Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
Jokaa Kuu, uwezekano wa kumove forward bila Tsvangirai ni mdogo, maana jamaa ndo kapigana mpaka last nail wakati wapambe wa Mugabe wakimuona kibaraka. Ukweli ni kwamba Mugabe na supporters wake wameishiwa hoja. na effectively wameona kumlink Tsvangirai na wazungu ndo ONLY means ya kumdscredit! A link to a western powers is the only winning card! Hatuwezi kuishi kwenye politics of fear za miaka ya nyuma. Nani kasema Tsvangirai anarudisha wazungu au Mashamba? JAMAA ANASEMA POLICY YAKE NI FAIR DISTRIBUTION OF LAND. PERIOD.Jamaa anaweza kuwa na matatizo yake. Fine, sasa kwa nini usiwaache wananchi waamue? au unataka waamue wewe unavyotaka tuu na si wao?
Who is AU? It needs couragious people like Membe ionekane ina relevance..otherwise..itaendelea kuwa moribund na irrelevant as it has been. By the way no body takes serious AU so is the UN....consensus ya mataifa haipatikani hivi hivi..kuna wale watakaopinga tuu! hata kama utawapa nini! Ndo maana Bush au Clinton walilijua hili..wanaamua kuiruka UN...wanafanya wanalolitaka as long as hawamtegemei mtu..harafu huko UN mtabaki mnalia na international law!
Waafrika hatuwezi kuendelea kulalama kwa kutumia historia. Ni kweli tumenyanyasika na kuonewa, lakini huwezi kuua watu wako ukasingizia western countries. NO way. Kwa hiyo hata Darfur, Comoro, Congo tuache kwa sababu hata kwetu yanafanyika?
Hivi unaweza kuniambia kwamba kwa sababu babu yangu hakusoma, kwa hiyo hana haki ya kunichapa makofi au kunihimiza niende shule? au kwa vile hakusoma hajui umuhimu wa elimu?
FMES, yes Zenji tulilikoroga, lakini hebu nikuulize..daktari anayechukua "malaya" pale kilitime..ukienda ofisini kwake asubuhi akakwambia kwamba kuchukua malaya ni hatari unaweza pata ngoma au magonjwa mengine, utakataa ushauri wake kwa sababu ulimuona na yeye anachukua mzigo pale Kilitime?
International politics haziendi hivyo. Leo Bush akikemea Human Rights violations Darfur, siyo kwamba yanayotendeka Guantanamo hayaoni! Leo Australia akikemea yanayotokea Congo siyo kwamba yanayotokea kwa aboriginals hayaoni....
Ukweli ni kwamba kama international diplomacy ingekuwa inaendeshwa hivyo kama injili ya YESU (asiye na doa na awe wa kwanza kurusha jiwe)..basi hii dunia ingekuwa kitu kingine kabisa.
Who is AU? It needs couragious people like Membe ionekane ina relevance..otherwise..itaendelea kuwa moribund na irrelevant as it has been. By the way no body takes serious AU so is the UN....consensus ya mataifa haipatikani hivi hivi..kuna wale watakaopinga tuu! hata kama utawapa nini! Ndo maana Bush au Clinton walilijua hili..wanaamua kuiruka UN...wanafanya wanalolitaka as long as hawamtegemei mtu..harafu huko UN mtabaki mnalia na international law!
Waafrika hatuwezi kuendelea kulalama kwa kutumia historia. Ni kweli tumenyanyasika na kuonewa, lakini huwezi kuua watu wako ukasingizia western countries. NO way. Kwa hiyo hata Darfur, Comoro, Congo tuache kwa sababu hata kwetu yanafanyika?
Hivi unaweza kuniambia kwamba kwa sababu babu yangu hakusoma, kwa hiyo hana haki ya kunichapa makofi au kunihimiza niende shule? au kwa vile hakusoma hajui umuhimu wa elimu?
FMES, yes Zenji tulilikoroga, lakini hebu nikuulize..daktari anayechukua "malaya" pale kilitime..ukienda ofisini kwake asubuhi akakwambia kwamba kuchukua malaya ni hatari unaweza pata ngoma au magonjwa mengine, utakataa ushauri wake kwa sababu ulimuona na yeye anachukua mzigo pale Kilitime?
International politics haziendi hivyo. Leo Bush akikemea Human Rights violations Darfur, siyo kwamba yanayotendeka Guantanamo hayaoni! Leo Australia akikemea yanayotokea Congo siyo kwamba yanayotokea kwa aboriginals hayaoni....
Ukweli ni kwamba kama international diplomacy ingekuwa inaendeshwa hivyo kama injili ya YESU (asiye na doa na awe wa kwanza kurusha jiwe)..basi hii dunia ingekuwa kitu kingine kabisa.