ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Makusanyo ni 1.5 trilion kwa mwezi na matumizi ya kulipa madeni na mishahara tuu ni 1.8 trillion kwa mwezi, hapo hakuna kuchomoka tutakuwa watumwa tuu wa mabeberu , kitakachofuata mabeberu wakataa kutukopesha itabidi tuchapishe za kwetu inflation itapiga 1000% na mkate utakuwa milioni mbili then watu itabidi waingie mtaaani halafu either tutapata dictator la kututesa au smart wa kuturudisha mstarini, sikujua kama hali ni mbaya kiasi hicho
Hakuna namna, either anakuja mwingine kama JPM kurekebisha mahesabu, kubana matumizi, kuweka vipaumbele sahihi kwa nguvu za kidikteta (hakuna mbadala) au tutauzwa jumla jumla.
Options nyingine ni kama ya watu wa Sri Lanka.