Tafsiri rahisi ya ongezeko la 23% maana yake serikali ina chanzo cha makusanyo ambacho kina zaidi ya 23% ili kukidhi kuhudumia mishahara, posho na malimbikizo ya mshahara toka kwa watumishi wa umma.
Swali, je uwezo wa watumishi wa umma umekuwa na tija kiasi cha ukipita ongezeko la ukuaji wa pato la serikali, unalazimu watumishi kupokea 23% ya kile wanachopokea sasa.
Je, hazina ina mkakati gani wa muda mfupi na muda wa kati ili kuchochea uzalishaji wa sekta binafsi ambapo ndipo kwenye upanuzi wa tax base. Ng'ombe (privately sector) ili atoe maziwa, kuna mazingira ya kulishwa quantitative and qualitative dietary ili atoe maziwa ya kutosha?
Kama ni nyasi kavu msimu wa kiangazi, mmh, tax base utaendelea kuwa finyu sana na tutaendelea kuwa na narrow scope kuwa na tozo chungu mzima kwenye petroli.
Basic assumptions kama ngano tunayoagiza toka Russia na inasafirishwa kwa meli mpaka Tz ni takribani 90% ya mahitaji ya soko la ndani, kwanini hazina na wazara ya kilimo tusiwekeze kwenye commercial farming ya ngano kwa soko la Tz na nchi 8 majirani, ili inapouzwa, say serikali itatoza sh 200 kwenye kila kg inayouzwa ndani na nje ya Tz (Congo, Zambia, Malawi, Uganda, Burundi, Rwanda Madagascar, Comoro)
Likewise, kwanini pamba, korosho, chai, kahawa, cocoa, katani zisiuzwe kama constables products kwa kuchochea industrial processing ili ku-tax kwenye sales ya funal products?
Vinginevyo, mama atapata sifa za kisiasa ila baada ya muda Serikali itashindwa kujiendesha.
Tax revenue ya 1.5tril-2.3 ni ndogo sana.
Lazima serikali iwe sehemu ya kujenga financial instruments/leverage ambazo zitapelekea kununua technology ambayo itaogenza tija na ufanisi kwenye uzalishaji ambako ndipo kwenye vyanzo vya Kodi na kuongeza mzunguko wa fedha.
Weekend njema.