Tanzania hata kama tungekuwa na dhahabu kila mtaa bado umaskini ungekuwepo

Tuache uchoyo kivipi?
Sijakuelewa
Ndg yangu Sandal bin Ali..unataka dhahabu ili ujenge nyumba ya Madini?
Siyo kila Rasilimali lazima ivunwe!!!!

Wakoloni waliziona na kuzihifadhi . Wakijua kuwa miaka ya mbele kuna kizazi kitahitaji kujikimu...
Tuchape kazi bila kutegemea rasilimaĺi za wazi.
.
 
 

Attachments

  • IMG_0579.MP4
    8.5 MB
Umesahau na mademu , tuna mademu kibao.....
 
Mimi mwenyewe baada ya kukusoma hapa najisikia kulia lia hapa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…