Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Mwamba ameongelea ethics za TIS za sasa zimebadilika sana??, Yaani mtu yupo ubelgiji ndo anatoa taarifa za mjomba?? Ni ukweli usiopingika kuwa kuna kundi la watu hapo TIS ndo wamempa taarifa huyo jamaa wa ubelgijj. Na hii yote ni kuwa TIS na huku ni mwana CCM.

Awe ccm kwa kazi maalumu tuu. Lkn cyo kuwa kindakindaki. Tunaitaji kuwa na Strong institution na cyo strongmen. Pumuzika kwa amani mwamba Jpm! UlichokifanyaTz!

kwa kila m tz wa kweli na mwenye machungu na nchi yake ni lazima akulilie kwa uchungu. Kazi umeifanya JPM! Umeiyachia Tz heshima hapa duniani na kwa familia yako kwa ujumla.
ndo maana tunawaambia ccm ilishakufa toka 2015 ilibaki ya magu sasa naye kaenda,tarajia makubwa nyani watakavyopararuana wakigombania punje zilizobaki
 
TISS imeingiliwa na wana siasa. haswa chama tawala. ukishakuwa kada wanakusukumizia huko.. hawajali kuhusu qualifications.

zamani TISS walikuwa wana recruit smart peoples tu. na kazi za weledi zilionekana.
lakin sasa hivi makada ndio usalama..nmatokeo yake tunapata watumishi wasio na weledi.

na huu ni mwanzo.tu.
Hasa kanda ile!!!!!!! Zamani kikosi cha Sumbawanga huwezi wajua. Akina Kobelo mzee wa ferry
 
Uiangalie Tanzania na kuipima kwa maendeleo ya kiteknolojia - halafu wote bila kudharau hao TISS uliosema tujiulize:-
(i). Je, tumeendelea kiteknolojia kiasi cha kushinda udukuzi? NDIYO au HAPANA
Hapa rejea nchi kama USA, UK, China, Israel nk ambazo ziko juu kwa maendeleo ya kiteknolojia lkn zinadukuliwa - sasa iweje kwa Tanzania?

(ii). Njia ya kusafisha Ikulu - hapa bado hutakuwa umemaliza tatizo. Njia sahihi ni kuongeza timu ya rasilimali watu ndani na nje ya TISS waliobobea ktk taaluma ya masuala ya TEHAMA, IT, Cyber crimes, nk ili waje na suluhu ya udukuzi na mawasiliano mitandaoni.

(iii). Sheria vs mitandao, blogs, online TVs, na mitandao ya kijamii kuangaliwa upya. Hapa watu wanasajili ID fake sababu ya rooms za kisheria kuwa dhaifu sehemu fulani - kwa ujumla hatuwezi kufanikiwa kwa usalama wa mitandao kwa kutumia njia moja. Zipo njia nyingi zinazo-complement.

Msakila M Kabende
Kigoma
22/03
 
Mkuu una kaujinga unakokalea kichwani mwako.

Unaiponda demokrasia eh?
Nikuulize tu, Magufuli alifikaje pale alipofika?
Au unalivunja daraja la demokrasia alimradi wewe umefika uliko fika.

Ni dhahiri Prez Magufuli alifanya mengi mazuri na ya kuigwa, lakini mengine at the expense of democratic principles.
Kama wewe hutaki democracy si basi Jeshi lipate madaraka liendeshe nchi toka zamani, kwa mawazo hayo Magufuli angeupata wapi urais?

Narudia tena , ni ujinga kudhihaki muundo wa demokrasia uliokufikisha ulipofika, halafu ukafikiria ni business as usual.
 
Mkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush Jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.
Eeh bhana hebu endelea
 
Unfortunately katika hili la hayati na yote yanayomuhusu kuanzia maradhi mpaka kifo hawafiki wala kunusa 10! Hao 14 it’s a dream!

Kibaya zaidi it’s easy to identify all those that were there during admissions at JK insititute and later Mzena!

Tujipe muda na akiba ya kauli, tutayashuhudia!
dada kama unavyoonekana kwenye picha na wewe utakua mtu wa kitengo si bure
 
Mngekua na Nia njema kwa nchi na wananchi basi hata taarifa zao (wale waliovujisha kuwaletea through Lissu) mngewakatalia na kuwataja hadharani!

When you use the weakness of your opponent/rival as a weapon against them, you are no more or less low than them!
Umesahau pia kwamba afya ya Rais inagusa usalama wa nchi. Hao waliovujisha walifanya jambo jema. Sasa ulitakq nchi itawaliwe bila rais?
 
In technolojia Mkuu zamani ilikuwa hakuna sasa hivi in vigumu kuficha mambo. After all hakuna siri ya watu zaidi ya mmoja
 
Mkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush Jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.
Siyo kweli and that's not how CIA works.
 
Back
Top Bottom