Martha Millita
Member
- Sep 26, 2021
- 24
- 14
Hili life tunatakiwa tupate wazalendo wakuweza kusaidia wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kiongoziAcheni bhana hizo zenu.. Nyanyueni mikono juu Mushukuru MUNGU Sana.. Rasilimali zote hizo ni za vizazi na vizazi vijao.. nasi tutakula kiasi tulicho bahatika...
Tuache uchoyo..
Ndg yangu Sandal bin Ali..unataka dhahabu ili ujenge nyumba ya Madini?Tuache uchoyo kivipi?
Sijakuelewa
Uko sawa Mzee wa MbususuKikubwa ni kumuomba Mungu tusiishiwe na nguvu za kiume na mkono kwenda kinywani. Vingine hivyo sijui midhahabu aina maana.
IMF...hata IFM wakutupa fuko lote la pesa bado mtanzania atakunywa maji yasiyo salama.
Ila nyumba za ibada mbona nyingi sana?Pia watu wanakosa hofu ya Mungu
Habari za asubuhi waungwana!
Nimeamka salama nimekutana na habari moja ya ugunduzi wa madini katika Kijiji fulani huko Mtwara a.k.a Ntwala.
Nikajisemea moyoni kuwa bado hayataleta impact kwa taifa ingawa wananchi wachache watanufaika kwa kupata vibarua huko.
Nimebahatika kufanya kazi kwenye mgodi mkubwa zaidi wa dhahabu Tanzania, nimebahatika kufanya kazi kwenye hifadhi kubwa zaidi Tanzania, na nimebahatika kupita kwenye rasilimali kadhaa Tanzania. Hakika ni utajiri juu ya utajiri.
Hatuhitaji kugundua aina mpya ya madini, hatuhitaji kugundua rasilimali zingine kwa sasa.
Tuna hifadhi za wanyama lukuki
Tuna mito lukuki
Tuna maziwa lukuki
Tuna gesi nyingi
Tuna madini lukuki
Tuna fukwe za mahari kutoka kaskazini mpaka kusini mwa nchi.
Tuna ardhi inayosapoti karibu aina zote za mazao( Tanzania ina mikoa yenye uoto tofauti).
Tuna anga salama na kubwa
Je, kama hivi vyote vimeshindwa kuuondoa umaskini miongoni mwa Watanzania unadhani kuna haja ya ugunduzi wa rasilimali zingine?
Jibu ni hapana.
Tanzania hata tukiwa na dhahabu au almasi kila mtaa bado umaskini utaendelea.
Umesahau na mademu , tuna mademu kibao.....Habari za asubuhi waungwana!
Nimeamka salama nimekutana na habari moja ya ugunduzi wa madini katika Kijiji fulani huko Mtwara a.k.a Ntwala.
Nikajisemea moyoni kuwa bado hayataleta impact kwa taifa ingawa wananchi wachache watanufaika kwa kupata vibarua huko.
Nimebahatika kufanya kazi kwenye mgodi mkubwa zaidi wa dhahabu Tanzania, nimebahatika kufanya kazi kwenye hifadhi kubwa zaidi Tanzania, na nimebahatika kupita kwenye rasilimali kadhaa Tanzania. Hakika ni utajiri juu ya utajiri.
Hatuhitaji kugundua aina mpya ya madini, hatuhitaji kugundua rasilimali zingine kwa sasa.
Tuna hifadhi za wanyama lukuki
Tuna mito lukuki
Tuna maziwa lukuki
Tuna gesi nyingi
Tuna madini lukuki
Tuna fukwe za mahari kutoka kaskazini mpaka kusini mwa nchi.
Tuna ardhi inayosapoti karibu aina zote za mazao( Tanzania ina mikoa yenye uoto tofauti).
Tuna anga salama na kubwa
Je, kama hivi vyote vimeshindwa kuuondoa umaskini miongoni mwa Watanzania unadhani kuna haja ya ugunduzi wa rasilimali zingine?
Jibu ni hapana.
Tanzania hata tukiwa na dhahabu au almasi kila mtaa bado umaskini utaendelea.
Mimi mwenyewe baada ya kukusoma hapa najisikia kulia lia hapa....Kuna siku nulikua napitia psychopia nikaona kuwa duniani kuna Ten great lakes zenye fresh water(maji yasiyo na chumvi) nikaona tatu zipo East Africa,tena Tanzania !!! Kiukweli nililia !!!
Kiukweli ukiangalia maisha ya watu wa baadhu ya maeneo hasa wilaya ya magu ni ukame wa hatari!??