Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Chochote kitakachofanywa na serikali wa kulalamika mtakuwepo na wa kupongezwa na kufurahia maamuzi watakuwepo pia. Hakuna wa kumfurahisha kila mtu.
Utalipia vipi, issue sio kufurahishana, ni kuweka bayana mikakati yenu jinsi mtakavyoilipia. Nchi zote zinafanya hivyo. Zinaongeza matumizi ila zinakuwa waxi kuhusu wapi watapata, kuchukua hizo pesa.
 
Muulize waziri haya maswali yako, ingawa atakushangaa tu.
Huyu huyu wa sasa! Nilikuwa na imani na Dr Mpango, yeye na JPM walipanga vitu vyote. Ila yuko kimya.

Huyu wa sasa atasema lolote, sababu hayuko vizuri kwenye practical, amesahau maisha ya Watanzania wengi. Japo hata yeye ametokea familia maskini sana. Lengo lake kuu ni kukaa madarakani.

Unafikiri nchi zilizoendelea unaweza kusema hivi bila kusema utatoa wapi pesa za kulipia mipango yako.
 
Mapunguani huwa hamuwezi kuisha,unavyoropoka sasa utadhani uchumi uko stagnant..

Unapayuka utadhani huwa hufuatilii hata taarifa za mwenendo wa Uchumi,mapato nk wa Serikali..

Ndio maana Samia aliwahi kuwaambia watu dizaini yako mna akili ndogo Sana. πŸ‘‡

 
Una akili timamu kweli? Average ya makusanyo kwa mwezi ni zaidi ya Til.1.8 ,mtoa mada kasema ni til.1.5 unaona yuko sawa?

Pili je Uchumi umesimama au unashuka au uko stagnant?

Muwe mnafikiria kabla ya kuropoka.
 
Hivyo vyote Serikali ya mama imeshaanza kuvifanyia Kazi ..

Hiyo mipango sio ya overnight
 
Ndio maana nimekwambia ongea na wenye mamlaka watakwambia pesa watatoa wapi.
 
Umeandika hadithi nyingi za kipumbavu..

Salary increase inakuaje kujichimbia Nchi?

Ukishaweka hayo unayoita mazingira Bora ya kuwekeza then investors wanajileta tuu sio?

Mburula wa uchumi mko wengi ila mnajitia kujua , uchumi sio ushabiki wa Yanga na Simba..

Kwa hivyo huu uwekezaji wa bil.8 ulifikaje Nchini? πŸ‘‡

 
Mna reason kitoto Sana utadhani investment kwenye infrastructure imesimama au haifanyiki..

Pili ,kama investments kwenye infrastructure inachangamsha uchumi,wimbo wa vyuma kukaza ulitoka wapi?

Uchumi hauendeshwi kwa single industry
 
Aliyewadanganya kwamba mapato ya serikali yanatokana na tax revenues pekee ni nani?

Pili namba ndio zinaongea sio maneno,mfano mdogo tuu πŸ‘‡















 
Inawezekana wale wanaopokea kimya Cha chini ndo wameongezewa izo asilimia ila kadri unavyopanda juu asilimia zinapungua
Lakini pesa yake inayongezeka ni kubwa kuliko Ile ilioongezeka kwenye kima Cha chini.
 
Unaporopoka uwe unaweka na namba.

Makusanyo yameshika kutoka ngapi na kuwa ngapi maana Takwimu za serikali ni kwamba makusanyo yameongezeka sio tuu ya TRA bali hata ya vyanzo vingine..

Ujue chuki zinawasumbua Sana,mimi nakupa Takwimu na wewe nipe za kwako πŸ‘‡





 
Serikali haijaomba mkopo specifically kwa ajili ya kulipia mafuta bali ni kujiandaa na budget deficit in case itatokea kwa hiyo wewe ndio hujui kitu.
 
Ndio wameshaendelea na ni sahihi kujifunza kwao
 
Hili la Mwigulu umesema kweli. Mwigulu Ni empty head, chokoraa la singida. Sina ukabila au kidharau Kabila fulani, lakini singida hakuna mtu wa weledi wa level hiyo kushika nafasi nyeti Kama hiyo. Exception Ni Lisu Basi!
Shika hili,so far hakuna Waziri wa Fedha amefanikiwa kama Mwigulu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…