Tanzania has the lowest IQ in East Africa

Kwanza hiyo post yake kaikimbia... yaani alivyo zuzu alikuwa ana-copy copy tu kwenye v-blog visivyo na status yoyote! Anadai ni ya 2020 wakati official data ni zile zile zilizotolewa na akina Prof Lynn mwaka 2006 zinazoiweka KE kwenye 72 .
Kenyans now days are bogus, their IQ is very low, na ndio kizazi chao kina malizika maliza ivyo soon somalian will take over
 
So mabeberu ni wazuri sazile wameandika kitu kizuri kuhusu Tanzania lakini ikiwa otherwise ni wabaya wacha upuzi wewe.Waliposema Tanzania ni middle income si mulirukaruka na kusherekea hapa iwe vipi tena ni wabaya.Inauma but itabidii muzoeee😎
Sisi tulijua mapema tumeishaingia middle income tayari hata kabla hajatangaza, takwimu za uchumi is all about mathematics,not mere propaganda Kama hizo
 
Huu ni utafiti wa kisayansi...haujawahi kukosea.
Utafiti wa kibeberu huo! lazima yafanye hivyo kwa sababu yanawatumia, ujinga ambao TZ walikataa! Akili gani wakati Al shaabab anakimbiza mkuu! Kenya na jeshi looote hilo mkuu mnashindwa kudhibiti chokoraa! wasio na nchi?

Unaona wanavo ogopa TZ/ wakienda huko watapigwa na wadada wa shule tu. / Mfano Moi na Nyerere nani ana akili za kuheshimika Duniani?
 
Mumezoea kuwalaumu mabeberu kwa shida zenu sijui nani aliwapumbaza.Hawa mabeberu ndio wameinvent vitu vingi mnavyotumia hata io simu na computer unayotumia.Wewe kama Mtanzania una nini utasema.
 

Mlipoambiwa na hao hao mabeberu kwamba nyie ni uchumi wa kati mlikenua meno kuanzia Buza hadi kote, ila leo wamesema asilimia kubwa kwenu nyie vilaza watupu mnaishia kuwatukana badala kufanya cha maana chochote ili muwaonyeshe nyie sio mazwazwa kama wanavyodai.
 

Wa hivyo huwa hatupotezi nao muda kubishana.

Tuna mambo ya muhimu zaidi chief. Ngoja tumpambanie mgombea wetu mahiri ajaye.

Kila mtu na apambane na hali yake:

Tanzania, Kenya kama mataifa huru ya kongole kwenu

Pili pili msizozila zaweza kuwawasha namna gani?
 

Hehehe umeambulia kuimba ngonjera, siku nyingine ukijitutumua kujadili chochote na Mkenya uwe unavuta aerial na kuwa tayari kutumia akili, sisi huwa hatuelekezwi elekezwi, tunakuhoji kauli zako hadi kamasi linakutoka, haya kwaheri rudi huko sijui huwa mnaita Lumumba ukapokee buku saba zako leo umejitahidi kwa Mkenya....hehehe
 

Inaonyesha una elimu ndogo sana chief.

Tafadhali Sina muda nawe. Don't even mind to write back.
 
Inaonyesha una elimu ndogo sana chief.

Tafadhali Sina muda nawe. Don't even mind to write back.

Hehehe!!! Huna muda na mimi ilhali hapo ulipo unasubiri kwa hamu kuona jibu langu kwako, haya kwaheri sikujibu kitu hata ukinitukana. Napenda jinsi huwa mnahema, haya mambo huhitaji ubongo sio kuandika andika.
 
T
Asante mkuu
 
Am not a form six toddler,to argue with a fool like you,put fact on the table,as l have done,usilete upuuzi.
Just like ua IQ explains itself u brainless fool.I would kill myself if I'd climb up ua Ego and jump to your IQ
 
You shouldn't have to worry, JPM is there to rise up our IQ
 
Before you reply, meditate deeply, JPM has been given the key to open our mind.
 
Nyie mna mna aikyu. IQ mtaitolea wapi?
 
Huu ni utafiti wa kisayans, haujawahi kukosea.
Hao wanasayansi kama wameshindwa kukusaidia kuiondoa korona nchini mwenu tutakua na hakika gani na tafiti zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…