Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Hata mimi nimeshangaa sana kuona taarifa nyeti kama hizo ambazo zinamhusu Mkuu wa Nchi zinazagaa mitaani?
Bila shaka kuna umuhimu wa kufanya uchunguzi ili kuona ni nani anahusika zaidi na utoaji wa siri.
Hapo inahitaji akili sana kubaini watu wanaovujisha siri.
Tunaweza tukadhani tumefichama kumbe tupo eneo la wazi kabisa kiasi kwamba kila mtu anatuona. Hii ni hatari sana.
Mwisho, Namshukuru Mungu mwenye nguvu kwa kutuletea CHUMA, SHUJAA, MSHINDI, MZALENDO WA AFRIKA, JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI.
Ametufundisha mengi, mengi, mengi sana. Kwa pamoja tukiyafuata na kuyaishi kwa vitendo, tutashinda.
JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, uliombee Taifa hili liweze kushinda mitihani yote. Amina.
 
Kama hili lilitokea basi ni dhahiri kwamba wale watu wanaodai kupata taarifa kutoka ndani(serikalini) walizitengeneza tu baada ya kudokezwa kwamba hayo magari yameonekana mtaani.

Nipo hapa kujifunza.....nielimisheni.
 
Ndo jua sasa wale jamaa na misuti yao myeusi na miwani na microphone kumbe hamna kitu .TISS inatakiwa kuundwa upya na sio kuokota okota tuu.
Fikiria Kama ole 7 baya n TISS unategemea nn huko ndan mkuu

Sifa ya TISS kuwa kada wa chama tawala imetosha elimu utaijua hukohuko mkuu nan atashindwa kuvaa miwan nyeusi na kaunda suti kwa Sasa hvyo n vigezo
 
Mzazi alikuwa hawezi kujua kazi ya mwanaye, ndugu wengine na majirani ndiyo kabisaa.
Lakini leo hii wanatamani wajulikane hata kwa wasiotaka kuwajua.
Imefika hatua hata wajinga tu kwa kutumia mwamvuli wa ukada na walioaminiwa wanajiona nao ni watu wa vitengo.

Shida sana hii.
 
Marekani kudukuliwa na Urusi sawa
Sasa hawa Tiss pale taifa wamezidiwa kete na akina Shomari wa tTemeke Mikoroshini
 
Mmmh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…