu njema
Hacha kwenda kanisani au nyumba za ibada kwa kufata matukio. Ndio nyinyi mnaenda kanisani kuangalia Mama Fulani kaanguka mapeo ili mradi muwachungulie wa mama wanavyodondoka vichupi juuu
 
Hacha kwenda kanisani au nyumba za ibada kwa kufata matukio. Ndio nyinyi mnaenda kanisani kuangalia Mama Fulani kaanguka mapeo ili mradi muwachungulie wa mama wanavyodondoka vichupi juuu
Hoja yako haiendani na mada
 
Jmn na mahubiri ya FGBF ni injili tupu.....ila kiongozi wa hili kanisa mbona haonekani anamatatizo Gani????
Mahubiri ya FBGF ni ya kichungaji sio kiinjilisti

Uinjilisti haufanywi ndani ya kanisa ni mitaani na vijijini kusiko na waliookoka

Kanisani ni mahibiri ya kujenga waumini ambao tayari wameokoka sio uinjilisti!!
 
Viongozi wote wakubwa wenye vipawa vikubwa kwenye Biblia kabla kuondoka duniani walikabidhi vipawa vyao kwa watu wengine specific.Musa alikabidhi kwa Joshua na Eliya alikabidhi kwa Elisha na baada ya kukabidhiwa wakabidhiwa walifanya maajabu makubwa

Moses Kulola alikuwa Mwinjilisti akihubiri.maelfu walikimbia kutubu dhambi na kuziacha kwenye mikutano yake kama ilivyokuwa kwa Yohana Mbatizaji Yerusalemu na Yudea yote walikwenda kwake kutubu dhambi. Tofauti na sasa wengi huenda kwa ajili ya maombi na maombezi tu mambo ya kutubu dhambi hawana mpango nayo.Yohana mbatizaji alikuwa na huduma kuu ya kutubisha watu dhambi zao na kuacha hajawahi ponya mtu wala muujiza wowote Billy.Graham pia alikuwa na kipawa hicho cha kuleta mamilioni kutubu dhambi na kuziacha

Moses Kulola pia anafahamika zaidi kwa kuwaleta wengi kutubu dhambi na kuziacha kwa Tanzania

Lakini kutokana na Mateso makali aliyopitia mikononi mwa Kanisa na magerezani huko na kwa mataifa wasiojali Injilli alihangaika na mateso yake akasahau kukabidhi kazi yake kwa mwingine awe kama yeye na zaidi siku zake za kuondoka duniani zilipofika.Hivyo kuliacha Taifa la Tanzania njia panda halina Mwinjilisti mwenye nguvu kama yeye mleta watu wengi wautubu dhambi na kuziacha. Kaliacha taifa njia panda limejaa huduma za maombi na maombezi na uchungaji Kila mtu anataka kuwa mchungaji au kiongozi wa huduma ya maombi na maombezi Uinjilisti hawataki

Vyombo makanisa mengi yamekuwa matapeli huombq kuwa yanahitaji kwa ajili ya injili uongo mtupu wanahitaji vyombo kwa ajili ya kwaya tu kanisani hakuna cha uijilisti wala nini

.Katika huduma zisizopendwa tena ni Uinjilisti wakati wa kipindi chake yeye Moses Kulola alikuwa role model watu wengi walipenda sana Uinjilisti kuliko uchungaji au huduma za maombi na maombezi

Leo ni Ijumaa kuu tunapokumbuka mateso Yesu alipata tukumbuke pia mateso Moses Kulola alipitia na vizuri kila aliyehusika kumtesa kwa mawazo,kwa maneno au vitendo awe mtu binafsi au taasisi au kikundi kwa siri au kwa wazi au kwa kumuwazia au kumsema vibaya aombe msamaha kwa Mungu Ijumaa kuu hii na kuomba rehema za Mungu asamehe alete mwingine kama Moses Kulola.Sioni Nchi ku move forward kwa nguvu sana kwenye Uinjilisti kama kanisa halitafanya toba kwa madhira iliyompitisha Moses Kulola


Na kama Taifa tuombe Rehema za Mungu kama taifa tuhurumiwe sababu sio vizuri sana mtumishi mwenye nguvu kama yule kufia kwenye nchi yetu kwa mateso aliyopata ndani ya nchi.Nchi twaweza laanika kwa kuwajibika kwa kifo chake sababu alifia kwetu kwa mateso
Damu yake iko nchini kwetu Bugando ,Mwanza ,Tanzania

Nawatakia Ijumaa kuu njema
Niseme tu, nyakati zimebadilika sana. Leo hii hata kama angekuwepo Moses Kulola bado angepata taabu sana kuhubiri aina yake ya Injili. Baada ya kuja uchafuzi wa Injili ya wasaka afya na mafanikio, masikio ya watu wote, wapagani, Waislamu kwa Wakristo wameelekeza mioyo yao huko. Ndio maana utaona wafuasi wengi wa akina kuhani Musa, Mwamposa nk ni Waumini wa imani tofauti. Wahubiri wanaofuata maagizo ya Kristo kwa kuhubiri toba wapi ila hawawezi kuwa na mega churches, ni makusanyiko madogo mno. Matapeli wa Injili ndio wanawake, sawa sawa na Kristo alivyosema itakuwa nyakati za mwisho.

Hivyo hoja sio Kulola kutokabidhi kipawa kwa sababu afanyaye hivyo ni Roho Mtakatifu wala si mwanadamu. Tatizo hapa ni watu kupenda mafundisho ya uongo. Nakumbuka kwenye uchaguzi wa mwisho kabla ya kifo chake kulikuwa na njama za maaskofu kumng'oa Kulola. Sasa ndio uone uasi ulianzia humo humo ndani, na hao waliotaka kumng'oa ndio wameshika kijiti hii leo. Kutwa kucha mahakamani kwa kesi za wizi na kugombania madaraka. Vipofu wanawezaje kuwaongoza vipofu wenzao?
 
Viongozi wote wakubwa wenye vipawa vikubwa kwenye Biblia kabla kuondoka duniani walikabidhi vipawa vyao kwa watu wengine specific.Musa alikabidhi kwa Joshua na Eliya alikabidhi kwa Elisha na baada ya kukabidhiwa wakabidhiwa walifanya maajabu makubwa

Moses Kulola alikuwa Mwinjilisti akihubiri.maelfu walikimbia kutubu dhambi na kuziacha kwenye mikutano yake kama ilivyokuwa kwa Yohana Mbatizaji Yerusalemu na Yudea yote walikwenda kwake kutubu dhambi. Tofauti na sasa wengi huenda kwa ajili ya maombi na maombezi tu mambo ya kutubu dhambi hawana mpango nayo.Yohana mbatizaji alikuwa na huduma kuu ya kutubisha watu dhambi zao na kuacha hajawahi ponya mtu wala muujiza wowote Billy.Graham pia alikuwa na kipawa hicho cha kuleta mamilioni kutubu dhambi na kuziacha

Moses Kulola pia anafahamika zaidi kwa kuwaleta wengi kutubu dhambi na kuziacha kwa Tanzania

Lakini kutokana na Mateso makali aliyopitia mikononi mwa Kanisa na magerezani huko na kwa mataifa wasiojali Injilli alihangaika na mateso yake akasahau kukabidhi kazi yake kwa mwingine awe kama yeye na zaidi siku zake za kuondoka duniani zilipofika.Hivyo kuliacha Taifa la Tanzania njia panda halina Mwinjilisti mwenye nguvu kama yeye mleta watu wengi wautubu dhambi na kuziacha. Kaliacha taifa njia panda limejaa huduma za maombi na maombezi na uchungaji Kila mtu anataka kuwa mchungaji au kiongozi wa huduma ya maombi na maombezi Uinjilisti hawataki

Vyombo makanisa mengi yamekuwa matapeli huombq kuwa yanahitaji kwa ajili ya injili uongo mtupu wanahitaji vyombo kwa ajili ya kwaya tu kanisani hakuna cha uijilisti wala nini

.Katika huduma zisizopendwa tena ni Uinjilisti wakati wa kipindi chake yeye Moses Kulola alikuwa role model watu wengi walipenda sana Uinjilisti kuliko uchungaji au huduma za maombi na maombezi

Leo ni Ijumaa kuu tunapokumbuka mateso Yesu alipata tukumbuke pia mateso Moses Kulola alipitia na vizuri kila aliyehusika kumtesa kwa mawazo,kwa maneno au vitendo awe mtu binafsi au taasisi au kikundi kwa siri au kwa wazi au kwa kumuwazia au kumsema vibaya aombe msamaha kwa Mungu Ijumaa kuu hii na kuomba rehema za Mungu asamehe alete mwingine kama Moses Kulola.Sioni Nchi ku move forward kwa nguvu sana kwenye Uinjilisti kama kanisa halitafanya toba kwa madhira iliyompitisha Moses Kulola


Na kama Taifa tuombe Rehema za Mungu kama taifa tuhurumiwe sababu sio vizuri sana mtumishi mwenye nguvu kama yule kufia kwenye nchi yetu kwa mateso aliyopata ndani ya nchi.Nchi twaweza laanika kwa kuwajibika kwa kifo chake sababu alifia kwetu kwa mateso
Damu yake iko nchini kwetu Bugando ,Mwanza ,Tanzania

Nawatakia Ijumaa kuu njema
ulimpima vipi mwinjilisti Moses kulola ukajua ana nguvu,,,,,,,??au kwa sababu alikuwa anakugusa ww?.....walokole bhana.....watu wa ulimwengu wa roho...🤣
 
ulimpima vipi mwinjilisti Moses kulola ukajua ana nguvu,,,,,,,??au kwa sababu alikuwa anakugusa ww?.....walokole bhana.....watu wa ulimwengu wa roho...🤣
Matunda ya idadi ya wanaookoka mikutano yake

Biblia inatamka wazi mtawatambua kwa matunda yao

Mwinjilisti hapimwi kwa jina kujiita Mwinjilisti Moses aliketa maefu kwa kanisa kupitia huduma yake

Uinjilisti sio cheo ni kazi
 
Matunda ya idadi ya wanaookoka mikutano yake

Biblia inatamka wazi mtawatambua kwa matunda yao

Mwinjilisti hapimwi kwa jina kujiita Mwinjilisti Moses aliketa maefu kwa kanisa kupitia huduma yake

Uinjilisti sio cheo ni kazi
nisaidie ivi neno kuokoka lipo kwenye msitari upi ndani ya biblia na nini maana ya kuokoka maana na siku nying nafikiria hzo mambo nieleweshe kwa bible
 
Boss Yani kiufupi mzee kolola alitumwa na Mungu akutangaza miujiza ya maji Wala nini ni neno tu


Kama angetaka utajiri mzee angekuwa bilionea ila kafa na maisha ya kawaida tu apumzike kwa amani mzee wetu wa yooo yooo
Viongozi wote wakubwa wenye vipawa vikubwa kwenye Biblia kabla kuondoka duniani walikabidhi vipawa vyao kwa watu wengine specific.Musa alikabidhi kwa Joshua na Eliya alikabidhi kwa Elisha na baada ya kukabidhiwa wakabidhiwa walifanya maajabu makubwa

Moses Kulola alikuwa Mwinjilisti akihubiri.maelfu walikimbia kutubu dhambi na kuziacha kwenye mikutano yake kama ilivyokuwa kwa Yohana Mbatizaji Yerusalemu na Yudea yote walikwenda kwake kutubu dhambi. Tofauti na sasa wengi huenda kwa ajili ya maombi na maombezi tu mambo ya kutubu dhambi hawana mpango nayo.Yohana mbatizaji alikuwa na huduma kuu ya kutubisha watu dhambi zao na kuacha hajawahi ponya mtu wala muujiza wowote Billy.Graham pia alikuwa na kipawa hicho cha kuleta mamilioni kutubu dhambi na kuziacha

Moses Kulola pia anafahamika zaidi kwa kuwaleta wengi kutubu dhambi na kuziacha kwa Tanzania

Lakini kutokana na Mateso makali aliyopitia mikononi mwa Kanisa na magerezani huko na kwa mataifa wasiojali Injilli alihangaika na mateso yake akasahau kukabidhi kazi yake kwa mwingine awe kama yeye na zaidi siku zake za kuondoka duniani zilipofika.Hivyo kuliacha Taifa la Tanzania njia panda halina Mwinjilisti mwenye nguvu kama yeye mleta watu wengi wautubu dhambi na kuziacha. Kaliacha taifa njia panda limejaa huduma za maombi na maombezi na uchungaji Kila mtu anataka kuwa mchungaji au kiongozi wa huduma ya maombi na maombezi Uinjilisti hawataki

Vyombo makanisa mengi yamekuwa matapeli huombq kuwa yanahitaji kwa ajili ya injili uongo mtupu wanahitaji vyombo kwa ajili ya kwaya tu kanisani hakuna cha uijilisti wala nini

.Katika huduma zisizopendwa tena ni Uinjilisti wakati wa kipindi chake yeye Moses Kulola alikuwa role model watu wengi walipenda sana Uinjilisti kuliko uchungaji au huduma za maombi na maombezi

Leo ni Ijumaa kuu tunapokumbuka mateso Yesu alipata tukumbuke pia mateso Moses Kulola alipitia na vizuri kila aliyehusika kumtesa kwa mawazo,kwa maneno au vitendo awe mtu binafsi au taasisi au kikundi kwa siri au kwa wazi au kwa kumuwazia au kumsema vibaya aombe msamaha kwa Mungu Ijumaa kuu hii na kuomba rehema za Mungu asamehe alete mwingine kama Moses Kulola.Sioni Nchi ku move forward kwa nguvu sana kwenye Uinjilisti kama kanisa halitafanya toba kwa madhira iliyompitisha Moses Kulola


Na kama Taifa tuombe Rehema za Mungu kama taifa tuhurumiwe sababu sio vizuri sana mtumishi mwenye nguvu kama yule kufia kwenye nchi yetu kwa mateso aliyopata ndani ya nchi.Nchi twaweza laanika kwa kuwajibika kwa kifo chake sababu alifia kwetu kwa mateso
Damu yake iko nchini kwetu Bugando ,Mwanza ,Tanzania

Nawatakia Ijumaa kuu njema
 
Viongozi wote wakubwa wenye vipawa vikubwa kwenye Biblia kabla kuondoka duniani walikabidhi vipawa vyao kwa watu wengine specific.Musa alikabidhi kwa Joshua na Eliya alikabidhi kwa Elisha na baada ya kukabidhiwa wakabidhiwa walifanya maajabu makubwa

Moses Kulola alikuwa Mwinjilisti akihubiri.maelfu walikimbia kutubu dhambi na kuziacha kwenye mikutano yake kama ilivyokuwa kwa Yohana Mbatizaji Yerusalemu na Yudea yote walikwenda kwake kutubu dhambi. Tofauti na sasa wengi huenda kwa ajili ya maombi na maombezi tu mambo ya kutubu dhambi hawana mpango nayo.Yohana mbatizaji alikuwa na huduma kuu ya kutubisha watu dhambi zao na kuacha hajawahi ponya mtu wala muujiza wowote Billy.Graham pia alikuwa na kipawa hicho cha kuleta mamilioni kutubu dhambi na kuziacha

Moses Kulola pia anafahamika zaidi kwa kuwaleta wengi kutubu dhambi na kuziacha kwa Tanzania

Lakini kutokana na Mateso makali aliyopitia mikononi mwa Kanisa na magerezani huko na kwa mataifa wasiojali Injilli alihangaika na mateso yake akasahau kukabidhi kazi yake kwa mwingine awe kama yeye na zaidi siku zake za kuondoka duniani zilipofika.Hivyo kuliacha Taifa la Tanzania njia panda halina Mwinjilisti mwenye nguvu kama yeye mleta watu wengi wautubu dhambi na kuziacha. Kaliacha taifa njia panda limejaa huduma za maombi na maombezi na uchungaji Kila mtu anataka kuwa mchungaji au kiongozi wa huduma ya maombi na maombezi Uinjilisti hawataki

Vyombo makanisa mengi yamekuwa matapeli huombq kuwa yanahitaji kwa ajili ya injili uongo mtupu wanahitaji vyombo kwa ajili ya kwaya tu kanisani hakuna cha uijilisti wala nini

.Katika huduma zisizopendwa tena ni Uinjilisti wakati wa kipindi chake yeye Moses Kulola alikuwa role model watu wengi walipenda sana Uinjilisti kuliko uchungaji au huduma za maombi na maombezi

Leo ni Ijumaa kuu tunapokumbuka mateso Yesu alipata tukumbuke pia mateso Moses Kulola alipitia na vizuri kila aliyehusika kumtesa kwa mawazo,kwa maneno au vitendo awe mtu binafsi au taasisi au kikundi kwa siri au kwa wazi au kwa kumuwazia au kumsema vibaya aombe msamaha kwa Mungu Ijumaa kuu hii na kuomba rehema za Mungu asamehe alete mwingine kama Moses Kulola.Sioni Nchi ku move forward kwa nguvu sana kwenye Uinjilisti kama kanisa halitafanya toba kwa madhira iliyompitisha Moses Kulola


Na kama Taifa tuombe Rehema za Mungu kama taifa tuhurumiwe sababu sio vizuri sana mtumishi mwenye nguvu kama yule kufia kwenye nchi yetu kwa mateso aliyopata ndani ya nchi.Nchi twaweza laanika kwa kuwajibika kwa kifo chake sababu alifia kwetu kwa mateso
Damu yake iko nchini kwetu Bugando ,Mwanza ,Tanzania

Nawatakia Ijumaa kuu njema
Humjui BULUDOZA wewe?
 
Back
Top Bottom